Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Nani unaona anafaa kuwa Rais kati ya Wawili hawa?

  • Edward Lowassa

    Votes: 103 13.0%
  • Dr. Willibrod Slaa

    Votes: 640 80.6%
  • Wote hawafai/sijaamua

    Votes: 51 6.4%

  • Total voters
    794
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
Hivi kweli Lowassa anaweza kushiriki mdahalo wa uraisi na mtu kama Dr.Slaa na akamudu kujibu hoja na changamoto zote zitakazojitokeza katika mdahalo huo?

I don't think so!

Sio Lowassa tu, hakuna yoyote ndani ya CCM anayeweza kusimama kwenye mdahalo, hata CCM wenyewe hawako tayari kusimisha mgombea wao yoyote kwenye mdahalo dhidi ya Dr. Slaa.

Vv
 
Tanzania hatuitaji mtu mwenye maneno mengi wakati utendaji kazi ni zero, Lowassa uwezi kupendwa na watu wote wewe siyo pesa ila wengi wetu tumeisha kuamini unaweza na tuko nyuma yako katika kujenga Tanzania mpya.
 
Hivi ukiondoa suala la Dr.Slaa kuwa chadema(chama cha upinzani) ni yapi ya kutushawishi wananchi kuwa Dr.Slaa ndiye anatufaa kuwa Rais wetu?
kila uchafu unaouona nchi hii ulifichuliwa na Dr slaa ,
kipi usichokijua , umewahi kumsikia lowasa akipambana na mafisadi ? bali hujasahau kwamba slaa ndio kiboko ya wezi nchi hii .
 
Hatutaki mtu wa kuimba taarabu sisi....

Tanzania tunataka mchapakzai na mtu mwenye kusimamia maamuzi tuu...
 
Tanzania hatuitaji mtu mwenye maneno mengi wakati utendaji kazi ni zero, Lowassa uwezi kupendwa na watu wote wewe siyo pesa ila wengi wetu tumeisha kuamini unaweza na tuko nyuma yako katika kujenga Tanzania mpya.

kwa lipi alilowahi kulifanya la kupigiwa mfano ?
 
Lowasa ni kama wale jamaa madomo zege hata akiandikiwa mistari hawezi kujieleza kwa demu

Leo ndo nimejua kwa nini anatumia pesa nyingi kiasi kile, kumbe hana kabisa nguvu ya ushawishi
 
Naona mnaanza kujifariji, Too late, safari ya matumaini ndio imeshaanza hivyo!!
View attachment 255872


YAANI LEO NILIPOANZA KUISIKILIZA HOTUBA YA FISI-AHADI, KABLA AJAENDA MBALI ZAIDI KUENDELEA KUZUNGUMZA, GHAFLA NILIPATWA NA KICHEFU CHEFU NA KUANZA KUTAPIKA HAPO HAPO, SABABU ALIKUWA ANAZUNGUMZA UCHAFU {UTUMBO}.YAANI MAMVI AMESHINDWA KUELEZEA KWA KINA, KWA NINI ANAUTAKA URAIS? BADALA YAKE BLA BLA ZA KULETA KICHEFU CHEFU TU. NA NDIO MAANA BUNGENI ALIKUWA DOMO ZEGE SABABU KUONGEA HAJUI KABISAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA.
YAANI AKIPEWA HUYU NCHI, BASI wa-tz tutakuwa mandunducha wa kutupwa.
:A S thumbs_down::A S thumbs_down::A S thumbs_down::A S thumbs_down:









 
Mara zote ukijiaminisha katika jamii na jamii ikakuamini ya kuwa una nguvu nyingi. Hata siku moja usije ukagombana mbele ya jamii hiyo. Wagu watagundua udhaifu wako na utadharaulika
 
Tanzania hatuitaji mtu mwenye maneno mengi wakati utendaji kazi ni zero, Lowassa uwezi kupendwa na watu wote wewe siyo pesa ila wengi wetu tumeisha kuamini unaweza na tuko nyuma yako katika kujenga Tanzania mpya.

Nyie ni njaa ya tumboni na ubinafsi ndio unawasumbua bila hata kuona huruma yawatoto wenu,hivi kwa kumbukumbu yako kama kweli kichwa chako kinakumbuka utuambie nikitu gani cha mana aliwahi kutufanyia Lowasa au hiyo Ccm yako
 
..mkutano mzima haukuwa well organised.

..focus ilitakiwa iwe kwa Lowassa, na siyo mwenyekiti wa CCM aliyetua na helikopta.

..Mzee Borafya, Kange Lugora, na yule kijana wa nec, hawakutoa hotuba nzuri za utangulizi.

..mwisho, hotuba aliyotoa Lowassa was not inspiring at all.
joka kuu, couldn't agree more comrade. Bora tumemsikia na kumfahamu (zaidi) mapema
 
Last edited by a moderator:
Ccm wamezoea wafadhili na kila kitu wakiulizwa utasikia wafadhili wamesema wwata.....
Kwa hyo akili zao zimeshikwa na wazungu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom