Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Nani unaona anafaa kuwa Rais kati ya Wawili hawa?

  • Edward Lowassa

    Votes: 103 13.0%
  • Dr. Willibrod Slaa

    Votes: 640 80.6%
  • Wote hawafai/sijaamua

    Votes: 51 6.4%

  • Total voters
    794
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
Hivi kweli Lowassa anaweza kushiriki mdahalo wa uraisi na mtu kama Dr.Slaa na akamudu kujibu hoja na changamoto zote zitakazojitokeza katika mdahalo huo?

I don't think so!

safari ya matumaini ya watu wenye vvu na mitindio ya ubango.Lowasa sio midahalo tu ata kujenga hoja na mkewe hawezi.Huyu jambazi hawezi kujenga hoja
 
Washauri wamemuangamiza Lowasa. Kama wangekuwa wana lengo la kumjenga basi ikiwapasa kutambua udhaifu wake na kumshauri kufanya mazoezi ya kuhoji na kuchangia mijadala tofauti bungeni badala yake kazi hiyo wakaacha ifanywe na Lisu na Mnyika.
 
tatizo huwa unazingatia dini ya mtu

Huwa nazingatia wapi na wapi, lini na ilikuwa juu ya nini haswa ulipoona natumia dini kwenye mbadala wa hoja??!! Lissu mzuri kwa hoja, Mnyika pia. . . . sasa kundi hili unamuondoaje Zitto??!!

Ukiweza kuweka ushahidi hata quote moja tu nilipoweka dini kama kigezo cha hoja nilimwe ban mwaka
mzima na ukishindwa hadhira itakuwa imekuelewa. . . . . .
 
Hivi ukiondoa suala la Dr.Slaa kuwa chadema(chama cha upinzani) ni yapi ya kutushawishi wananchi kuwa Dr.Slaa ndiye anatufaa kuwa Rais wetu?
 
Washauri wamemuangamiza Lowasa. Kama wangekuwa wana lengo la kumjenga basi ikiwapasa kutambua udhaifu wake na kumshauri kufanya mazoezi ya kuhoji na kuchangia mijadala tofauti bungeni badala yake kazi hiyo wakaacha ifanywe na Lisu na Mnyika.


Kiukweli inatia shaka sana kama nchi itaongozwa na mtu kama lowasa. Hatoeza kumudu changamoto za ulimwengu huu ambazo nyingi ziko ktk mfu
mo wa majadiliano kwa kua hawez kujenga hoja kabisa

Lakin la pili ambalo hata anaeondoka ana tatizo hilo ni upstairs memory; Leo pamoja na kwamba it was historical day kwa lowasa bado anasoma kila kitu kana kwamba yy ni baloz wa nchi fulan tena isio na lugha yetu.Mental status iko chini
 
Hivi kweli Lowassa anaweza kushiriki mdahalo wa uraisi na mtu kama Dr.Slaa na akamudu kujibu hoja na changamoto zote zitakazojitokeza katika mdahalo huo?

I don't think so!
hiyo hotuba aliyoiandika mwenyewe miezi 6 iliyopita hata kusoma ni shida ndio uwe mdahalo ? leo nimemuangalia huyu jamaa hakika ni mwepesi
mno! sasa ndio unataka kumpambanisha na mwamba Dr Slaa ! njooni na machela .
 
Maendeleo kwanza yatoke kwetu sisi wenyewe ndipo tumshirikishe kiongozi kuhusu usimamiaji wa rasilimali zetu
 
..mkutano mzima haukuwa well organised.

..focus ilitakiwa iwe kwa Lowassa, na siyo mwenyekiti wa CCM aliyetua na helikopta.

..Mzee Borafya, Kange Lugora, na yule kijana wa nec, hawakutoa hotuba nzuri za utangulizi.

..mwisho, hotuba aliyotoa Lowassa was not inspiring at all.
 
Mkuu,unataka kusema atakayeweza kusimama kwenye mdahalo na Dr. Slaa ndio atakuwa kiongozi bora na atakayewaletea watanzania matumaini ya kupata maendeleo wanayoyataka.
Uwezo wa kujieleza katika midahalo ni kipaji na sanaa kama vipaji na sanaa nyingine lakini kamwe haiwezi kuwa kigezo au sifa ya kiongozi bora,mwenye nia ya dhati ya kufanya mabadiliko.

ni kigezo unajua maana ya kiongozi (nguzo za uongozi) au unaongea tu mkuu.kama hawezi hata kujieleza mwenyewe atawezaje kushawishi maraisi wngne kwenye masuala muhimu yahusuyo Tz
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom