Current four star Generals in Tanzania

Current four star Generals in Tanzania

Majina tu ndio hilo hilo
Tafsiri halisi ya Infantry ni askari wa miguu. Je kuna Kamandi ya askari miguu?
Tofauti ipo ukiongelea askari wa miguu na ukiongelea jeshi la ardhini/nchi kavu. Tukiongelea jeshi la ardhini tunajumuisha makundi yote ya askari wanaopigana kwa kutumia ardhi (ukitoa Navy na Air) makundi hayo ni pamoja na ikiwemo field artillery, motors, armoured personnel carriers, field engineers, Hivyo Infantry ni sehemu ndogo tu ya Land forces. Hivyo ipo kamandi ya Land forces (Jeshi la ardhini/Nchi kavu) lakini hakuna kamandi ya Infantry zaidi ya vikosi na Brigade....
 
Hakuna figisu yoyote ya kumuondoa Mabeyo, cheo cha CDF kina security of tenure ya vipindi viwili vya miaka mitano mitano kama alivyo Gavana wa BOT, CAG, etc, rais yoyote akija hawezi kuwaondoa na kuleta watu wake.
Hili sio tuu la hakuna Mzanzibari mwenye sifa ya kuwa CDF, kati ya ma CDF, mwenye jina la Kiislamu ni mmoja tuu, Abdallah Twalipo, na sijui ni jina tuu, au alikuwa Muislamu kweli, maana binti yake Flora, tumesoma nae primary alikuwa Mkristo.

Hili nililiulizia hapa
P

Urefu wa tenure unategemea pia age ya mtu alipoteuliwa kuwa CDF. Mtu anayeteuliwa kuwa CDF miaka minne kabla ya retirement, kwa mfano, obviously, hawezi kuwa CDF kwa miaka kumi!
 
Wewe unaona Brigadier na Brigadear General ni kitu kimoja??
Ni kitu kimoja. Unaweza kuthibitisha kuwa ni wawili tofauti?
Cheo cha kijeshi Brigadier general, kuitwa brigadier ni kukatishwa kwa jina lake.
 
Junior NCO ni Lance Koplo na Koplo

Sajenti ni Senior NCO kumbuka Mess zimepangwaje kivyeo , Sajenti anakula Mess moja na mastaff sajenti na Makolokolo wote

Kuanzia Meja mpaka kanali hawa ni senior officers, meja hawezi pewa adhabu ya kifungo na CO

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Rekebisha hii post au ifute.
 
IMG_3702.jpg
 
Urefu wa tenure unategemea pia age ya mtu alipoteuliwa kuwa CDF. Mtu anayeteuliwa kuwa CDF miaka minne kabla ya retirement, kwa mfano, obviously, hawezi kuwa CDF kwa miaka kumi!
Yes it's true, na kwa vile hizi position zote za wale constitutional officers, baada ya kumaliza their tenure, hawaruhusiwi kuajiriwa popote, retirement age yao ni 65 up to 75. Sasa akiteuliwa CAG mwenye 40 years akahudumu for 10 years hadi 50 years, baada ya hapo hapaswi kuteuliwa utumishi wa umma, anakwenda wapi just at 50, 15 years kabla ya muda wa kustaafu?.
P
 
Duu!, swali hili limenifanya nijitafakari sana, mimi ni Msukuma wa aina gani, kwasababu japo Mabeyo, tunatoka naye kijiji kimoja, Masanza, nyumbani kwake na kwetu ni just accros the main road, lakini huwezi amini, sijawahigi hata kujua alipandaje ghafla na kuwa generali, wala siijui CV yake, nasikia ni highly learned, and he is good!.
P
Yule so akitokea Military intelligence ungemjuaje kwa mfano
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom