Dalili za mwanaume maskini ni hizi

Dalili za mwanaume maskini ni hizi

Maintaining personal financial independence while in relationship provides security,balance and individual autonomy,
Life is unpredictable,having personal funds ensures you are prepared for unexpected changes,breakups or emergencies,
Treating the body as commodity reduces a person to an object,it degrades human worth.

Hakuna popote duniani ambapo mwanamke kadhalilika kisa kupewa pesa na kuhudumiwa

hata kama nina pesa kuhongwa kutasimama palepale.
dunia hii ya sasa kila mtu anajua kutafuta pesa yake na kumiliki lakini nature iko palepale
 
Hakuna popote duniani ambapo mwanamke kadhalilika kisa kupewa pesa na kuhudumiwa

hata kama nina pesa kuhongwa kutasimama palepale.
dunia hii ya sasa kila mtu anajua kutafuta pesa yake na kumiliki lakini nature iko palepale
Huoni kua huu uzi ni tayari umemdhalilisha Mwanamke?
Kumbe mnajua kua hua kuna nature? sasa kwanini mnatafuta usawa wa 50/50?
 
Nataufa ni nini tena papi, umekula kweli?

Naona wamekufungulia dunia tunyooshe!

Kwa maparagraph aloacha huko juu, bado tu unahitaji nyongeza🙆🏽‍♀️
Hahaha 😂, nime-type vibaya.

Bibie kaandika vizuri, lakini binafsi napenda nione mtazamo wa mkubwa wa hizi kazi Natafuta, maana napenda kuangalia vitu kwa mitazamo tofauti tofauti.

Ayatollah 2026 nyooshaaa! 😎
 
Hakuna popote duniani ambapo mwanamke kadhalilika kisa kupewa pesa na kuhudumiwa

hata kama nina pesa kuhongwa kutasimama palepale.
dunia hii ya sasa kila mtu anajua kutafuta pesa yake na kumiliki lakini nature iko palepale
Nilivyomuelewa mtoa mada si kwamba haongwi ila level ya muhongo anayoipata anaona kama haendani nayo.

Yani kuna brother huko anajipinda kulipa bills kwa upendo ila yeye anatamani level kubwa zaidi ilhali hata anavyopewa hawezi kujipa mwenyewe. Unaona hilo ni sawa?..

Vipi kama hata yeye hana vigezo vya kuhongwa hivyo vitu anatamani ?..

Maana huwezi tamani kuhongwa kama madam ritha kwa lifestyle ya pipityda.. Ipo wazi

Hata mwanamke anaongezeka value akiwa financially independent
 
Hahaha 😂, nime-type vibaya.

Bibie kaandika vizuri, lakini binafsi napenda nione mtazamo wa mkubwa wa hizi kazi Natafuta, maana napenda kuangalia vitu kwa mitazamo tofauti tofauti.

Ayatollah 2026 nyooshaaa! 😎
Mitazamo ya kumpooza mwanaume asijione ana haki ya kufanya lolote! Ila sio tofauti na hilo!

Umemiss kuona tunatukanwa tu wewe, tuanze kuambiwa tumejichubua kama kitimoto na tumevaa miwani kwneye komwe, Au umemiss mtanange😂
 
Nilivyomuelewa mtoa mada si kwamba haongwi ila level ya muhongo anayoipata anaona kama haendani nayo.

Yani kuna brother huko anajipinda kulipa bills kwa upendo ila yeye anatamani level kubwa zaidi ilhali hata anavyopewa hawezi kujipa mwenyewe. Unaona hilo ni sawa?..

Vipi kama hata yeye hana vigezo vya kuhongwa hivyo vitu anatamani ?..
Huenda anahongwa kulingana na uzuri wake.

Kwa mfano unamuhongaje pesa ndefu mtu ambaye hana hata makebo, pua kama ya nguruwe n.k.

Kama anataka kuhongwa pesa ndefu awake kwanza sifa zake ili tulinganishe na kile wanachompea kama hongo.
 
Huenda anahongwa kulingana na uzuri wake.

Kwa mfano unamuhongaje pesa ndefu mtu ambaye hana hata makebo, pua kama ya nguruwe n.k.

Kama anataka kuhongwa pesa ndefu awake kwanza sifa zake ili tulinganishe na kile wanachompea kama hongo.
Kila kitu hua kina standard yake,
Mleta mada anataka mwanaume alipie usafiri wa Bajaji kama atakavyolipia akisafiri kwa Ndege! yani nauli ya Bajaji na Ndege ziwe sawa!
 
Mitazamo ya kumpooza mwanaume asijione ana haki ya kufanya lolote! Ila sio tofauti na hilo!

Umemiss kuona tunatukanwa tu wewe, tuanze kuambiwa tumejichubua kama kitimoto na tumevaa miwani kwneye komwe, Au umemiss mtanange😂
Tatizo ninyi mnakuwa negative kuhusu anachokiongea Natafuta.

Laiti kama mngechukua yale mawazo ya Natafuta kama motisha mngefika mbali sana 😁
 
Kila kitu hua kina standard yake,
Mleta mada anataka mwanaume alipie usafiri wa Bajaji kama atakavyolipia akisafiri kwa Ndege! yani nauli ya Bajaji na Ndege ziwe sawa!
Tatizo hajiangalii kwenye kioo. Yeye akiambiwa tu, "we ni mzuri", anaona imeisha hiyooo!

Anunue kwanza kioo kubwa awake chumbani mwake, baada ya wiki aje na Uzi mwingine.
 
Nilivyomuelewa mtoa mada si kwamba haongwi ila level ya muhongo anayoipata anaona kama haendani nayo.

Yani kuna brother huko anajipinda kulipa bills kwa upendo ila yeye anatamani level kubwa zaidi ilhali hata anavyopewa hawezi kujipa mwenyewe. Unaona hilo ni sawa?..

Vipi kama hata yeye hana vigezo vya kuhongwa hivyo vitu anatamani ?..

Maana huwezi tamani kuhongwa kama madam ritha kwa lifestyle ya pipityda.. Ipo wazi

Hata mwanamke anaongezeka value akiwa financially independent

Naona kama swali na maelezo ayaone dada rose SweetyCandy
 
"Sio hao wanajiona wanaume wanapiga pumbu hadi wanakuchakaza, mama yako akija anakupita akizani bibi mwenzie amekuzalisha hadi huna ramani imefutika". - Nimecheka kinoma hapa.

Kuhusu mada: Ni mawazo/mtazamo wa mtoa mada, naheshimu mawazo/mtazamo wako mtoa mada.
 
"Sio hao wanajiona wanaume wanapiga pumbu hadi wanakuchakaza, mama yako akija anakupita akizani bibi mwenzie amekuzalisha hadi huna ramani imefutika". - Nimecheka kinoma hapa.

Kuhusu mada: Ni mawazo/mtazamo wa mtoa mada, naheshimu mawazo/mtazamo wako mtoa mada.
Acha uhuni kijana,yani Uzi wote,wewe umeona kwenye mtu kupigwa Pumbu tu? wakati huyu kapigwa na maisha.
 
Back
Top Bottom