Diaspora Marekani mmetenda haki kwa Rais Samia, dunia imeona

Hizi akili zako zinatosha kuonyesha nani kakutuma. Je waliokuja kumpongeza na kupiga naye picha wao hawajalipwa pesa?
 
Achen mapambio, SSH, Rais akirudi ,kazi ya kwanza nimuombe afumue fumue , SERIKALI anzia KWa IGP, na wote waliotekeleza MPANGO wa kumpa kesi mh Mbowe , wamemuabisha ,ukiacha nchi,

Alafu likesi hili la ajabu lifutwe, waziri wa Mambo ya ndani apigwe chini fasta ,maana ameshindwa kukaa Kati ya wizara yake na Rais Ili kutoa ushauri KWa manufaa ya taifa ,na bosi wake

Mh Rais fukuza wote hao
 
Wajamaika!!! Hivi huu uzezeta mnasomeaga au kipaji tuu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…