Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,028
- 12,350
Kwa nini Watanganyika wote mamilioni kwa mamilioni tunageuzwa wendawazimu na chama cha CCM kwa kutuchezea mchezo wa danganya toto ?
Haiwezekani tunambiwa Desemba 9 ni sherehe za uhuru wa Tanzania bara huu ni upumbavu, Tanzania bara ni uchafu gani huu ?
Hili neno takataka linaloitwa Tanzania bara limetolewa wapi ? Kwa nini inakuwa ngumu kutamkwa Tanganyika ambayo maviongozi ya CCM mpaka mazaliwa ya Tanganyika kwa tamaa za vyeo na ujinga wao yamekubali kuiuza mazima Tanganyika na kuipoteza kabisa.
Mbona sherehe za mapinduzi ya Zanzibar zinafahamika na zina sherekewa kwa kuongozwa na kiongozi wao kabisa kwa nini linapokuja swala la Tanganyika kila historia yake yote kama sio kupindishwa au kupotezwa basi inafutwa kabisa kama ambavyo Tanganyika imefutwa machoni, masikioni na mioyoni kwa Watanganyika wengi imebaki kwa Wanganyika wachache sana.
Kwa nini sherehe za uhuru unaofahamika wa Tanganyika uliogeuzwa jina na kupewa jina la kipuuzi la Tanzania bara ziongozwe na Rais wa jamhuri ya Muungano Rais wa Tanganyika yu wapi ?
So, Nyerere ( sijui kwa nini kuna watu wanaona huyu bwana alikuwa ana akili nyingi sana inasikitisha kama huyu ni kipimo cha watu wenye akili nyingi ) alikubali kuiuza na kuipoteza mazima kabisa Tanganyika ila nchi ya Zanzibar katiba na mamlaka yake yakaachwa huu si uwendawazimu sasa ?!.
Tanganyika hii wapi ? Kama Tanganyika haipo sherehe zifutwe zilizo pachikwa jina la kiuni na la kipuuzi Tanzania bara haiwezekani kusherehekea kitu kisicho kuwepo huko ni kujilisha upepo na kujipa matumaini hewa.
Mzanzibar anajua nini kuhusu thamani na uhuru wa Tanganyika ? Kwa nini mtu asiye Mtanganyika kusima na kutuongoza Watanganyika na kutusemea kuhusu thamani na umuhimu wa uhuru wetu ?
Katika mamilioni hakuna Mtanganyika hata mmoja wa kutusemea kuhusu thamani na uhuru wetu mpaka atoke Mzanzibar huko kuja kutusemea ? Wao mambo ya Watanganyika yana umuhimu gani kwao ?
Haiwezekani tunambiwa Desemba 9 ni sherehe za uhuru wa Tanzania bara huu ni upumbavu, Tanzania bara ni uchafu gani huu ?
Hili neno takataka linaloitwa Tanzania bara limetolewa wapi ? Kwa nini inakuwa ngumu kutamkwa Tanganyika ambayo maviongozi ya CCM mpaka mazaliwa ya Tanganyika kwa tamaa za vyeo na ujinga wao yamekubali kuiuza mazima Tanganyika na kuipoteza kabisa.
Mbona sherehe za mapinduzi ya Zanzibar zinafahamika na zina sherekewa kwa kuongozwa na kiongozi wao kabisa kwa nini linapokuja swala la Tanganyika kila historia yake yote kama sio kupindishwa au kupotezwa basi inafutwa kabisa kama ambavyo Tanganyika imefutwa machoni, masikioni na mioyoni kwa Watanganyika wengi imebaki kwa Wanganyika wachache sana.
Kwa nini sherehe za uhuru unaofahamika wa Tanganyika uliogeuzwa jina na kupewa jina la kipuuzi la Tanzania bara ziongozwe na Rais wa jamhuri ya Muungano Rais wa Tanganyika yu wapi ?
So, Nyerere ( sijui kwa nini kuna watu wanaona huyu bwana alikuwa ana akili nyingi sana inasikitisha kama huyu ni kipimo cha watu wenye akili nyingi ) alikubali kuiuza na kuipoteza mazima kabisa Tanganyika ila nchi ya Zanzibar katiba na mamlaka yake yakaachwa huu si uwendawazimu sasa ?!.
Tanganyika hii wapi ? Kama Tanganyika haipo sherehe zifutwe zilizo pachikwa jina la kiuni na la kipuuzi Tanzania bara haiwezekani kusherehekea kitu kisicho kuwepo huko ni kujilisha upepo na kujipa matumaini hewa.
Mzanzibar anajua nini kuhusu thamani na uhuru wa Tanganyika ? Kwa nini mtu asiye Mtanganyika kusima na kutuongoza Watanganyika na kutusemea kuhusu thamani na umuhimu wa uhuru wetu ?
Katika mamilioni hakuna Mtanganyika hata mmoja wa kutusemea kuhusu thamani na uhuru wetu mpaka atoke Mzanzibar huko kuja kutusemea ? Wao mambo ya Watanganyika yana umuhimu gani kwao ?