Ukiona unahangaika sana na mapenzi yakujionyesha kuwa unaweza kufanya jamboo kwa mpenzi wako .
WEwe jua wewe ni maskini .
Eti mtu unajifanya uko updated eti maji nimelipa babe eti umeme nimeweka dstv nimelipa nimekununulia simu huo ni ujinga . Hayo ni maisha ya wanaume wa Dar na wa chuo...
MWANAUME MASKINI HANA NAFASI YA KUFANYA MAKOSA MFULULIZO
Kuna ukweli mchungu ambao wanaume wengi hawaambiwi mapema.
Ukizaliwa maskini kama mwanaume —
maisha hayatakusamehe kirahisi.
Kwa sababu mwanaume maskini hana luxury ya kufanya makosa mengi bila gharama.
Makosa yake hulipwa kwa maumivu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.