Current four star Generals in Tanzania

Current four star Generals in Tanzania

Brigadier - 1
Major General - 2
Lieutenant General - 3
General - 4
Hujamfafanulia vizuri,
Unaposema Brigadiier Ana nyota 1 atadhani Ni moja Kama ya Luteni Usu,
Nyota mbili atadhani Ni Luten kamaili,
Nyota tatu atadhani Ni Captain.
Ingekua vizuri umwambie kuwa Brigadiier Ana alama Fulani ikiambatana na nyota kadhaa.Na kuendelea.
Tusaidie Mkuu.
 
Nyani Ngabu,

..nadhani uko sahihi.

..lakini kupata uhakika zaidi tuwaite Kichuguu, Echolima, Pascal Mayalla.

..Ninavyoelewa mimi kwa, JWTZ, askari mwenye cheo cha juu kabisa, au mkuu wa majeshi, huwa na rank ya Jenerali / 4-star-general.

..Utaratibu wa Cdf kuwa 4-star-general ulianza miaka ya mwisho ya Mwalimu Nyerere, na mwanzoni mwa utawala wa Ali Hassan Mwinyi.

..wakati jeshi la wananchi limeundwa, mkuu wa majeshi wa kwanza alikuwa na cheo cha Brigadier au 1-star-General.

..baadae nadhani kutokana na jeshi kuwa kubwa zaidi mkuu wa majeshi akawa na cheo cha Major General au 2-star general.

..Utaratibu huo uliendelea mpaka wakati wa vita vya kagera, ambapo mkuu wa majeshi akawa na rank ya Lieutenant General au 3-star general.

..Wakati Mwalimu Nyerere anaondoka madarakani, alitoa nishani kwa maafisa mbalimbali wa vyombo vya ulinzi na usalama, na akawavalisha rank za 4-star-General, Abdalah Twalipo, na David Musuguri, in that order. Lakini Abdalah Twalipo alikuwa hayuko tena jeshini, Musuguri ndio alikuwa mkuu wa majeshi.

..Baada ya General Musuguri kustaafu, wakuu wote wa majeshi waliomfuatia wamekuwa na rank ya 4-star-General.

NB:

..Tumainieli Kiwelu ndiye 4-star-General pekee hapa Tanzania ambaye hajashika nafasi ya mkuu wa majeshi / cdf. Vilevile Tumainieli Kiwelu ndiye Mtanzania pekee ambaye amewahi kuwa mnadhimu mkuu / CoS chini ya Maraisi, na wakuu wa majeshi, wawili tofauti. Mara ya kwanza ilikuwa chini ya Rais Nyerere na CDF Abdalah Twalipo; mara ya pili ilikuwa chini ya Rais Mwinyi na CDF Ernest Mwita Kiaro.

..Pia Raisi Mkapa alimpandisha cheo Mkuu wa kwanza wa Jwtz, Major General Mirisho Hagai Sarakikya kuwa 4-star-general miaka kadhaa baada ya Sarakikya kuwa ameshaondoka jeshini.
Mkuu JokaKuu, thanks for tagging me. Yote uliyosema ni kweli.
Kwenye jeshi kuna makundi makuu mawili ya askari, NCOs (non commissioned officer) na COs (Commissioned Officers). Kamisheni inatolewa na CinC.

Kwenye NCOs kuna
Junior NCOs Private, Coplo Usu na Coplo
Senior NCOs Sergeant, Staff Surgent na Sir Major.

Kwenye COs kuna makundi 4
Junior Officers, 2nd Lieutenant, Lieutenant na Captain.
Seniors Officers ni Major, Lieutenant Colonel and Colonel
Cheo cha mwisho kwa mwanajeshi kupanda kwa logical progression ni Colonel.
Staff Officers, hawa ndio majenerali, Brigadier, Major General, Lieutenant General na General.

Vyao hivi vya staff officers havipandi kwa merits only but by appointment ya CinC, na mfano mzuri ni uteuzi wa CDF aliyepo.
Alipoingia tuu umri wa kustaafu wa CDF aliyepo uliusha pita, hivyo alipoangalia list ya wa chini yake hakupendezewa. Akamuongezea miaka 2 CDF aliyepo, na kumelevate the chosen one fasta fasta from Colonel to Brigadier, within no time Major General then Lieutenant General ndipo akamruhusu CDF kustaafu.

Hii hufanyika sana Jeshini na ilianzishwa na Nyerere, Mtanzania wa kwanza kuwa na highest rank wa jeshi letu la Tanzania huru ni Colonel Kashmir na Mirisho Sarakiya one of them should have been CDF, Mwalimu was uncomfortable nao, wakaondolewa jeshini kupewa post uraia.

This happened again baada ya vita vya Kagera, Baada ya Twalipo chini kulikuwa na kina Mayunga, Cuthless, Wolden, Sayore ili kumuinua wachini, wale deserving wanaondolewa jeshini unamuinua umtakaye.

Chini ya General Mwamunyange, sijui waliokuwa na seniority ya kumpokea ni kina nani, na walipelekwa wapi, lakini CDF aliyepo ili ibuka like a mushroom, na kwa tetesi za mtaani, he is the only source of political stability and the tranquillity iliyeendelea hadi Samia kuingia.

Hivyo whoever picked this man, did the right thing.
P
 
Lakini Nguruvi....mara nyingi four star generals huwa ni wenye umri mkubwa. Wengi huwa wamebakiza muda mchache sana kabla ya kustaafu.

Kama waliopo kwenye active duty wote wanakaribia kustaafu, kuna ubaya gani wa kumchagua luteni jenerali aliye na umri utaomuwezesha kuhudumu kwa muda wa kutosha na kumpandisha cheo kuwa four star general?

Halafu, nadhani hata maslahi yao huwa hayatofautiani sana.

Yaani majenerali wazima wamuonee gere luteni jenerali aliyepandishwa cheo na kuwa jenerali na mkuu wa majeshi huku wao wakiwa wamebakiza muda mchache kabla ya kustaafu?

Mkuu wa majeshi ana maslahi gani ya kipekee yaliyo tofauti sana na ya majenerali wenzake?
Naunga mkono hoja, maslahi yanafanana with tofauti ndogo
P
 
Mkuu JokaKuu, thanks for tagging me. Yote uliyosema ni kweli.
Kwenye jeshi kuna makundi makuu mawili ya askari, NCOs (non commissioned officer) na COs (Commissioned Officers). Kamisheni inatolewa na CinC.

Kwenye NCOs kuna
Junior NCOs Private, Coplo Usu na Coplo
Senior NCOs Sergeant, Staff Surgent na Sir Major.

Kwenye COs kuna makundi 4
Junior Officers, 2nd Lieutenant, Lieutenant na Captain.
Seniors Officers ni Major, Lieutenant Colonel and Colonel
Cheo cha mwisho kwa mwanajeshi kupanda kwa logical progression ni Colonel.
Staff Officers, hawa ndio majenerali, Brigadier, Major General, Lieutenant General na General.

Vyao hivi vya staff officers havipandi kwa merits only but by appointment ya CinC, na mfano mzuri ni uteuzi wa CDF aliyepo.
Alipoingia tuu umri wa kustaafu wa CDF aliyepo uliusha pita, hivyo alipoangalia list ya wa chini yake hakupendezewa. Akamuongezea miaka 2 CDF aliyepo, na kumelevate the chosen one fasta fasta from Colonel to Brigadier, within no time Major General then Lieutenant General ndipo akamruhusu CDF kustaafu.

Hii hufanyika sana Jeshini na ilianzishwa na Nyerere, Mtanzania wa kwanza kuwa na highest rank wa jeshi letu la Tanzania huru ni Colonel Kashmir na Mirisho Sarakiya one of them should have been CDF, Mwalimu was uncomfortable nao, wakaondolewa jeshini kupewa post uraia.

This happened again baada ya vita vya Kagera, Baada ya Twalipo chini kulikuwa na kina Mayunga, Cuthless, Wolden, Sayore ili kumuinua wachini, wale deserving wanaondolewa jeshini unamuinua umtakaye.

Chini ya General Mwamunyange, sijui waliokuwa na seniority ya kumpokea ni kina nani, na walipelekwa wapi, lakini CDF aliyepo ili ibuka like a mushroom, na kwa tetesi za mtaani, he is the only source of political stability and the tranquillity iliyeendelea hadi Samia kuingia.

Hivyo whoever picked this man, did the right thing.
P
Interesting insight about the politics of our military...

Yaani Msukuma na mkabila Mabeyo ndo chanzo cha utulivu tulionao...?

Nilidhani Wasukuma ni washamba na wasiojua lolote 🤔
 
Mjeda pekee aliyekuwa Jenerali bila kuwa CDF ni Tumainieli Kiwelu
Na hii ni hoja muhimu sana. Kama sikosei alikuwa jenerali baada ya kupata teuzi za nje au aliondolewa baadaye
JokaKuu kama unakumbu kumbu tafadhali

Kiwelu alikuwa na influence sana katika jeshi sasa kumuacha kule halafu umteue junior huo ni mtihani

Huo ukawa mwanzo wa utamaduni kwamba CDF anaondoka na CoS unless mteuzi anamuhitaji CoS kuwa CDF

Hebu fikiria hivi, CoS ni Lt General halafu kuwepo 4 star kule juu. !

Ukiwa na CoS 4 star halafu CDF 4 star hapo je?
 
mkuu usichanganyikiwe.

kuna jeshi la ulinzi la wananchi(jwtz)anga,ardhi,maji.
kuna jeshi la kujenga taifa(jkt)
kuna jeshi la polisi tz(pt)
kuna jeshi la magereza(tp)

tunapotaja majeshi duniani kwa maana yake kwa ujumla basi tanzania tutataja jwtz(tpdf)na si mengine niliyoorodhesha hapo.lakini katiba yetu imeyaongeza hayo kwa makusudi ile ile ya angalau kujazia nyama kidogo just icase kimehappen,(majeshi ya akiba).
hayo si komandi wala vikosi vya jwtz ila ni akiba ya jwtz,isipokuwa jkt ambayo kwa sasa ni sehemu ya jwtz.
Kwenye majeshi naomba nikuongezee
Kuna Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) or TPDF
Chini yake kuna
Jeshi la Ardhini- Infantry
Jeshi la Anga - Airforce
Jeshi la Majini- Navy
Kuna Jeshi la Kujenga Taifa (JKT)
Kuna Jeshi la Polisi Tanzaniab(PT)
Kuna Jeshi la Magereza - Prisons
Kuna Jeshi la Uhamiaji- Immigration
Kuna Jeshi la Zimamoto- Fire Brigade
Kuna Jeshi la Usalama- TISS
Kuna Majeshi Usu mengi, Para military
Mgambo, Wanyamapori, JKU, KMKM, Vikosi vya
SMZ etc
P
 
Ukiwa na CoS 4 star halafu CDF 4 star hapo je?
Najua umezungumzia mimi kuyaangalia haya mambo kupitia muktadha wa Marekani.

Sawa, nakubali. Marekani ina influence kubwa sana katika maisha yangu.

Binafsi sioni tatizo kama chief of staff akawa ni 4 star general na CDF akawa ni 4 star general.

Hakuna utata bosi ni yupi kati yao.

Chief of staff wa jeshi la Marekani ni General James C. McConville.

Chairman of the Joint Chief of Staff [CDF wa Marekani] ni General Mark Milley.

Na hakuna utata nani ni bosi kati yao.

Hata vyuoni mbona kuna ma full professors ambao si wakuu wa idara lakini pia pia mkuu wa idara ni full professor...
 
View attachment 1754602

Mimi si mjeda. Sijui mengi kuhusu ujeda. Sijui mengi kuhusu mengi.

Ni mbeba maboksi tu. Wengine husema nimeishia darasa la saba. Wengine hudai nimeishia kidato cha nne.

Hivyo, sina mengi niyajuayo. Ila, ninao uungwana wa kukubali nisiyoyajua.

Na dawa ya kuyajua usiyoyajua ni kujifunza.

Kujifunza kuko kwa namna nyingi. Moja ya hizo namna ni kuuliza.

Leo nauliza hivi: Hivi kwa Tanzania huwa tuna jenerali mmoja tu kwa wakati mmoja aliye jenerali kamili, yaani yule mwenye nyota 4?

Kama sijakosea, mkuu wa majeshi ndo huwa jenerali kamili mwenye nyota 4 tu kwa wakati mmoja. Jenerali huyo akistaafu ndo mwingine [labda luteni jenerali] anapandishwa cheo na kuwa jenerali kamili halafu ndo anakuwa mkuu wa majeshi.

Kwa nini iko hivyo? Tumeiga sehemu labda?

Najua India kwa mfano, kuna four star generals zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja.

Marekani currently wana four star generals 45, kama sijakosea.

Kwa mnaojua, kwa heshima na taadhima zote, naomba mnifute huu ujinga nilionao.

Shukran jazilan .
Mumeanza figisu, najua Mabeyo mnamuogopa, sasa mnataka kumuondoa ugeneral, hakuna general atatoka zanzibar acheni ujinga nyie wazee, mnazeeka vibaya... General atabaki huyo mpaka astaafu, kuna chuma kinaandaliwa kiko urusi kinakuja cha moto
 
Ingekuwa mwafaka sasa kila kamandi ikawa na Lt General(Anga, Nchi kavu, Maji ila kwa Cyber kwa Tanzania sijui hii how established it is, hata major pengine anatosha). Na hawa wakawa ndio wanaondaliwa kuchukua UGenerali uhitaji ukitokea. Kwa kashule kadogo ka military science niliko kuwa nako.
 
Kwenye majeshi naomba nikuongezee
Kuna Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) or TPDF
Chini yake kuna
Jeshi la Ardhini- Infantry
Jeshi la Anga - Airforce
Jeshi la Majini- Navy
Kuna Jeshi la Kujenga Taifa (JKT)
Kuna Jeshi la Polisi Tanzaniab(PT)
Kuna Jeshi la Magereza - Prisons
Kuna Jeshi la Uhamiaji- Immigration
Kuna Jeshi la Zimamoto- Fire Brigade
Kuna Jeshi la Usalama- TISS
Kuna Majeshi Usu mengi, Para military
Mgambo, Wanyamapori, JKU, KMKM, Vikosi vya
SMZ etc
P
Pasko, polisi ipo chini ya JWTZ?

Kivipi? Waziri wa ulinzi ndo waziri wa mambo ya ndani?

CDF anaweza kum discipline IGP?
 
Mumeanza figisu, najua Mabeyo mnamuogopa, sasa mnataka kumuondoa ugeneral, hakuna general atatoka zanzibar acheni ujinga nyie wazee, mnazeeka vibaya... General atabaki huyo mpaka astaafu, kuna chuma kinaandaliwa kiko urusi kinakuja cha moto
What??

Mimi unanituhumu kumuanzishia figisu Mabeyo?

JF wapumbavu mmezidi kuongezeka aisee.
 
Interesting insight about the politics of our military...

Yaani Msukuma na mkabila Mabeyo ndo chanzo cha utulivu tulionao...?

Nilidhani Wasukuma ni washamba na wasiojua lolote 🤔
Yes kwa mujibu wa tetesi za mitaani. Ni kweli Wasukuma wa Chapa ng'ombe tuu ndio washamba ila Wasukuma wenye exposure, wako vizuri, na kiukweli ndilo kabila linaloongoza kwa kuwa na watu poa sana. Hata haya mambo ya Jeshini si mmeona wenyewe...
P
 
Naanzia kwenye nyota
  • Luteni usu(nyota moja)
  • Luteni (nyota mbili)
  • Captain (nyota tatu)
  • Major (bibi na bwana)
  • Luteni Kanali (bibi na bwana na nyota moja)
  • Kanali (bibi na bwana na nyota mbili)
  • Brigedia jenerali (bibi na bwana, nyota moja na mkasi)
  • Major jenerali (bibi na bwana, nyota mbili na mkasi)
  • Luteni Jenerali (bibi na bwana, nyota tatu na mkasi)
  • mkuu ww majeshi (bibi na bwana, nyota nne na mkasi)
Nina amini una akili, na jibu utakuwa umelipata
Kumbe nnje ya "usukule" wa siasa huwa una akili nzuri!!
Kwa nini unakubali kusukulishwa!??
Kongole kwa mchango wako though.
 
Mumeanza figisu, najua Mabeyo mnamuogopa, sasa mnataka kumuondoa ugeneral, hakuna general atatoka zanzibar acheni ujinga nyie wazee, mnazeeka vibaya... General atabaki huyo mpaka astaafu, kuna chuma kinaandaliwa kiko urusi kinakuja cha moto
Hakuna figisu yoyote ya kumuondoa Mabeyo, cheo cha CDF kina security of tenure ya vipindi viwili vya miaka mitano mitano kama alivyo Gavana wa BOT, CAG, etc, rais yoyote akija hawezi kuwaondoa na kuleta watu wake.
Hili sio tuu la hakuna Mzanzibari mwenye sifa ya kuwa CDF, kati ya ma CDF, mwenye jina la Kiislamu ni mmoja tuu, Abdallah Twalipo, na sijui ni jina tuu, au alikuwa Muislamu kweli, maana binti yake Flora, tumesoma nae primary alikuwa Mkristo.

Hili nililiulizia hapa
P
 
Mkuu JokaKuu, thanks for tagging me. Yote uliyosema ni kweli.
Kwenye jeshi kuna makundi makuu mawili ya askari, NCOs (non commissioned officer) na COs (Commissioned Officers). Kamisheni inatolewa na CinC.

Kwenye NCOs kuna
Junior NCOs Private, Coplo Usu na Coplo
Senior NCOs Sergeant, Staff Surgent na Sir Major.

Kwenye COs kuna makundi 4
Junior Officers, 2nd Lieutenant, Lieutenant na Captain.
Seniors Officers ni Major, Lieutenant Colonel and Colonel
Cheo cha mwisho kwa mwanajeshi kupanda kwa logical progression ni Colonel.
Staff Officers, hawa ndio majenerali, Brigadier, Major General, Lieutenant General na General.

Vyao hivi vya staff officers havipandi kwa merits only but by appointment ya CinC, na mfano mzuri ni uteuzi wa CDF aliyepo.
Alipoingia tuu umri wa kustaafu wa CDF aliyepo uliusha pita, hivyo alipoangalia list ya wa chini yake hakupendezewa. Akamuongezea miaka 2 CDF aliyepo, na kumelevate the chosen one fasta fasta from Colonel to Brigadier, within no time Major General then Lieutenant General ndipo akamruhusu CDF kustaafu.

Hii hufanyika sana Jeshini na ilianzishwa na Nyerere, Mtanzania wa kwanza kuwa na highest rank wa jeshi letu la Tanzania huru ni Colonel Kashmir na Mirisho Sarakiya one of them should have been CDF, Mwalimu was uncomfortable nao, wakaondolewa jeshini kupewa post uraia.

This happened again baada ya vita vya Kagera, Baada ya Twalipo chini kulikuwa na kina Mayunga, Cuthless, Wolden, Sayore ili kumuinua wachini, wale deserving wanaondolewa jeshini unamuinua umtakaye.

Chini ya General Mwamunyange, sijui waliokuwa na seniority ya kumpokea ni kina nani, na walipelekwa wapi, lakini CDF aliyepo ili ibuka like a mushroom, na kwa tetesi za mtaani, he is the only source of political stability and the tranquillity iliyeendelea hadi Samia kuingia.

Hivyo whoever picked this man, did the right thing.
P

Junior NCOs koporo usu mpaka Ssgt.
Senior NCOs ni kwa Warrant officers 1 na2
Senior officers inaanzia Kanali na kwenda juu. Angalia ADC wa Mama na wa Mwinyi jr ujifunze kitu kwa Marais hawa wawili katika nchi moja.
 
Nyani Ngabu,

..nadhani uko sahihi.

..lakini kupata uhakika zaidi tuwaite Kichuguu, Echolima, Pascal Mayalla.

..Ninavyoelewa mimi kwa, JWTZ, askari mwenye cheo cha juu kabisa, au mkuu wa majeshi, huwa na rank ya Jenerali / 4-star-general.

..Utaratibu wa Cdf kuwa 4-star-general ulianza miaka ya mwisho ya Mwalimu Nyerere, na mwanzoni mwa utawala wa Ali Hassan Mwinyi.

..wakati jeshi la wananchi limeundwa, mkuu wa majeshi wa kwanza alikuwa na cheo cha Brigadier au 1-star-General.

..baadae nadhani kutokana na jeshi kuwa kubwa zaidi mkuu wa majeshi akawa na cheo cha Major General au 2-star general.

..Utaratibu huo uliendelea mpaka wakati wa vita vya kagera, ambapo mkuu wa majeshi akawa na rank ya Lieutenant General au 3-star general.

..Wakati Mwalimu Nyerere anaondoka madarakani, alitoa nishani kwa maafisa mbalimbali wa vyombo vya ulinzi na usalama, na akawavalisha rank za 4-star-General, Abdalah Twalipo, na David Musuguri, in that order. Lakini Abdalah Twalipo alikuwa hayuko tena jeshini, Musuguri ndio alikuwa mkuu wa majeshi.

..Baada ya General Musuguri kustaafu, wakuu wote wa majeshi waliomfuatia wamekuwa na rank ya 4-star-General.

NB:

..Tumainieli Kiwelu ndiye 4-star-General pekee hapa Tanzania ambaye hajashika nafasi ya mkuu wa majeshi / cdf. Vilevile Tumainieli Kiwelu ndiye Mtanzania pekee ambaye amewahi kuwa mnadhimu mkuu / CoS chini ya Maraisi, na wakuu wa majeshi, wawili tofauti. Mara ya kwanza ilikuwa chini ya Rais Nyerere na CDF Abdalah Twalipo; mara ya pili ilikuwa chini ya Rais Mwinyi na CDF Ernest Mwita Kiaro.

..Pia Raisi Mkapa alimpandisha cheo Mkuu wa kwanza wa Jwtz, Major General Mirisho Hagai Sarakikya kuwa 4-star-general miaka kadhaa baada ya Sarakikya kuwa ameshaondoka jeshini.
Ufafanuzi mzuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom