The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 38,161
- 118,091
Kila siku nipo humu,michambo yote naikuta humu,Jamani ice pamoja na kuwa abroad mbona michambo imenyooka kama sisi wa uswahilini??
Dunia ni kama Kijiji siku hizi,JF ndio sehemu ya kusocialize coz huku kila mtu kivyake,
Tukirudi kwenye mada,maisha ya utegemezi ni sawa na utumwa.