Current four star Generals in Tanzania

Current four star Generals in Tanzania

Kwa hiyo, kama si ukuu wa majeshi, kama askari hajapigana vita hawezi kupanda ngazi hadi kufikia cheo cha ujenerali?

Hii ni kwa mujibu wa nini, kama ni kweli? Kitabu? Gazeti? Katiba? Stori za mitaani?
Of course unaweza kufanya jeshi zima liwe ma Field Marshalls na Admirals, halafu ukose kujua nani atampa amri nani.

Na unaweza kupandisha watu vyeo wawe Generals, kwa ufanisi wao wa kupanda maua.

Ni uamuzi tu wa nchi inavyotaka.

Hiyo ndiyo maana ya sovereignty.
 
Sidhani kama italeta picha mbaya.

Naona ni sawa tu.

La sivyo, wangeweka utaratibu wa Chief of Staff kuwa ndo next in line....

Kwa sasa inafanyika hivyo kiutamaduni tu, si kisheria.

..wakati wa mwalimu nyerere, mwinyi, mkapa, mkuu wa majeshi alipobadilishwa, mnadhimu mkuu naye alibadilishwa.

..lakini mnadhimu mkuu aliweza kubadilishwa, bila ya mkuu wa majeshi kuwa amebadilishwa.
 
Hmm acha fiksi bana.

General Mark Milley mbona ni 4 star general...
As mentioned, Omar Bradley was the last surviving five-star general, dying in 1981. He fought alongside the U.S. Army’s greatest all under the command of Dwight Eisenhower.


Mtu ambae alikuwa na nafasi ya kuwa five star General Marekani alikuwa Gen. Collin Powel, ila kwa sababu za ubaguzi jamaa wakambania.

(General Colin Powell took an early resignation from his tenured as Chairman of The Joint Chiefs of Staff on September 30, 1993. During his chairmanship of the Joint Chiefs of Staff, there was discussion of awarding Powell a fifth star, granting him the rank of General of the Army. But even in the wake of public and Congressional pressure to do so, Clinton-Gore presidential transition team staffers decided against it.
 
As mentioned, Omar Bradley was the last surviving five-star general, dying in 1981. He fought alongside the U.S. Army’s greatest all under the command of Dwight Eisenhower.


Mtu ambae alikuwa na nafasi ya kuwa five star General Marekani alikuwa Gen. Collin Powel, ila kwa sababu za ubaguzi jamaa wakambania.

(General Colin Powell took an early resignation from his tenured as Chairman of The Joint Chiefs of Staff on September 30, 1993. During his chairmanship of the Joint Chiefs of Staff, there was discussion of awarding Powell a fifth star, granting him the rank of General of the Army. But even in the wake of public and Congressional pressure to do so, Clinton-Gore presidential transition team staffers decided against it.
Yaani Clinton na Gore, ambao ni Democrats, walimbagua General Colin Powell?

Haiwezekani bana. Democrats siyo wabaguzi. Wanawapenda watu weusi.
 
Mwamba sana Gen. Mark Milley.

Naukumbuka huu ujumbe wake wakati Nkurunzinza wenu Trump akihisiwa angelitumia jeshi kama hatua yake ya mwisho kung'anga'ania madarakani.

"We are unique among militaries. We do not take an oath to a king or a queen, a tyrant or a dictator. We do not take an oath to an individual. No, we do not take an oath to a country, a tribe or religion. We take an oath to the Constitution. And every soldier that is represented in this museum, every sailor, airman, Marine, Coast Guardsman, each of us will protect and defend that document, regardless of personal price,"

siasa jeshini ni tatizo.

unadhani kwanini aliandika hayo!!!

kwa wenzetu kule uhuru wa kuongea ni mpana mpaka haudhibitiki.kuna mwaka mkuu wa fbi naye aliropoka,kwamba trump hana akili sawa sawa.
 
Yaani Clinton na Gore, ambao ni Democrats, walimbagua General Colin Powell?

Haiwezekani bana. Democrats siyo wabaguzi. Wanawapenda watu weusi.
Clinton akiwa rais wa US alikuwa na wasaidizi; kwa maelezo, wasaidizi ndo walibana. (Clinton-Gore presidential transition team staffers decided against it.)

Kumbuka sio kila kitu rais anafanya yeye ila wasaidizi wanakuja na mchakato na mapendekezo nini kifanyike na nini kisifanyike. Pia wazungu wanabaki kuwa wazungu, sio kwamba wakiwa democrats wanabadilika kuwa wema sana kwa ngozi nyeusi.
 
Brigadier - 1
Major General - 2
Lieutenant General - 3
General - 4
Kwenye magari na sasa kwenye mavega yao ....kifupi wote tunawaita General's.....Brigedia mkuu wa Brigedi Major Gen Mkuu wa Kamandi ziko 5 au 6 tu kwa sasa.....Lt Gen huwa 1 ( iliwahi tokea walikuwa 3) .....saaa mmoja ndio mbadhimu wa Jeshi ....Msaidizi wa CDF.....rgen General mwenyewe active in duty huwa 1 ......ukiacha wastaafu ....ambao active General huwapigia salute kwanza wakikutana wastaafu wako 4 sasa kama sikosei
 
Sasa nimeelewa mantiki JIWE ya kuwaondoa JWTZ wale wote waliokuwa seniors na kuwapa ukuu wa mikoa na wengine ukatibu mkuu na kuwastaafisha huko!
 
Clinton akiwa rais wa US alikuwa na wasaidizi; kwa maelezo, wasaidizi ndo walibana. (Clinton-Gore presidential transition team staffers decided against it.)

Kumbuka sio kila kitu rais anafanya yeye ila wasaidizi wanakuja na mchakato na mapendekezo nini kifanyike na nini kisifanyike. Pia wazungu wanabaki kuwa wazungu, sio kwamba wakiwa democrats wanabadilika kuwa wema sana kwa ngozi nyeusi.
Haiwezekani Democrats kuwa wabaguzi! Haiwezekani!
Clinton ndo alikuwa the first black president.


Hivi, kwani Colin Powell ni wa chama gani vile?
 
Haiwezekani Democrats kuwa wabaguzi! Haiwezekani!
Clinton ndo alikuwa the first black president.


Hivi, kwani Colin Powell ni wa chama gani vile?
Collin Powel alikuwa Republican na nafasi ya kuwa JCS alipewa na George H.W .Bush; so Clinton alimkuta ofisini na kulikuwa na figisu kati ya Collin Powell na Waziri wa Ulinzi wakati huo. (Colin also regularly clashed with Secretary of Defense Leslie Aspin, whom Colin himself was hesitate when President Clinton nominate it as Secretary of Defense from the first place.)

Baadae wakati wa Bush jr akiwa Rais awamu yake ya kwanza Gen. Collin Powell alitumika kama Waziri wa Mambo ya nje. US Secretary of State. Kihistoria ndie mweusi wa kwanza kuwa secretary of state then Cond Rice akawa mweusi wa pili na mwanamke mweusi wa kwanza kuwa Secretary of state wakati wa Bush Administration.
 
Four star general lazima awe mmoja... hawawezi kuwa wawili, lazima mmoja astaafu ndio mwingine haweze kuteuliwa.
Sio lazima Awe mmoja tu
**** Star inategemea Ukubwa wa Jeshi lenu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom