SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 5,217
- 9,899
- Thread starter
- #161
OKayUnajua dalili za mtu maskini wa kutupa? Uandishi wa kipumbavu kama huu!
OKayUnajua dalili za mtu maskini wa kutupa? Uandishi wa kipumbavu kama huu!
Sinaga dharau wala hunijui tu wanaonijua ndio wanajuaweeee dada acha dharau hata kama ulibahatika kuongwa vitu hivyo vyetu
Baba yake utakuta ana miaka 60 hana hata pikipiki sijui alikuwa anafanya nini hapa duniani muda wote huo, lakini kujana wa watu kaishi duniani miaka 25-30 anataka awe na magari ya kifahari na makampuni.Ila wanawake akili zao bana😂😂
Yani mwanamke akiwa na mwanaume asie na pesa anamuona mwanaume masikini
Ila yeye hapo alipo hana pesa na hajioni ni masikini😂😂
Ee Mungu eee
Baba yangu alikuwa na gari 2 na dereva 1 na alikuwa na pikipiki moja kubwa moja ndogo so endelea kujidanganya mwenzako ml 1 au 2 kipindi cha mwalimu mpaka 5ml ulikuwa mshahara wake.Baba yake utakuta ana miaka 60 hana hata pikipiki sijui alikuwa anafanya nini hapa duniani muda wote huo, lakini kujana wa watu kaishi duniani miaka 25-30 anataka awe na magari ya kifahari na makampuni.
Ligi ya mkoa..Vs..Ligi kuuUkiona unahangaika sana na mapenzi yakujionyesha kuwa unaweza kufanya jamboo kwa mpenzi wako .
WEwe jua wewe ni maskini .
Eti mtu unajifanya uko updated eti maji nimelipa babe eti umeme nimeweka dstv nimelipa nimekununulia simu huo ni ujinga . Hayo ni maisha ya wanaume wa Dar na wa chuo.
Wanaume wenye hela wanaenda mpaka idara ya maji na tanesco na wanalipia kwa mwaka au miezi 6 na gari anakuwa anakubadilishia anakufungulia kampuni au biashara ya mabilioni halafu eti wewe simu tu unapiga simu mpenzi nimekupigia kukuambia kuwa nimekununulia simu.
Wanaume wenye nazo hawatoi notification wanafanya unaona unasikia simu uko wapi kazini nakuja anakupa mali gari mpya . Sio hao wanajiona wanaume wanapiga pumbu hadi wanakuchakaza, mama yako akija anakupita akizani bibi mwenzie amekuzalisha hadi huna ramani imefutika .
Maisha haya unatakiwa mtu mwenye pesa . Sio mwanaume mwenye juhudi .
Juhudi ampelekee mama yake kijijini
Ukiona unahangaika sana na mapenzi yakujionyesha kuwa unaweza kufanya jamboo kwa mpenzi wako .
WEwe jua wewe ni maskini .
Eti mtu unajifanya uko updated eti maji nimelipa babe eti umeme nimeweka dstv nimelipa nimekununulia simu huo ni ujinga . Hayo ni maisha ya wanaume wa Dar na wa chuo.
Wanaume wenye hela wanaenda mpaka idara ya maji na tanesco na wanalipia kwa mwaka au miezi 6 na gari anakuwa anakubadilishia anakufungulia kampuni au biashara ya mabilioni halafu eti wewe simu tu unapiga simu mpenzi nimekupigia kukuambia kuwa nimekununulia simu.
Wanaume wenye nazo hawatoi notification wanafanya unaona unasikia simu uko wapi kazini nakuja anakupa mali gari mpya . Sio hao wanajiona wanaume wanapiga pumbu hadi wanakuchakaza, mama yako akija anakupita akizani bibi mwenzie amekuzalisha hadi huna ramani imefutika .
Maisha haya unatakiwa mtu mwenye pesa . Sio mwanaume mwenye juhudi .
Juhudi ampelekee mama yake kijijini
Kha, ama bora niendelee kumpelekea mama yangu Juhudu zangu hizi ndogo ndogo, she will appreciate. Girls of your nature ain't loyal at all, na kama penzi ni for sale to that extent, bora wale wa short time chap wazungu hawaapa, kila mtu take your time.Ukiona unahangaika sana na mapenzi yakujionyesha kuwa unaweza kufanya jamboo kwa mpenzi wako .
WEwe jua wewe ni maskini .
Eti mtu unajifanya uko updated eti maji nimelipa babe eti umeme nimeweka dstv nimelipa nimekununulia simu huo ni ujinga . Hayo ni maisha ya wanaume wa Dar na wa chuo.
Wanaume wenye hela wanaenda mpaka idara ya maji na tanesco na wanalipia kwa mwaka au miezi 6 na gari anakuwa anakubadilishia anakufungulia kampuni au biashara ya mabilioni halafu eti wewe simu tu unapiga simu mpenzi nimekupigia kukuambia kuwa nimekununulia simu.
Wanaume wenye nazo hawatoi notification wanafanya unaona unasikia simu uko wapi kazini nakuja anakupa mali gari mpya . Sio hao wanajiona wanaume wanapiga pumbu hadi wanakuchakaza, mama yako akija anakupita akizani bibi mwenzie amekuzalisha hadi huna ramani imefutika .
Maisha haya unatakiwa mtu mwenye pesa . Sio mwanaume mwenye juhudi .
Juhudi ampelekee mama yake kijijini
Kwa kipi hasa ulicho nacho mpaka ufanyiwe yote hayo? Si bora Riverside huachi hata namba ya simuUkiona unahangaika sana na mapenzi yakujionyesha kuwa unaweza kufanya jamboo kwa mpenzi wako .
WEwe jua wewe ni maskini .
Eti mtu unajifanya uko updated eti maji nimelipa babe eti umeme nimeweka dstv nimelipa nimekununulia simu huo ni ujinga . Hayo ni maisha ya wanaume wa Dar na wa chuo.
Wanaume wenye hela wanaenda mpaka idara ya maji na tanesco na wanalipia kwa mwaka au miezi 6 na gari anakuwa anakubadilishia anakufungulia kampuni au biashara ya mabilioni halafu eti wewe simu tu unapiga simu mpenzi nimekupigia kukuambia kuwa nimekununulia simu.
Wanaume wenye nazo hawatoi notification wanafanya unaona unasikia simu uko wapi kazini nakuja anakupa mali gari mpya . Sio hao wanajiona wanaume wanapiga pumbu hadi wanakuchakaza, mama yako akija anakupita akizani bibi mwenzie amekuzalisha hadi huna ramani imefutika .
Maisha haya unatakiwa mtu mwenye pesa . Sio mwanaume mwenye juhudi .
Juhudi ampelekee mama yake kijijini
Unanijua vizuri wewe😅Unaona eh ngoja usije PM kuomba niache kukupakaa
Yan mashart ya hawa watu siku hiz ni msgum kuliko kutafuta hela za kichawiAsavali niendelee tu kuitwa masikini aiseeee....🤥
Maana hayo masharti ni magumu kuliko ya mganga wa kienyeji...😜
Wanawake walivyo wengi hivi nikupendelee ww tu mmoja haikubaliki hiyoUkiona unahangaika sana na mapenzi yakujionyesha kuwa unaweza kufanya jamboo kwa mpenzi wako .
WEwe jua wewe ni maskini .
Eti mtu unajifanya uko updated eti maji nimelipa babe eti umeme nimeweka dstv nimelipa nimekununulia simu huo ni ujinga . Hayo ni maisha ya wanaume wa Dar na wa chuo.
Wanaume wenye hela wanaenda mpaka idara ya maji na tanesco na wanalipia kwa mwaka au miezi 6 na gari anakuwa anakubadilishia anakufungulia kampuni au biashara ya mabilioni halafu eti wewe simu tu unapiga simu mpenzi nimekupigia kukuambia kuwa nimekununulia simu.
Wanaume wenye nazo hawatoi notification wanafanya unaona unasikia simu uko wapi kazini nakuja anakupa mali gari mpya . Sio hao wanajiona wanaume wanapiga pumbu hadi wanakuchakaza, mama yako akija anakupita akizani bibi mwenzie amekuzalisha hadi huna ramani imefutika .
Maisha haya unatakiwa mtu mwenye pesa . Sio mwanaume mwenye juhudi .
Juhudi ampelekee mama yake kijijini
Bata mzinga??
Shida ni kuwa hata mwanaume ukiwa na izo pesa hamna guarantee kua huyo mwanamke unaemfanyia hayo yote anakupenda na kukuthamini leo dadaHakuna kombola hapo,, kajiongelea zake ukweli mtupu ambao wanaume hawataki kuusikia.
Tatizo hamna guarantee kama mwanamke hakupendi ni hakupendi tu, hata mkipewa ivyo vyote haisaidii kuimarisha penzi la kweli, sana sana kidume utapewa miuno feki na affection feki, ili uendelee kutoboka Dr. MariposaBroke guys wamepaniki haooooo, ifike muda sasa wanaume wasio na hela wafungwe gerezani hii itapunguza misongamano na kunukishwa vikwapa barabarani
Mimi nataka kulipia gas ya miezi 8, maji tushapata pa kwenda😂😂Tunawasubiri wasogee pande hii kujibu mahambulizi.