The Palm Beach
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 3,611
- 9,269
- Thread starter
- #61
Uko tayari na wahuni wote wakamatwe Ili kukabiliana na sheria ya nchi...?Kama ni hivyo basi Polepole ahukumiwe tu kwa kukiri kwake. Baadaye awe shahidi wa Jamhuri dhidi ya hao wahusika wengine wa huo uhaini.
Hivi unajua lakini walio nyuma ya mpango huu wote...?
Ukimtia ndani Polepole, Samia ataponea wapi? Kassimu Majaliwa ataponea wapi? Serikali nzima ya CCM toka mwaka 1995 wataponea wapi maana uhuni umeanza miaka mingi iliyopita...?
Be very carefully to what you wish....