The Palm Beach
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 3,611
- 9,269
View: https://youtu.be/Zuf0AQbofZs?si=WeqZpejCIpZYoDR2
IN BRIEF:
1. Dr Wilbroad Peter Slaa ameanza kwa kumshukuru Humphrey Polepole kwa ukiri wake wa kushiriki kuandaa hujuma hizi. Ameomba msamaha kwa taifa na Watanzania wote, nasi tunamsamehe kwa kama ambavyo nasi Mungu wa mbinguni hutusamehe kila siku
2. Aidha amesema kuwa, kufumuliwa kwa siri hii, imethibitisha madai ya siku nyingi ya CHADEMA juu ya hujuma hizi na kuyapa uhalali madai yanayobebwa na movement ya kudai mfumo mpya na huru ya uchaguzi chini ya slogan ya NO REFORMS, NO ELECTION...
3. Amesema, moja ya jambo hatari linalohatarisha usalama wa taifa na nchi ni kuchezea mifumo ya uchaguzi. Haya ndio mambo ambayo yameingiza mataifa mengi kwenye machafuko ya vita vya wenyewe kwa wenyewe..
4. Kwa taarifa kamili, tafadhali sikiliza audio-video hiyo mwanzo mwisho. Mzee kashusha nondo balaa na kufumbua masikio na macho yetu kiasi cha kuona uhayawani unaofanyagwa na wahuni waliomzunguka Rais Samia Suluhu Hassan wakimwingiza chaka kila siku...