wewe nzenzu ongea pole pole Nape na wale madogo aliowanunua CDM juzi juzi wakikusikia watakutoa kucha na meno bila ganzi, hii ni siri, wote tunajua ila mwenzetu imeanza kuvuka mipaka. lowassa ndani ya CCM ni jembe ulaya.wanajamvi endapo itatokea hivyo unadhani ushindani utakuwaje? Tathimini yenu please!