Humphrey Polepole is a Tanzanian politician serving as the Chama Cha Mapinduzi's Ideology and Publicity Secretary and Member of Parliament appointed by President John Magufuli. Before being appointed Humphrey Polepole was a District Commissioner for Ubungo district for five months and earlier Polepole also served as District Commissioner for Musoma District for two months.
1. Je Yuko hai?
2. Kama Yuko hai anafanywaje? Kula na kulala milele au ?
3.Je anayemtunza kama Yuko hai Huwa anaongea nae?
4. Au anampa Chakula na kuondoka?
5. Je kama Yuko hai anawaza nini? Kwamba kuna siku nitaliona jua?
6. Je anayemtunza/mfuga anamwambia maneno gani?
7. Kwamba pengine...
Sifurahii utekaji au mauaji ya wananchi kutokana na misimamo na maoni yao kisiasa au kidini.
Hebu watanzania tuwe wakweli na tuachie unafiki swala la utekaji na mauaji ya wanasiasa na wana harakati lilianza wakati gani.
Huyu Polepole anayeonekana shujaa kwa kuthubutu kuwananga wezi na mafisadi...
Daa, hadi mwili unatetemeka.
Leo nimepata very classified information kutoka Tanzania kuhusiana na kutekwa Kwa Hamphley Polepole.
Polepole alikuwa mwiba mchungu Kwa CCM na Samia. Na hali hii ilipelekea serikali kupambana usiku na mchana kumuwinda.
Familia ya Polepole na Polepole mwenyewe...
Akizungumza mbele ya Tume ya Haki za Binadamu ya Jumuiya ya Ulaya Juni 22, 2026, Agnes Polepole Lerdorf, ametoa wito wa kufanyika kwa uchunguzi huru wa kimataifa kuhusu kutoweka kwa kaka yake, Humphrey Polepole, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba anaripotiwa kutekwa mnamo Oktoba 26, 2025...
Hamjambo!
Aiseeeh! Hii familia iwe Mfano kwetu. Haipoi na hawataki kumuachia Mungu. Wanapambana aiseeh!
Kule Kaka Mtu, kule Mdogo wakiume. Kule Dada Mtu.
Hawa watu wanaonyesha upendo, umoja, ujasiri na hawataki kukubali imeisha.
Swali kwa kila mmoja wetu mpaka viongozi na wanaongozwa. Isije...
Kwenye vita huwa hatushambulii kulia, kushoto, mbele na nyuma lazima uache njia ya kukimbilia ukizidiwa.
Baada ya kusikia Mke wa Lissu na Dada wa Polepole kwenye bunge la Ulaya niseme kuwa hakuna Barua au safari Kombo na Samia watafanya itazaa matunda, hata watembee uchi.
Huko kwenye Siasa za...
Watu mnaosahau maumivu alituachia Magu na Polepole wake
1. Hakupandisha mshahara ya watumishi Kwa kipindi chake chote, kuwaondoa wafanyajazi wenye vyeti feki LAKINI kushundwa kureplace wengine wakati wamejaa mtaani. Nakushindwa kutoa Askari wenye vyeti feki
2. Mauaji ya kibiti na watu kpotea...
Tangu alipoamua kuzungumza wazi kuhusu masuala mbalimbali ya uongozi, siasa na utawala nchini, Humphrey Polepole amekuwa mmoja wa viongozi waliozua mjadala mkubwa katika jamii.
Wapo waliomuunga mkono wakisema alikuwa anatoa tahadhari muhimu kwa mustakabali wa taifa, huku wengine wakiona kauli...
Nimejikuta nawakumbuka watu waliopotea kisa kusema ukweli na kukemea maovu kama kina Polepole.
Nauhakika wengi kama sio wote wameshauawa na hatutawaona tena.'Mungu awapokee katika ufalme wale Amen'
Mungu katupa ujumbe kwa wote waliohusika.Katika kitabu cha Mwanzo 9:6,Mungu alifanya agano na...
Kama kumbukumbu zangu ziko sawa, hayo ndio yalikuwa maneno ya Polepole kwa Mtawala kuwa akijiweka madarakani kwa njia zusizo za kudemokrasi, ajiandae kutawala kwa shida.
Kwa saaa, ukisikiliza mikutano ya hadhara ya CHADEMA, ukisoma post na comments za watu mitandaoni kuhusu huu utawala na...
Tumekubali Polepole alikua na makosa lakini solution ikawa ni kumteka na kumpoteza? Sote tunajua Polepole alikua anagusa meza za wakubwa wa nchi hii ambao wamejimilikisha kila kitu cha nchi hii ndo maana kila alipokua...
Salam zikufikie popote ulipo .
Baada ya kumkumbuka Balozi Humpley polepole usingizi umekata ghafla,Kirjana huyu alikua ni mzalendo ,mpenda nchi yake na mtu mwenye kusema ukweli kwa lengo la kuisaidia nchi yake .
Aliteuliwa kuwa balozi wa Tanzania nchini Malawi badae Cuba wakati yuko Cuba...
Nimemkumbuka huyu bwana; amepotea kabisa ndani ya ardhi ya Tanzania bila kuonekana tena. Wanaodaiwa kuhusika wanaendelea kufurahia rasilimali za nchi, na inaonekana hakuna hatua yoyote itakayochukuliwa dhidi yao.
Nawatahadharisha kwamba matendo mabaya yana matokeo yake. Umpumzike kwa amani...
Mara baada ya kutekwa balozi Humphrey Polepole na kuacha damu nyingi sana, mama yake alitembelea nyumba aliyotekwa Polepole na kuahidi kuwa kila aliyeshiriki kwa namna yoyote ile kupanga, kufanikisha na kumteka balozi Polepole lazima atapatwa na jambo kila mmoja kwa wakati wake.
MZEE JOSEPH...
Tunajua nyie mmeshika mpini sisi tumeshika makali tunaomba sasa mwachieni Balozi Polepole tunaomba sana mwachieni Tundu Antipas Lissu hawa ni watanzania wenzetu tunapkosana na kukosea tujifunze kua wavumilivu
Kumwekana sawa kumweka Tundu Lissu jela na kuendelea kumshikilia Polepole sio...
Ni kweli Humphery sababu ya kisema ukweli tu kuwa Rais Samia anaiba rasilimali za Watanganyika?
Kosa lako lilikuwa ni nini?
Kuwaeleza ukweli Watanganyika kuwa Samia ni zao la wanaCCM chini ya mstaafu?
Wakuu,
Akizungumza kwenye kongamano la UVCCM la kuadhimisha miaka 62 ya Muungano Rais Samia amesema huko tunapoendea mshikamano wa kitaifa unaendelea kupungua
"Nimeacha neno mshikamano. Na hapa ndipo nataka vijana tutafakari. Neno mshikamano. Tunavyokwenda hivi, mshikamano wa Watanzania...
Kati ya sababu alizo zitaja Chande , hakuna pahala amesema dola inausishwa na utekaji
Badala yake amesema watekwaji yawezekana ni ushirikina, mapenzi, kutafuta umaarufu na mengine mengi.
Hivi kweli kusoma hatujui hata kuona?
Hii ripoti ni mali ya Rais
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.