Current four star Generals in Tanzania

Current four star Generals in Tanzania

Uongozi wa Jeshi ni clusters zenye idadi fulani.
the lowest ni unit, ina watu 9 ma privates, wanaongozwa na Koplo.
Units 3 zinaunda Section, ina askari 30, ma koplo 3 na inaongozwa na Sergeant
Section zikiwa tatu, zina askari 90, makaplo 9, ma Sergeant 3, zinaunda plotoon wanaongozwa na Luteni, hivyo cheo cha Luteni ni platoon Kamanda.
Platoon zikiwa tatu, zina askari 360, zina ma koplo 36, ma sajenti 12, na ma luteni 3, zinaunda Coy, na inaongozwa na Major.
Coya zikiwa 3 zina askari 1080, zina ma koplo 108, masajenti 36, maluteni 9, zinaunda kikosi, au batallion kinaongozwa na Colonel, ndio zile mnasikia kambi ya jeshi.
P.
Mkuu nathamini mchango wako lakini kwa kulinda heshima yako ningeomba ufute hii post!
Cc: Mkomavu
 
Field Marshal ana nyota 5?!!?? Kwa nini rank hito Tanzania hatuna?!
1618690615574.png

Siku alipovaa hivi alipaswa avae nyota zake 5 kama huyu.
1618690707018.png
 
Adante kunielimisha, kumbe jeshi la aridhini sio infantry, ni land force, katika kusaidiana kuelimishana, infantry ni jeshi la wapi?.
P
Labda nikusahihishe zaidi, kikundi kidogo kabisa ni group/squad au team, ambapo kikundi kinachofuatia ni sec, ikifuatiwa na patuni. Juu ya patuni kuna kombania, ikifuatiwa na kikosi, kikosi kinafuatiwa na regiment ndio inafuatia brigade....
 
Nikuulize kwa nini wastaafu lt colonel huku mitaani wanapenda kujiita colonel hawaitaki hii lt.

Na Mabrigenia generali na hujita majenerali hawataki kuanza na brigedia.
Majibu yapo nayafahamu yote rasmi na yasiyo rasmi naomba ujibu kwanza lile swali
 
Well, vipi zile branches za military?

Kwa nini zisiongozwe na four star generals?

Jeshi letu halina special forces?

Airforce? Navy? Army?
Idadi ya wanajeshi hairuhusu kua na 4 stars zaidi ya mmoja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom