Mohamed Mbelwa
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 507
- 272
Hapo umewashindanisha jambazi na askali
Mkuu huwezi kulinganisha Mwadilifu na Fisadi labda Lowassa na Chengewanajamvi endapo itatokea hivyo unadhani ushindani utakuwaje? Tathimini yenu please!
Kasi ya upepo inavuma huko, wewe kama TAKUKURU unaonaje?Hapo umewashindanisha jambazi na askali
Labda LOWASA lakini babu hana nafasi tena na hata mwenyewe amejikatia tamaaa na ndiyo maana unaona siku hizi amejielekeza zaidi kwenye mambo yake bonafsi na mchumba wake ili wajiwekee hazina ya baadayewanajamvi endapo itatokea hivyo unadhani ushindani utakuwaje? Tathimini yenu please!
jambazi na mzinziHapo umewashindanisha jambazi na askali
wanajamvi endapo itatokea hivyo unadhani ushindani utakuwaje? Tathimini yenu please!
jambazi na mzinzi
Dawa ya hawa ni mdahalo kama Kenya muone kama kuna mtu wa kusimama na Dr Slaa.
Hata wao wanajua na hawataruhusu kamwe midahalo!
jambazi na mzinzi
2015 midahalo lazima, tena mitatu!CDM mmecheka na nyani sasa tunavua mabua!
hivi hizi ndoto zimepewa nguvu na nani?
Kabisaaaa mtu unapata nguvu ya kumlinganisha Dr Slaa na Lowasa?
Lowasa akiombwa mdahalo na Dr Slaa mnadhani atakubali?