Current four star Generals in Tanzania

Current four star Generals in Tanzania


Miaka michache iliyopita insignias za jeshi letu zilikuwa 100% za British system. Sasa hivi ni hybrid ya American system na British system. Insignias za colonel na ranks za chini yake ni za British system. Insignias za brigadier general na ranks za juu yake ni za American system. Katika jeshi la Marekani, hakuna insignia ya rank yoyote chini ya brigadier general ambayo ina nyota. Kwahiyo, rank ya kwanza kuwa na nyota ni brigadier general.

Interestingly, ukiona bega la brigadier wa Marekani ni kama vile umeona bega la second lieutenant wa Bongo; la major general wa Marekani utadhani umeona la lieutenant wa Bongo na la lieutenant general wa Marekani utadhani umeona la captain wa Bongo.

Sijaelewa kwanini tumeamua kuchanganya systems!
 
The only one who will stop at nothing in her ultimate quest to ride my schlong is you, Ms. Schmidt from Bayreuth, Bavaria.

You want my BBC so bad. Don’t you?
Hey ma, I got something special and totally wunderbar for you: Bavarian sausage with Crème Brûlée for dessert. 400 year old traditional recipe. Only your cum- dump ass may be older.
 
View attachment 1754602

Mimi si mjeda. Sijui mengi kuhusu ujeda. Sijui mengi kuhusu mengi.

Ni mbeba maboksi tu. Wengine husema nimeishia darasa la saba. Wengine hudai nimeishia kidato cha nne.

Hivyo, sina mengi niyajuayo. Ila, ninao uungwana wa kukubali nisiyoyajua.

Na dawa ya kuyajua usiyoyajua ni kujifunza.

Kujifunza kuko kwa namna nyingi. Moja ya hizo namna ni kuuliza.

Leo nauliza hivi: Hivi kwa Tanzania huwa tuna jenerali mmoja tu kwa wakati mmoja aliye jenerali kamili, yaani yule mwenye nyota 4?

Kama sijakosea, mkuu wa majeshi ndo huwa jenerali kamili mwenye nyota 4 tu kwa wakati mmoja. Jenerali huyo akistaafu ndo mwingine [labda luteni jenerali] anapandishwa cheo na kuwa jenerali kamili halafu ndo anakuwa mkuu wa majeshi.

Kwa nini iko hivyo? Tumeiga sehemu labda?

Najua India kwa mfano, kuna four star generals zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja.

Marekani currently wana four star generals 45, kama sijakosea.

Kwa mnaojua, kwa heshima na taadhima zote, naomba mnifute huu ujinga nilionao.

Shukran jazilan 🙏.
Hongera Ngabu!
Mada kama hizi huongeza maarifa na pia hutupa kumbukizi ambazo zinataka kupotea.....wazee wetu akina Twalipo, Msuguri, Kimario, Sarakikya, Kiwelu ............
 
..hiyo imetokea kwa Mwamunyange na Mabeyo.

..kabla ya hapo hakuna CoS aliyepandishwa kuwa Cdf.
MUHIMU

Mwamnyange na Mabeyo hawakua serving CoS chini ya maraisi wanaoondoka, isipokua waliletwa hapo na maraisi wapya walioingia, so technically ni kama hawakua CoS kabla ya kuwa CDF........ (i mean chini ya former CiC)
 
Tatizo huja pale msukuma mjinga anapotaka mamlaka aliyonayo ndugu yawe kama yake na si ya ndugu yake.

Nadhani inakuwa ni ushamba flani.
Otherwise wasukuma wako vizuri tu sema kuna wachache wajinga sana, sisemi kwa maana mbaya maana mzazi wangu mmoja ni msukuma original kutoka huko interior kabisa
Huwezi kuaffiliate ushenzi wa mtu mmoja na kabila zima tena lenye watu zaidi ya milioni 10.
 
Hao niliowataja waliwahi kuwa CoS lakini hawakuteuliwa kuwa CDFs
Uliyemquote ameongea vizuri tu kuwa CoS mara nyingi ndio wanakuwa maCDF ikiwa CDF aliyepo atastaafu, ikiwa umri unamruhusu, ulichoandika wewe kama umemuuliza vipi kuhusu Shimbo na Ndomba. Kwani kipindi Shimbo na Ndomba wakiwa CoS kuna CDF aliyekuwepo alistaafu?
 
Uliyemquote ameongea vizuri tu kuwa CoS mara nyingi ndio wanakuwa maCDF ikiwa CDF aliyepo atastaafu, ikiwa umri unamruhusu, ulichoandika wewe kama umemuuliza vipi kuhusu Shimbo na Ndomba. Kwani kipindi Shimbo na Ndomba wakiwa CoS kuna CDF aliyekuwepo alistaafu?
Sawa nimekupata mkuu. Shimbo alistaafu 2012 ndiyo akateuliwa Ndomba ila sasa baada ya hapo Ndomba alienda wapi sijui
 
Miaka michache iliyopita insignias za jeshi letu zilikuwa 100% za British system. Sasa hivi ni hybrid ya American system na British system. Insignias za colonel na ranks za chini yake ni za British system. Insignias za brigadier general na ranks za juu yake ni za American system. Katika jeshi la Marekani, hakuna insignia ya rank yoyote chini ya brigadier general ambayo ina nyota. Kwahiyo, rank ya kwanza kuwa na nyota ni brigadier general.

Interestingly, ukiona bega la brigadier wa Marekani ni kama vile umeona bega la second lieutenant wa Bongo; la major general wa Marekani utadhani umeona la lieutenant wa Bongo na la lieutenant general wa Marekani utadhani umeona la captain wa Bongo.

Sijaelewa kwanini tumeamua kuchanganya systems!
Intresting, you are Intelligent
By the way, tunakoelekea nahisi kama tutaegemea kwenye rank za NATO zaidi na kuacha muundo wa kimapokeo, kwani haiishii hapo tu, kama unakumbuka muundo wetu haukuwahi kuwa na Comd csm wala brigade csm.
 
Tatizo huja pale msukuma mjinga anapotaka mamlaka aliyonayo ndugu yawe kama yake na si ya ndugu yake.

Nadhani inakuwa ni ushamba flani.
Otherwise wasukuma wako vizuri tu sema kuna wachache wajinga sana, sisemi kwa maana mbaya maana mzazi wangu mmoja ni msukuma original kutoka huko interior kabisa

Wewe nae,kwa hiyo hayo makabila mengine hakuna Wajinga? Sidhani hata kama mmoja wa Wazazi wako ni Msukuma,usijifiche kutukana Wasukuma kwa ksingizio cha “mmoja wa Wazazi wako kuwa Msukuma” otherwise basi na wewe ni zao la hao hao Wasukuma Wajinga.
 
Uuongozi wa Jeshi ni clusters zenye idadi fulani.
the lowest ni unit, ina watu 9 ma privates, wanaongozwa na Koplo.
Units 3 zinaunda Section, ina askari 30, ma koplo 3 na inaongozwa na Sergeant
Section zikiwa tatu, zina askari 90, makaplo 9, ma Sergeant 3, zinaunda plotoon wanaongozwa na Luteni, hivyo cheo cha Luteni ni platoon Kamanda.
Platoon zikiwa tatu, zina askari 360, zina ma koplo 36, ma sajenti 12, na ma luteni 3, zinaunda Coy, na inaongozwa na Major.
Coya zikiwa 3 zina askari 1080, zina ma koplo 108, masajenti 36, maluteni 9, zinaunda kikosi, au batallion kinaongozwa na Colonel, ndio zile mnasikia kambi ya jeshi.
Vikosi au Batallion vikiwa 3, vinaunda Brigedi, inaongozwa na Brigedia, jina jingine la Brigedier ni Brigade Commander
Brigade zikiwa 3 zinaunda Divisheni, na zinaongozwa na Major General, hivyo jina jingine la Maj. Gen ni Division Commander.
Division zikiwa tatu, ndio zinaunda Jeshi kamili na linaongozwa na Generali.

P.
Haya maelezo yako sio sahihi kwa 100%

Senior officer yeyote yule anaweza kuogoza kambi/kikosi kuna ma CO wengi tu ni lieutenant colonels na sio full colonel

Pia hata major kwa mafunzo aliyonayo anauwezo kuwa CO na kumekuwa na wakuu wa vikosi wengi tu ma meja



Pia hapa sina uhakika vyema ila kwa knowledge nilionayo ninacho fahamu ni kwamba section ni watu 9 na inaongozwa na koplo yes

Na platoon INA watu about 30 INA inaongozwa na luteni( kamanda wa platuni) na sio 90 kama ulivosema but I'm open to new knowledge labda nililishwa matango pori Mimi nilipofundishwa.

Na hata kwenye maelezo yako yote umeruka cheo cha u kapteni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom