kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 12,373
- 14,078
Mungu wa mbinguni hujamwona huyu bado
Dkt. Slaa anasema katazo la Magufuli lilikuwa null void ab initio.
Yaani ni agizo haramu na halina tofauti na agizo ambalo halikuwepo.
Msikilizeni Dr hapa chini.
Ataenda Kule nccr kimkakati Ili kugawa kura za Chadema KABLA ya 2025!Nafurahi Kumuona DR SLAA kurudi ulingoni,
CDM na vyama vingine na CCM hayupo mwenye capacity ya kujenga HOJA na kuzitetea wa level ya Dr Slaa.
Nashauri CDM waridhiane naye na kumrudisha chamani,
Mbatia akifanikiwa kurudi chamani na kufanikiwa kumkaribisha Dr Slaa na Covid 19, wataweza kupata majimbo kadhaa.
Wakimtumia 30 watafail sababu wananchi wanamjua ni muhuni, Afadhali mbatia.Ataenda Kule nccr kimkakati Ili kugawa kura za Chadema KABLA ya 2025!
Nccr ya SASA ni mchezo wa system kupitia selasini!
Itatumika kama neutralizing agent!
Hiyu anataka kuvuliwa hadhi ya ubalozi
Akili kubwa hii
Sasa kama kipindi Cha J P.M Alifanya makosa SI ungesema ye hakuyaona Sasa unataka awe kichwa maji kama weweTATIZO LA HUYU MZEE NI UNAFIKI MBONA MAGUFULI ALIPOKUWEPO HUKUYASEMA HAYA
Acha mihemko, tuliza ubongo alafu angalia hoja.Halina hata aibu kufungua domo lake Leo wakati wote wa Magufuli alikuwa kimyaa akiunga mkono kilakitu
Kwahiyo na Ben Saanane hakupotea Kwa sababu hakuna taarifa ya polisi inasema hakupotea?
Taja neno ambalo halina maana kati ya hayo aliyo yasema.Huyu ndiyo maana hatakumbukwa kamwe kama mwenzake Kafulila. Huyu ana maneno mengi sana yasiyo na maana
Kwahiyo kupangiwa Cha kuongea sio udikteta.Katazo lilikuwepo , katazo haramu, ndio maana tunasema Magufuli alikuwa dikteta aliyekuwa akiipuuza katiba ila Slaa anasema Magufuli hakua dikteta
Nyerere alipata kusema kuwa, mtu akishafirisika kabisa fikra kichwani, huwa anaanza kuzungumzia udini.Sio popo...ni mfia dini .
Wakati wa Magufuli alimuunga mkono kila kitu Hadi udikteta..
Now anapinga kila kitu hata demokrasia mradi Rais sio wa dini yake...
Chadema aliondoka baada ya DJ kupiga mpunga wa mamvi na kumpanafasi agombee urais.Dini pia ilimshinda, Padri mwenye wake wawili wapi na wapi?.
Dini ilimshinda
Ccm ilimshinda
Chadema ilimshinda
Ubalozi hana tena
Siasa imemshinda
Halafu mizee kama hii haikufwagi haraka
Kumpanafasi mtu mliemuita fisadi miaka yote alafu asubuhi moja tu mnamfanya kuwa mgombea wa uraisi huko ndio kujipaka kinyesi Kama hujui.Dr. Slaa tulia nyumbani kwako tafadhali, ulishajiabisha vya kutosha, sasa unachofanya ni kujipaka mavi kabisa.
Japo hatubaliani na maneno yake na matendo yake lakini sio kufikia hatua ya kutaka afe kesho.Hiki kizee kinakaribia kutwaliwa na izrail
Hata ikibackfire haina shida kwani sitakufaJapo hatubaliani na maneno yake na matendo yake lakini sio kufikia hatua ya kutaka afe kesho.
Hapo utakuwa umevuka mstari
Inaweza ku backfire kwako.
Nashauri ufute hii kauli Yako
Huo ndio uungwana na ustaarabu wa viwango vya juu.
Hata mZiLaNkeNdE Mimi binafsi sikuwa navutiwa nae lakini alipokufa sikufurahia hata kidogo nikitaka akae kando maana kazi ya uongozi haikuwa karama yake alikuwa anafosi mambo tu na kuleta madhara kwa walio wengi na wasiona hatia.
Tujisahihishe.
Dkt. Slaa anasema katazo la Magufuli lilikuwa null void ab initio.
Yaani ni agizo haramu na halina tofauti na agizo ambalo halikuwepo.
Msikilizeni Dr hapa chini.