Current four star Generals in Tanzania

Current four star Generals in Tanzania

Zipo lakini kwa hapa zinaongozwa na 2 stars, kwa sababu bado ni ndogo. Airforce yenye ndege 15 unaipa 4 star general itakuwa ni matumizi mabaya ya cheo.
Ni sawa na kanali kuwa ADC wa rais kwenye nchi za Africa meanwhile nchi za Ulaya na Marekani ADC ni Petty officer cheo cha chini kuliko Luteni usu. Mm nafikiri ni kudharirirsha jeshi. Kanali ni cheo kikubwa sana jeshini. Tena kwa US na Europe( Alemania, Uk, France, belgium )kanali ni cheo cha juu sana
 
Wasukuma ni watu poa sana, ila ndiyo hivyo tunapakwa matope kwa sababu za kijinga kabisa tena watoto wa chuo.
Tatizo huja pale msukuma mjinga anapotaka mamlaka aliyonayo ndugu yawe kama yake na si ya ndugu yake.

Nadhani inakuwa ni ushamba flani.
Otherwise wasukuma wako vizuri tu sema kuna wachache wajinga sana, sisemi kwa maana mbaya maana mzazi wangu mmoja ni msukuma original kutoka huko interior kabisa
 
Kuna wakati mkuu wa Chuo cha Ulinzi wa Taifa(kama sikosei pale Kunduchi) aliwahi kua Lt General(* General), sijajia kama iko hivyo hadi sasa au ilibadilishwa.
Ilibadilishwa sasa MG
 
Uuongozi wa Jeshi ni clusters zenye idadi fulani.
the lowest ni unit, ina watu 9 ma privates, wanaongozwa na Koplo.
Units 3 zinaunda Section, ina askari 30, ma koplo 3 na inaongozwa na Sergeant
Section zikiwa tatu, zina askari 90, makaplo 9, ma Sergeant 3, zinaunda plotoon wanaongozwa na Luteni, hivyo cheo cha Luteni ni platoon Kamanda.
Platoon zikiwa tatu, zina askari 360, zina ma koplo 36, ma sajenti 12, na ma luteni 3, zinaunda Coy, na inaongozwa na Major.
Coya zikiwa 3 zina askari 1080, zina ma koplo 108, masajenti 36, maluteni 9, zinaunda kikosi, au batallion kinaongozwa na Colonel, ndio zile mnasikia kambi ya jeshi.
Vikosi au Batallion vikiwa 3, vinaunda Brigedi, inaongozwa na Brigedia, jina jingine la Brigedier ni Brigade Commander
Brigade zikiwa 3 zinaunda Divisheni, na zinaongozwa na Major General, hivyo jina jingine la Maj. Gen ni Division Commander.
Division zikiwa tatu, ndio zinaunda Jeshi kamili na linaongozwa na Generali.

P.

Ni sawa na kanali kuwa ADC wa rais kwenye nchi za Africa meanwhile nchi za Ulaya na Marekani ADC ni Petty officer cheo cha chini kuliko Luteni usu. Mm nafikiri ni kudharirirsha jeshi. Kanali ni cheo kikubwa sana jeshini. Tena kwa US na Europe( Alemania, Uk, France, belgium )kanali ni cheo cha juu sana
Mpambe wa Rais ni mpambe wa Commander in Chief. Naamini ni sawa kuwa na senior officer hapo.
 
Uuongozi wa Jeshi ni clusters zenye idadi fulani.
the lowest ni unit, ina watu 9 ma privates, wanaongozwa na Koplo.
Units 3 zinaunda Section, ina askari 30, ma koplo 3 na inaongozwa na Sergeant
Section zikiwa tatu, zina askari 90, makaplo 9, ma Sergeant 3, zinaunda plotoon wanaongozwa na Luteni, hivyo cheo cha Luteni ni platoon Kamanda.
Platoon zikiwa tatu, zina askari 360, zina ma koplo 36, ma sajenti 12, na ma luteni 3, zinaunda Coy, na inaongozwa na Major.
Coya zikiwa 3 zina askari 1080, zina ma koplo 108, masajenti 36, maluteni 9, zinaunda kikosi, au batallion kinaongozwa na Colonel, ndio zile mnasikia kambi ya jeshi.
Vikosi au Batallion vikiwa 3, vinaunda Brigedi, inaongozwa na Brigedia, jina jingine la Brigedier ni Brigade Commander
Brigade zikiwa 3 zinaunda Divisheni, na zinaongozwa na Major General, hivyo jina jingine la Maj. Gen ni Division Commander.
Division zikiwa tatu, ndio zinaunda Jeshi kamili na linaongozwa na Generali.

P.

Au kipo kisiasa/ceremonial zaidi.

Leo nilikuwa naangalia Prince Philip mume wa Malkia wa Uingereza anazikwa, wamemtaja vyeo vyake, kumbe naye alikuwa Field Marshall.

Ni kweli mkuu, mambo ya kuongoza field yalikuwepo kipindi tunapigana na 10m soldiers. Siku hizi utapewa cha heshima tu
 
Uuongozi wa Jeshi ni clusters zenye idadi fulani.
the lowest ni unit, ina watu 9 ma privates, wanaongozwa na Koplo.
Units 3 zinaunda Section, ina askari 30, ma koplo 3 na inaongozwa na Sergeant
Section zikiwa tatu, zina askari 90, makaplo 9, ma Sergeant 3, zinaunda plotoon wanaongozwa na Luteni, hivyo cheo cha Luteni ni platoon Kamanda.
Platoon zikiwa tatu, zina askari 360, zina ma koplo 36, ma sajenti 12, na ma luteni 3, zinaunda Coy, na inaongozwa na Major.
Coya zikiwa 3 zina askari 1080, zina ma koplo 108, masajenti 36, maluteni 9, zinaunda kikosi, au batallion kinaongozwa na Colonel, ndio zile mnasikia kambi ya jeshi.
Vikosi au Batallion vikiwa 3, vinaunda Brigedi, inaongozwa na Brigedia, jina jingine la Brigedier ni Brigade Commander
Brigade zikiwa 3 zinaunda Divisheni, na zinaongozwa na Major General, hivyo jina jingine la Maj. Gen ni Division Commander.
Division zikiwa tatu, ndio zinaunda Jeshi kamili na linaongozwa na Generali.

P.

Nadhani hicho cheo cha Brigadier hakipo katika muundo wa sasa.
Brigadier General kipo mkuu, Katibu wa Foreign Affairs ni Brigedia Ibuge.
 
Second lieutenant -*
Lieutenant **
Captain***
Major-ngao ya taifa
Lieutenant colonel-ngao ya taifa *
Colonel-ngao ya taifa**
Brigadier ×
Major general×*
General×**
Lieutenant general

Umekosea kuanzia brigadier mpaka general. Insignias zao ziko hivi:

Brigadier General: Ngao*X
Major General: Ngao**X
Lieutenant General: Ngao***X
General: Ngao****X
 
Hakuna figisu yoyote ya kumuondoa Mabeyo, cheo cha CDF kina security of tenure ya vipindi viwili vya miaka mitano mitano kama alivyo Gavana wa BOT, CAG, etc, rais yoyote akija hawezi kuwaondoa na kuleta watu wake.
Hili sio tuu la hakuna Mzanzibari mwenye sifa ya kuwa CDF, kati ya ma CDF, mwenye jina la Kiislamu ni mmoja tuu, Abdallah Twalipo, na sijui ni jina tuu, au alikuwa Muislamu kweli, maana binti yake Flora, tumesoma nae primary alikuwa Mkristo.

Hili nililiulizia hapa
P
Mkuu pascal Twalipo ni muislam na amezikwa kiislamu makaburi ya chang'ombe keko.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom