Gift mzalendo
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 3,772
- 4,913
Unaweza kuwa KIJANA lakini ukawa na uzee wa fikra Kama za kwakoHilo lizee nalo ni aibu kwa Taifa babu mzima naye anadandia uzushi wa wazi na wa hovyo km huo basi ni mtu wa hovyo sana. Ht hivyo dr. Slaa tokea aache upadre na kuoa, na baadaye kumtelekeza mke wake Rose Kamili na watoto na kuja kuoa mke wa mtu Josephine Mushumbusi ni uthibitisho hafai ktk jamii
Lakini ana fikra za vijana
Kwa hiyo ana faida kubwa kwa Taifa kuliko vijana wenye fikra za kizee