Current four star Generals in Tanzania

Current four star Generals in Tanzania

Mi naonaga CRUISER ina ** mara naona *** sijawahi kuelewa

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
1.Ukiona * moja jua huyo ni Brigedia
2.Ukiona ** mbili jua huyo ni meja jenerali
3.Ukiona *** tatu jua huyo ni Luteni jenerali (Mara nyingi huyu huwa na msafara wa king'ora gari huwa mbili au tatu na mara nyingi anakuwa Mnadhimu wa jeshi
4.Ukiona **** nne jua huyo ni Jenerali (Mkuu wa majeshi, ma utaona msafara wa gari tatu au nne
 
1.Ukiona * moja jua huyo ni Brigedia
2.Ukiona ** mbili jua huyo ni meja jenerali
3.Ukiona *** tatu jua huyo ni Luteni jenerali (Mara nyingi huyu huwa na msafara wa king'ora gari huwa mbili au tatu na mara nyingi anakuwa Mnadhimu wa jeshi
4.Ukiona ** nne jua huyo ni Jenerali (Mkuu wa majeshi, ma utaona msafara wa gari tatu au nne
Kuna wakati mkuu wa Chuo cha Ulinzi wa Taifa(kama sikosei pale Kunduchi) aliwahi kua Lt General(* General), sijajia kama iko hivyo hadi sasa au ilibadilishwa.
 
Hata Lieutenant Generals kwa mara ya kwanza tunekuwa nao zaidi ya mmoja baada ya chuo cha ulinzi Kunduchi kuanza. Maana kiheshima vyuo vikuu vya jeshi huongozwa na 3 star generals.

Why we dont have more, issue ni ataongoza team ipi? Jeshi linapangwa kwenye group/units na kila moja ina kiongozi wake. Mfano major anaongoza wanajeshi kati ya 80 mpaka 250, Brigedia kati ya 3000 mpaka 5000. Full General ni 100K kwenda juu. It can vary na wakati mwingine mtu wa cheo fulani anapewa specialised unit bila kujali ina watu wangapi.

Bado wadogo sana, China ina 2mil soldiers. Wana Generals kama utitiri and rightly so

Colonels wanaongoza wangapi?
 
Ninavyojua mimi ni kuwa inategemea na wingi wa jeshi ndio wanakuwa na Ranks kubwa zaidi na wengi zaidi
Labda tulazimishe tu kama Idd Amin alivyojishonea Field Marshall
 
Halafu Sarakikya alipata mtelemko ambao ni nadra sana kutokea. Alipandishwa cheo kutoka lieutenant mpaka brigadier na kufanywa kuwa mkuu wa majeshi. Hivyo, hakuwahi kuwa captain, major, lieutenant colonel wala colonel. Miaka hii hilo haliwezi kutokea!

..iliwezekana kwasababu jeshi lilikuwa limeundwa upya, na ilikuwa ni miaka 3 tangu tupate uhuru.

.
 
Wale Ni vichekesho

Hakuna majeshi kule Ni vikundi waasi na wanamgambo waliobahatika kushika nchi

Kwanza majeshi Yao wengi hawana nidhamu

Haya majeshi askari wa chini aliyepigana vita vya mwituni/gollira wakitafuta kushika serikali ananzia lt usu alimradi anajua kusafidha silaha na kuilekezea kwa mlengwa. Hayo ni magenge ya wahuni yaliyojikusanya na kuunda wanachokiita jeshi.
 
Junior NCOs koporo usu mpaka Ssgt.
Senior NCOs ni kwa Warrant officers 1 na2
Senior officers inaanzia Kanali na kwenda juu. Angalia ADC wa Mama na wa Mwinyi jr ujifunze kitu kwa Marais hawa wawili katika nchi moja.
Junior officer ni second lieutenant,lieutenant and captain
Senior officer ni major, lieutenant colonel and colonel
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom