leo dada
JF-Expert Member
- Oct 26, 2023
- 3,032
- 15,229
Striker unatoa mashambulizi makali mnoo.....Broke guys wamepaniki haooooo, ifike muda sasa wanaume wasio na hela wafungwe gerezani hii itapunguza misongamano na kunukishwa vikwapa barabarani
Striker unatoa mashambulizi makali mnoo.....Broke guys wamepaniki haooooo, ifike muda sasa wanaume wasio na hela wafungwe gerezani hii itapunguza misongamano na kunukishwa vikwapa barabarani
Kumbuka mimi sio mtoa mada!!!!Hapana twende taratibu kwa mujibu wa mtoa mada, kipimo ni hicho?
Same punishment be applied kwa wanawake masikini wanaojifanya wana standardsBroke guys wamepaniki haooooo, ifike muda sasa wanaume wasio na hela wafungwe gerezani hii itapunguza misongamano na kunukishwa vikwapa barabarani
Mwanaume huwa anajua na kukubali kwamba ye ni masikini. Ila mwanamke anafikiri umasikini wake umesababishwa na wanaume masikini 😂Ila wanawake akili zao bana😂😂
Yani mwanamke akiwa na mwanaume asie na pesa anamuona mwanaume masikini
Ila yeye hapo alipo hana pesa na hajioni ni masikini😂😂
Ee Mungu eee
Lazima tuwakabe koo hadi wacheue😄Striker unatoa mashambulizi makali mnoo.....
Hakuna mwanamke maskini, ishikilie hiyoSame punishment be applied kwa wanawake masikini wanaojifanya wana standards
Kabisa wasipende vya bure maana hakuna cha bureLazima tuwakabe koo hadi wacheue😄
Si tunajadiliana maana mtoa mada amekimbiaKumbuka mimi sio mtoa mada!!!!
au unataka kunihoji juu ya hilo sema?
Ndio hawa wanasikia wakasema " Tafuta Hela" nikishasikia Mwanaume anasema hivyo najua kabisa huyo ni Maskini anaamini pesa ndio inampa mapenziUkiona unahangaika sana na mapenzi yakujionyesha kuwa unaweza kufanya jamboo kwa mpenzi wako .
WEwe jua wewe ni maskini .
Kwa kuwa nipo nipo tu mshangazi jobless tuendelee karibuSi tunajadiliana maana mtoa mada amekimbia
Kuna hawa wanafanya hadi tamasha siku ya kumpa funguo ya Gari Mwanamke wake, na Online TV inalodishwa kurusha live😂😂Wanaume wenye nazo hawatoi notification wanafanya unaona unasikia simu uko wapi kazini nakuja anakupa mali gari mpya . Sio hao wanajiona wanaume wanapiga pumbu hadi wanakuchakaza, mama yako akija anakupita akizani bibi mwenzie amekuzalisha hadi huna ramani imefutika .
Kwani mwanamke ana nini kumfanya awe special hivyo,badala nijijali mimi nimjali mwanamke labda nimekuwa mwanaume mshamba wa mapenziUkiona unahangaika sana na mapenzi yakujionyesha kuwa unaweza kufanya jamboo kwa mpenzi wako .
WEwe jua wewe ni maskini .
Eti mtu unajifanya uko updated eti maji nimelipa babe eti umeme nimeweka dstv nimelipa nimekununulia simu huo ni ujinga . Hayo ni maisha ya wanaume wa Dar na wa chuo.
Wanaume wenye hela wanaenda mpaka idara ya maji na tanesco na wanalipia kwa mwaka au miezi 6 na gari anakuwa anakubadilishia anakufungulia kampuni au biashara ya mabilioni halafu eti wewe simu tu unapiga simu mpenzi nimekupigia kukuambia kuwa nimekununulia simu.
Wanaume wenye nazo hawatoi notification wanafanya unaona unasikia simu uko wapi kazini nakuja anakupa mali gari mpya . Sio hao wanajiona wanaume wanapiga pumbu hadi wanakuchakaza, mama yako akija anakupita akizani bibi mwenzie amekuzalisha hadi huna ramani imefutika .
Maisha haya unatakiwa mtu mwenye pesa . Sio mwanaume mwenye juhudi .
Juhudi ampelekee mama yake kijijini
NI UBATILIUkiona unahangaika sana na mapenzi yakujionyesha kuwa unaweza kufanya jamboo kwa mpenzi wako .
WEwe jua wewe ni maskini .
Eti mtu unajifanya uko updated eti maji nimelipa babe eti umeme nimeweka dstv nimelipa nimekununulia simu huo ni ujinga . Hayo ni maisha ya wanaume wa Dar na wa chuo.
Wanaume wenye hela wanaenda mpaka idara ya maji na tanesco na wanalipia kwa mwaka au miezi 6 na gari anakuwa anakubadilishia anakufungulia kampuni au biashara ya mabilioni halafu eti wewe simu tu unapiga simu mpenzi nimekupigia kukuambia kuwa nimekununulia simu.
Wanaume wenye nazo hawatoi notification wanafanya unaona unasikia simu uko wapi kazini nakuja anakupa mali gari mpya . Sio hao wanajiona wanaume wanapiga pumbu hadi wanakuchakaza, mama yako akija anakupita akizani bibi mwenzie amekuzalisha hadi huna ramani imefutika .
Maisha haya unatakiwa mtu mwenye pesa . Sio mwanaume mwenye juhudi .
Juhudi ampelekee mama yake kijijini
Mkuu umepiga mule mule,Ukiwajua wanaume Bahiri hata wanne wewe ni OMBAOMBA.
wenzako hawaombi wanapewa Gong'ole wewe.
Acha Njaa.