polepole

Humphrey Polepole is a Tanzanian politician serving as the Chama Cha Mapinduzi's Ideology and Publicity Secretary and Member of Parliament appointed by President John Magufuli. Before being appointed Humphrey Polepole was a District Commissioner for Ubungo district for five months and earlier Polepole also served as District Commissioner for Musoma District for two months.

View More On Wikipedia.org
  1. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Maali alipo Humphrey Polepole tuhakikishe tunampeka Abdul pia

    Hii ni solution rahisi sana ndugu zangu na itakomesha kabisa matukio hatarishi katika jamii yetu.
  2. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Uovu wa viongozi wa CCM aliousema Polepole ndio sababu ya CHADEMA kukubalika kama chama cha ukombozi.

    Ni viongozi waovu ambao Polepole aliweka wazi kuwa kutoa uhai wa mtu waweze kukamilisha ufisadi wao ni jambo la kawaida kama kunywa chai. Wanaona kutumia dola kunyanyasa raia wa dola huru ya Tanganyika ni umwamba wa kisiasa. CHADEMA imebadikika haitaki kuwa kibaraka wa wanaCCM waovu...
  3. THE FIRST BORN

    JamiiForums Tanzania Kama ni kweli anachokisema kinatoka moyoni na anataka Watanzania wamuamini kua ni mkweli na wamuunge Mkono afate njia ya PolePole.

    Hili la kusema hivi then kesho kutwa tunawaona wote kwenye adhimisho flani hatuwez kukubali.. Hizi mbanga unaongea hivi then kesho unasema tena mpo pamoja na Mkulu hatuwez kumuanini 100% Tupo Zama za NYEUSI NYEUSI, NYEUPE NYEUPE. POLEPOLE alikuja kuungwa Mkono na kusamehewa makosa yake yote...
  4. Etwege

    JamiiForums Tanzania Niliyojifunza kutoka kwenye utekwaji wa Humphrey Polepole

    Utekwaji wa balozi Humphrey Polepole na kupotezwa mazima umeacha mafunzo kadhaa kwa nchi yetu. 1. Adui wa maendeleo ya Tanzania siyo mabeberu mbali ni watanzania wenzetu waliojificha kwenye tawi la Chama cha Mapinduzi linaloitwa CCM mtandao. CCM hawana nia ya dhati ya kutatua matatizo ya...
  5. Burn the bridge _Tz

    JamiiForums Tanzania Masikini Hamphery Polepole, uzalendo umemponza. Hakuna hata mtanzania anemuulizia shujaa huyu.

    Ni takribani miezi sita sasa H.polepole hajulikani kama yuko hai au amekufa Ana macho au hana Ana vidole au hana Ana kucha au hana Ana mpumbu au hana Kifupi amepotezwa na hakuna hata mtanzania leo huo anaepambana kumrudisha H.polepole R.I.P shujaaaaa
  6. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Bongo Zozo amempost Humphrey Polepole, anadai amemmiss sana rafiki yake

    Leo nimeona Bongo Zozo amepost video ameweka na Caption "Nimemkumbuka sana rafiki yangu jamani 🥲🥲" Imefanya niwaze, ndugu, jamaa na marafiki wa Humphrey Polepole watakuwa wanaumia sana. Tunakoelekea Watanzania wataanza kuikimbia nchi yao wataanza kudhalilika kwenye nchi za watu kama Wanigeria...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Watanzania tukikubali maridhiano na CCM tutakuwa watu wa ajabu sana. Damu ya Polepole itatulilia hadi kaburini

    Watanzania wenzangu lazima tujitofautishe na wanyama ambao pengine hawana kumbukumbu wala utashi. Polepole alituambia kabisa kwamba kuna wazee wamepangwa kuja kufacilitate maridhiano baada ya uchaguzi wa 29 October 2025. Just imagine Balozi Humphrey Polepole alitufungua macho kuhusu script ya...
  8. Mjukuu wa mama

    JamiiForums Tanzania Nimekata tamaa kwa madeni

    nimekata tamaa,madeni mengi ,, nisaidien dawa inayoua na inapatikana kwa uharaka
  9. W

    JamiiForums Tanzania CCM ilishindwa kumtumia Humphrey Polepole Sasa inatafuta mchawi

    CCM inapaswa kuacha kutafuta visingizio kuhusu kuporomoka kwa mvuto wake kisiasa. Tatizo kubwa haliko kwa wapinzani, bali kwenye maamuzi ambayo chama chenyewe kimekuwa kikiyafanya. Baada ya kifo cha Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, kulikuwa na kundi kubwa la wanachama na wafuasi waliotaka kuona...
  10. Superbug

    JamiiForums Tanzania Polepole ameingia kwenye orodha ya watu wasio na kaburi lake duniani.

    Wana ccm hivi mnajua POLEPOLE mwana ccm mwenzenu Hana kaburi lake? Mwenzake magufuli yeye analo Sasa mkitaka kuhiji mtaenda wapi?
  11. Superbug

    JamiiForums Tanzania Maswali kuhusu hatma ya Humphrey Polepole

    1. Je Yuko hai? 2. Kama Yuko hai anafanywaje? Kula na kulala milele au ? 3.Je anayemtunza kama Yuko hai Huwa anaongea nae? 4. Au anampa Chakula na kuondoka? 5. Je kama Yuko hai anawaza nini? Kwamba kuna siku nitaliona jua? 6. Je anayemtunza/mfuga anamwambia maneno gani? 7. Kwamba pengine...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Hivi Polepole anafaa kuchukuliwa kama shujaa kweli ? Haya yaliyomtokea yeye na bosi wake Magufuli si ndo waasisi

    Sifurahii utekaji au mauaji ya wananchi kutokana na misimamo na maoni yao kisiasa au kidini. Hebu watanzania tuwe wakweli na tuachie unafiki swala la utekaji na mauaji ya wanasiasa na wana harakati lilianza wakati gani. Huyu Polepole anayeonekana shujaa kwa kuthubutu kuwananga wezi na mafisadi...
  13. Mto wa mbu

    JamiiForums Tanzania Leo nimepata very classified information kutoka Tanzania kuhusiana na kutekwa Kwa Hamphley Polepole

    Daa, hadi mwili unatetemeka. Leo nimepata very classified information kutoka Tanzania kuhusiana na kutekwa Kwa Hamphley Polepole. Polepole alikuwa mwiba mchungu Kwa CCM na Samia. Na hali hii ilipelekea serikali kupambana usiku na mchana kumuwinda. Familia ya Polepole na Polepole mwenyewe...
  14. R

    JamiiForums Tanzania Dada yake Polepole aliomba Bunge la Ulaya kutoliadhibu Taifa nzima bali wawekewe vikwazo wanaohusika na ukiukwaji wa haki za binadamu

    Akizungumza mbele ya Tume ya Haki za Binadamu ya Jumuiya ya Ulaya Juni 22, 2026, Agnes Polepole Lerdorf, ametoa wito wa kufanyika kwa uchunguzi huru wa kimataifa kuhusu kutoweka kwa kaka yake, Humphrey Polepole, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba anaripotiwa kutekwa mnamo Oktoba 26, 2025...
  15. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Familia ya kina Polepole ipongezwe. Haitaki kumuachia Mungu. Ndivyo inavyotakiwa

    Hamjambo! Aiseeeh! Hii familia iwe Mfano kwetu. Haipoi na hawataki kumuachia Mungu. Wanapambana aiseeh! Kule Kaka Mtu, kule Mdogo wakiume. Kule Dada Mtu. Hawa watu wanaonyesha upendo, umoja, ujasiri na hawataki kukubali imeisha. Swali kwa kila mmoja wetu mpaka viongozi na wanaongozwa. Isije...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Kutekwa kwa Polepole lilikuwa kosa kubwa sana la kimkakati Serikali ya awamu ya Sita ilifanya

    Kwenye vita huwa hatushambulii kulia, kushoto, mbele na nyuma lazima uache njia ya kukimbilia ukizidiwa. Baada ya kusikia Mke wa Lissu na Dada wa Polepole kwenye bunge la Ulaya niseme kuwa hakuna Barua au safari Kombo na Samia watafanya itazaa matunda, hata watembee uchi. Huko kwenye Siasa za...
  17. K

    JamiiForums Tanzania Watanzania tuna ugonjwa wa kusahau na kufuata mkumbo.Yaani Leo Magu amekuwa mwema kuliko mama Samia. Eti Polepole nae kawa shujaa. du!!

    Watu mnaosahau maumivu alituachia Magu na Polepole wake 1. Hakupandisha mshahara ya watumishi Kwa kipindi chake chote, kuwaondoa wafanyajazi wenye vyeti feki LAKINI kushundwa kureplace wengine wakati wamejaa mtaani. Nakushindwa kutoa Askari wenye vyeti feki 2. Mauaji ya kibiti na watu kpotea...
  18. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Je, Baadhi ya Mambo Aliyoonya Humphrey Polepole Yameanza Kujitokeza?

    Tangu alipoamua kuzungumza wazi kuhusu masuala mbalimbali ya uongozi, siasa na utawala nchini, Humphrey Polepole amekuwa mmoja wa viongozi waliozua mjadala mkubwa katika jamii. Wapo waliomuunga mkono wakisema alikuwa anatoa tahadhari muhimu kwa mustakabali wa taifa, huku wengine wakiona kauli...
  19. passioner255

    JamiiForums Tanzania Nimejikuta nimewakumbuka watu waliotekwa (kina Polepole)

    Nimejikuta nawakumbuka watu waliopotea kisa kusema ukweli na kukemea maovu kama kina Polepole. Nauhakika wengi kama sio wote wameshauawa na hatutawaona tena.'Mungu awapokee katika ufalme wale Amen' Mungu katupa ujumbe kwa wote waliohusika.Katika kitabu cha Mwanzo 9:6,Mungu alifanya agano na...
  20. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia atajutia sana Humphrey Polepole kutekwa

    Humphrey Polepole ndiye angekuwa kiungo cha Maridhiano Nchini na Duniani.
Back
Top Bottom