Civil service inahusu ajira zote za serikalini ikiwemo jeshini, public service ni ajira zote za umma. Umri wa kustaafu kwa ordinary public service ni miaka 60. Lakini kwa viongozi fulani ni miaka 65, wakiwemo constitutional officers. Hivyo wakuu wa taasisi za umma wanapofikisha umri wa miaka 60 wa kustaafu kwa lazima, rais anaweza kuwaongezea miaka 2, kama hajapata mtu, anaongezwa miaka 2 tena na hapo ndio mwisho.
Ukiwa mkuu wa taasisi, unapofikisha umri wa miaka 55, unatakiwa kuandaa succession plan ya mrithi wako, kwa spotting na grooming. Wakuu wachoyo hili huwa hawafanyi ili waongezewe ile miaka miwili miwili ya kutafuta succesor.
Huu uteuzi wa juzi kumuondoa Lt. Gen kwa kumpa ubalozi ni kumzuia asiwe CDF, hivyo any moment from now, kuna mtu atapandishwa cheo kuwa Lt. Gen, ndie atakuwa mnadhimu na kumpokea CDF.
P