bulama
JF-Expert Member
- Dec 13, 2012
- 568
- 138
Nape ajiandae kwa ukweli alioutoa kuhusu Lowa atakoma kwani watamchinjia mbali sana kwenye siasa.
Huyu kaka yangu Lowasa aache kabisa kugombe kupitia CCM kwani tayari inaonekana ana maadui wengi ndani ya CCm hivyo hao maadui wataungana na CHADEMA na hapo atavuna aibu ya mwaka. Yeye abaki mzee mshauri tu