Dalili za mwanaume maskini ni hizi

Dalili za mwanaume maskini ni hizi

Wengi hamna high standards kama mnavyo jidanganya,,otherwise mngekua katika ndoa au mahusiano yanayo eleweka na hao wanaume mnao fikiri mnatoshana nao but y'all be getting used left and right and dumped consistently...

Na ukichunguza sana watu ambao wapo over 30s ndio wana set parasitic standards..
 
Tatizo hajiangalii kwenye kioo. Yeye akiambiwa tu, "we ni mzuri", anaona imeisha hiyooo!

Anunue kwanza kioo kubwa awake chumbani mwake, baada ya wiki aje na Uzi mwingine.
Alafu ukute mwanamke mwenyewe mzuri sura tu, tabia mbaya mzigo mbovu kama kifusi cha divi kupika hajui kutandika kitanda hajui umbea kibao kama mzaramo wa kigogo
 
Broke guys wamepaniki haooooo, ifike muda sasa wanaume wasio na hela wafungwe gerezani hii itapunguza misongamano na kunukishwa vikwapa barabarani
Kwa mtaji huo Hata wewe unatakiwa ufungwe maana huna hela ila unajifanya jike dume. Mimi na ufukara wangu natangulia Kibandamaiti
 
Wanaume wenye pesa ni nadra sana kutoka na mwanamke maskini.
Au asiye na cheo
Au asiyetoka familia kubwa
Au asiye na elimu kubwa
Au asiye na kazi yenye hadhi
Au asiye mzuri kabisa.
Haahaaaa ni wewe tu mwaya tukianza zari na mumewe walianza chini walikuwa hawana kitu , mengi na mke wake walianza chini wakaja juu matajiri wengi walianza chini wakapanda kremu maisha jomba mie sina hela kiivyoo ila matajiri haswa haswa wa mjini wananifukuzia na siwataki maana wana wake ni mameli sio viburushuti kwenda hapo kenya anawaza mtu anauwezo wakununua meli iliyopo marekani na cash uwage muelewa .
 
Ukiona unahangaika sana na mapenzi yakujionyesha kuwa unaweza kufanya jamboo kwa mpenzi wako .
WEwe jua wewe ni maskini .

Eti mtu unajifanya uko updated eti maji nimelipa babe eti umeme nimeweka dstv nimelipa nimekununulia simu huo ni ujinga . Hayo ni maisha ya wanaume wa Dar na wa chuo.

Wanaume wenye hela wanaenda mpaka idara ya maji na tanesco na wanalipia kwa mwaka au miezi 6 na gari anakuwa anakubadilishia anakufungulia kampuni au biashara ya mabilioni halafu eti wewe simu tu unapiga simu mpenzi nimekupigia kukuambia kuwa nimekununulia simu.

Wanaume wenye nazo hawatoi notification wanafanya unaona unasikia simu uko wapi kazini nakuja anakupa mali gari mpya . Sio hao wanajiona wanaume wanapiga pumbu hadi wanakuchakaza, mama yako akija anakupita akizani bibi mwenzie amekuzalisha hadi huna ramani imefutika .

Maisha haya unatakiwa mtu mwenye pesa . Sio mwanaume mwenye juhudi .
Juhudi ampelekee mama yake kijijini
Halafu na mbwembwe hizi zore usikue unapigwa mjegeje na jamaa hata hao wa kusema kalipa bili hana
Ila humu una act kama unakazwa na Dangote
 
Haahaaaa ni wewe tu mwaya tukianza zari na mumewe walianza chini walikuwa hawana kitu , mengi na mke wake walianza chini wakaja juu matajiri wengi walianza chini wakapanda kremu maisha jomba mie sina hela kiivyoo ila matajiri haswa haswa wa mjini wananifukuzia na siwataki maana wana wake ni mameli sio viburushuti kwenda hapo kenya anawaza mtu anauwezo wakununua meli iliyopo marekani na cash uwage muelewa .

Kuna ile hutaki mtu kwa sababu unajua sio level yako. Atakupotezea muda. Hivyo upo sahihi kabisa.

Hakunaga tajiri asiye na sifa mojawapo niliyokutajia pale juu.
Aidha ametoka familia yenye msingi.
Au anaakili sana.
Au amesoma sana na anafanya kazi yenye kipato cha juu.

Amerithi kutoka kwa wazazi au kwa kugawana mali na mumewe.

Lakini kama wewe ni wale bata mzinga. Mlilie Mungu tuu.
 
Wengi hamna high standards kama mnavyo jidanganya,,otherwise mngekua katika ndoa au mahusiano yanayo eleweka na hao wanaume mnao fikiri mnatoshana nao but y'all be getting used left and right and dumped consistently...

Na ukichunguza sana watu ambao wapo over 30s ndio wana set parasitic standards..
Ni kweli yote ila tafuta hela acha kukariri maisha ndoa ni mdudu gani mahusiano nani
 
Kuna ile hutaki mtu kwa sababu unajua sio level yako. Atakupotezea muda. Hivyo upo sahihi kabisa.

Hakunaga tajiri asiye na sifa mojawapo niliyokutajia pale juu.
Aidha ametoka familia yenye msingi.
Au anaakili sana.
Au amesoma sana na anafanya kazi yenye kipato cha juu.

Amerithi kutoka kwa wazazi au kwa kugawana mali na mumewe.

Lakini kama wewe ni wale bata mzinga. Mlilie Mungu tuu.
Bata mzinga??
 
Back
Top Bottom