Tena fisadi anayeng'ata na kupuliza kama panyaHata slaa nae ni fisadi vilevile.
Tena fisadi anayeng'ata na kupuliza kama panyaHata slaa nae ni fisadi vilevile.
Hata slaa nae ni fisadi vilevile.
Ama kweli wewe ndio umbulula.Slaa,Msigwa na Sugu hawana sera CHADEMA ndio kina sera.Mpaka hapo ushaonyesha kuwa hata sera za CHADEMA hujui.Pole.
hii pia inatia shaka, kuhusu kuichagua, pata undani na ukweli kuhusu ushindi wa makogoro mahanga. kisha uelewe chaguzi za kiafrika zilivyo, Serikali haina dini kwasabau hainda dhambi, fanya uchafu wowte ili mradi kushinda uchaguzi, mambo yanayo fanyika katika chaguzi yananuka...kwa hiyo ushindi wa CCM si kigezo cha kupendwa lakini ni ushindi wa uchafu.ccm inachukiwa miaka mingi ila ujue Watz wanachokisema sicho wanachofanya hao hao ndio wanaoichagua kila mwaka
Huyu SLAA atakuja kufanya watanzania tujute kama ambavyo leo wamisri wanajuta. SLAA ni mchafu wa kupindukia , ogopa sana mtu anajificha kwenye kivuli cha kanisa kutafuta utawala.
Lowassa anahonga makanisani na misikitini eti misaada!! Hiyo mihela anaitoa wapi??
Acha utani bwana, Slaa angekuwa fisadi CCM wangesha mfunga siku nyingi kwa anavyowasumbua....!! si unaona kesi ya kuacha mwanamke tu walivyoikomalia???
Kajifunze kuandika ndio uje kubishana hapa jamviniNani mwadilifu, SLAA acha mambo yako wewe, mtu analipwa mil.12 kwa mwezi bila kazi, kujikopesha peza cha chama anavyopenda, kila siku safari za nje yeye na mchumba wake kwa ruzuku za chama halafu unasema mwadilifu? Koma wewe.
Lowassa anahonga makanisani na misikitini eti misaada!! Hiyo mihela anaitoa wapi??
Acha utani bwana, Slaa angekuwa fisadi CCM wangesha mfunga siku nyingi kwa anavyowasumbua....!! si unaona kesi ya kuacha mwanamke tu walivyoikomalia???
issue ya SLAA kukwapua mke wa mtu wala haina uhusiano wowote na CCM hata kama MUME halisi wa JOSEPHINE angekuwa CCM bado alikuwa na haki ya kulalamika mahakmani. UFISADI wa SLAA CCM inahusika vipi mpaka wamshtaki au ndo kukariri kuongea maneno yale yale, wanaotakiwa kumshtaki SLAA ndo hao waliokwishazibwa midomo na kumwacha kutumia pesa za chama hovyo mara ajikopeshe kujenga nyumba, mara ajilipe mil.12 kwa mwezi,mara safari za nje na mchumba wake na juzi imeandikwa kwenye mtandao wa facebook kuwa anampango wa kuingiza makontena ya vitu kutoka Japan kwa mgongo wa kanisa la UFUFUO la Askofu MWAGIMA ili kukwepa kulipa kodi kwa ajili kujenga hospitali yake maeneo ya MLALAKUA.
you are right, absolutely right. I didnt' consider the factor that in 45milion also includes children. But my point was, katika watanzania wenye sifa ya kugombea urais let approximate the number, laki moja tuu wote sio wasafi na hawana sifa za kumzidi lowasa!! Why always lowasa tuu!! Pamoja na ufisadi wake lakini anapigiwa debe tuu, ana nini cha ziada hasa!nikurekebishe kidogo. Kugombea urais sharti uwe at least 40. So, you can see that the number of tanzanians eligible for presidency is by far less than the figure you have put there. Even if we estimate, the estimations must be somehow realistic. Visit this link to see the age distribution in tanzania: age distribution in tanzania statistics - nationmaster.com
ni vigumu sana kuona ufisadi wa SLAA kwa vile umejificha kwenye mwamvuli wa kanisa.
Kwani Magufuli ana nini kipya? Tujuzane.Maghufuli sawa, babu kaisha.
wanajamvi endapo itatokea hivyo unadhani ushindani utakuwaje? Tathimini yenu please!
CDM mmecheka na nyani sasa tunavua mabua!
hivi hizi ndoto zimepewa nguvu na nani?
Kabisaaaa mtu unapata nguvu ya kumlinganisha Dr Slaa na Lowasa?
Lowasa akiombwa mdahalo na Dr Slaa mnadhani atakubali?
kila likiletwa jina la lowasa nakumbuka mvua ya kutungua....huyu mtu hafai na niwakumuogopa kama ukoma......
Kwani Magufuli ana nini kipya? Tujuzane.
Lowasa akiombwa mdahalo na Dr Slaa mnadhani atakubali?