Sr. Magdalena
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 803
- 472
- Thread starter
- #21
Sr. Magdalena,
Umewatusi Watanzania wenye akili na mapenzi mema kwa nchi yao kwa kupambanisha Muadilifu na Fisadi. Unapotaka kupambanisha jaribu kutafuta walau wenye caliber sawa. Mpambano wako ni kati ya R&B na dogori
Niwie radhi kama nimekukwaza lakini ni katika kuangalia vitu kwa undani na si juu juu mkuu, historia ni mwalimu mzuri sana.