NGANU
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 1,919
- 393
anafaa wapi? mfumo wote wa CCM umeoza!!
Anafaa kwa kuuza nyumba za serikali.
anafaa wapi? mfumo wote wa CCM umeoza!!
NI kuchanganyikiwa kuendelea kuifikilia CCM, walichotufanya kinatosha
bora slaa na magufuri
wala usiwe na shaka kwa jinsi hawa mabwana CCm wanavyo tupelekehsa kipuuuzi, ni watu wenye roho za kike tu "ndiyo Bwana" kwa kisingizio cha kisiwa cha amani, huku wattu wanauza nchi taratibu. watanzania ninao wajua mimi ambao nawakuta kwenye daladala, maofisini, kwanye vibajaji, kwanye nyumba a ibada, majumba ya starehe, wamechoshwa sana na hawa mafisadi, na itafikia siku nao pia watasema "na liwalo na liwe" ndiyo hapo tutaanza kuheshimianaCCM ipo kwa sababu inakubalika mpaka wapinzani watakapoonesha upinzani wa kweli na kunadi sera zinazoeleweka. Usitegemeen sera za SUGU,LEMA, MSIGWA, SLAA na mamburula mengine kama hayo ziiondoe CCM madarakani, Waanzania wanajfunza kutokana mataifa kama LIBYA, MISRI , TUNISA na mengineyo yaliyodanganywa na vibaraka wa wazungu kama akina SLAA na leo wananchi wake wanajutia hatua zao za kuziondoa madarakani serikali ambazo zilikuwa zinawajali.
Anafaa kwa kuuza nyumba za serikali.
Hivi kumbe huku kwenye jav watu wengi ni wajinga sana dr slaa ameifanyia nn nchi yetu zaid ya kuleta maandamano? Na kufundisha vijana kutotii sheria kuna hapo? Acheni ushabiki usio na manufaa kwa taifa letu
Huwezi kulinganisha Air Force One na toroli..utakuwa sio mzima kichwani!! Dr Slaa Yuko Juuu saaana!!
Lowassa ni fisadi tena lisilo na aibu!!
Mkuu umefunguka vizuri sana, kila mara ninapotaka nafasi ya kuongea humu huwa Nasema, kiukweli kila mtu mwenye fikra nzuri na pevu ni lazima ahitaji mabadiliko hata mm nahitaji mabadiliko lakini si ya kubadilishwa na Slaa anaikitumikia chadema, kiukweli hakuna chama kinachoweza kuindoa ccm madaraka ni mwaka 2015!.CCM ipo kwa sababu inakubalika mpaka wapinzani watakapoonesha upinzani wa kweli na kunadi sera zinazoeleweka. Usitegemee sera za SUGU,LEMA, MSIGWA, SLAA na mamburula mengine kama hayo ziiondoe CCM madarakani, Watanzania wanajfunza kutokana mataifa kama LIBYA, MISRI , TUNISA na mengineyo yaliyodanganywa na vibaraka wa wazungu kama akina SLAA na leo wananchi wake wanajutia hatua zao za kuziondoa madarakani serikali ambazo zilikuwa zinawajali.
Huwezi kulinganisha Air Force One na toroli..utakuwa sio mzima kichwani!! Dr Slaa Yuko Juuu saaana!!
Lowassa ni fisadi tena lisilo na aibu!!
wala usiwe na shaka kwa jinsi hawa mabwana CCm wanavyo tupelekehsa kipuuuzi, ni watu wenye roho za kike tu "ndiyo Bwana" kwa kisingizio cha kisiwa cha amani, huku wattu wanauza nchi taratibu. watanzania ninao wajua mimi ambao nawakuta kwenye daladala, maofisini, kwanye vibajaji, kwanye nyumba a ibada, majumba ya starehe, wamechoshwa sana na hawa mafisadi, na itafikia siku nao pia watasema "na liwalo na liwe" ndiyo hapo tutaanza kuheshimiana
wala usiwe na shaka kwa jinsi hawa mabwana CCm wanavyo tupelekehsa kipuuuzi, ni watu wenye roho za kike tu "ndiyo Bwana" kwa kisingizio cha kisiwa cha amani, huku wattu wanauza nchi taratibu. watanzania ninao wajua mimi ambao nawakuta kwenye daladala, maofisini, kwanye vibajaji, kwanye nyumba a ibada, majumba ya starehe, wamechoshwa sana na hawa mafisadi, na itafikia siku nao pia watasema "na liwalo na liwe" ndiyo hapo tutaanza kuheshimiana
sijui Iq yako ikoje, nyumba za ibada si kanisani tu, ata misikiti. ni kujifanya mjinga kama unadani watu wakielekea au kutoka ibdadani hawaongelei mambo ya kijamii, na sikusema ndani ya nyumba za ibada. na imenitia moyo sana kusema mnachambua mawazo yangu, sasa kama ni kweli kwa ushauri tu, kwa idadi kubwa ya jamii ninayo onana nayo, "hii inatoka ndani kabisa ya roho yangu, kwasababu simtumikii bwana yoyote" CCM inajina baya sana midomoni mwa watu, sijui kuhusu huko vijijini nitakuwa muongo. idadi kubwa ya watu ninayo onana nayo wanaichukia CCM kiasi cha kutosha. mi si mpiga propaganda, si lipwii wala hakuna anaye nijua. huu ndiyo ukweli ulivyo. thanxTatizo watu wengi humu mnatumia akili za watu kuchangia mijadala humu JF, sijui mmeambiwa msiposema hivyo mtakula ban. MBONA wengine tunasimama katika ukweli, tunakula ban na tunarudi? Huwezi kujitambua kuwa wewe unatudanganya kweli mkuu, hivi kweli kwenye majumba ya ibada kuna kuongelea CCM basi tutabaki pale pale kuwa SLAA anatumia nyumba za idaba kutafuta utawala. Siamini kama mtu anakwenda kwenye nyumba za IBADA halafu unatoka huko unaKwenda kwenye majumba ya STAREHE kama mabavyo umesema. Shughulisha ubongo wako mkuu hasa unapotaka kuuhadaa umama kwenye mitandao ya kijamii huku kuna watu na IQ zao, tunasoma ulichokiandika na kukichambua na matokeo yake ndiyo haya tunaanika upuuzi wako unaopost hapa JF.
CCM ipo kwa sababu inakubalika mpaka wapinzani watakapoonesha upinzani wa kweli na kunadi sera zinazoeleweka. Usitegemee sera za SUGU,LEMA, MSIGWA, SLAA na mamburula mengine kama hayo ziiondoe CCM madarakani, Watanzania wanajfunza kutokana mataifa kama LIBYA, MISRI , TUNISA na mengineyo yaliyodanganywa na vibaraka wa wazungu kama akina SLAA na leo wananchi wake wanajutia hatua zao za kuziondoa madarakani serikali ambazo zilikuwa zinawajali.
sijui Iq yako ikoje, nyumba za ibada si kanisani tu, ata misikiti. ni kujifanya mjinga kama unadani watu wakielekea au kutoka ibdadani hawaongelei mambo ya kijamii, na sikusema ndani ya nyumba za ibada. na imenitia moyo sana kusema mnachambua mawazo yangu, sasa kama ni kweli kwa ushauri tu, kwa idadi kubwa ya jamii ninayo onana nayo, "hii inatoka ndani kabisa ya roho yangu, kwasababu simtumikii bwana yoyote" CCM inajina baya sana midomoni mwa watu, sijui kuhusu huko vijijini nitakuwa muongo. idadi kubwa ya watu ninayo onana nayo wanaichukia CCM kiasi cha kutosha. mi si mpiga propaganda, si lipwii wala hakuna anaye nijua. huu ndiyo ukweli ulivyo. thanx