Clouds Tigo Fiesta kukiwasha Taifa

Clouds Tigo Fiesta kukiwasha Taifa

Mkuu unamanisha fiesta imefungulia mateja😀😀😀😀😀 kuna hatar ya watu kurudi home bila boxer huku viti vya taifa vikiwa taaban Kwa kung'olewa 🤣
Hahaha wacha tuone hizo levels za buku 3 meku🤣🤣🤣
 
Ilifikia mahali clouds wakawa na kiburi na kujiona miungu watu . Sasa wananyooshwa pumbavu hao
🤣🤣🤣🤣🤣 Yote haya ni kutaka kushindana na yule dogo wa Tandale.

Ubaya ni kuwa dogo alishawazidi mbinu tayari wanatapa tapa vibaya mno maana dogo ana support ya Al haji Utingo mkolomije mwenye jiji lake! Amewavurugia network ya lobbying serikalini jamaa wanatubu kinoma hadi huruma.😆😆😆
 
Tusiwacheke clouds,wasaidiwe ili hili tamasha la fiesta liendelee kuwepo kuliko kufurahia kifo cha hili tamasha.
Pia ushauri wangu kwao clouds,waweke kiingilio kikubwa kiasi ili walete wasanii wa hadhi kidogo kama zamani,maana sa hii fiesta inaweza pita mkoa wako na usijue.Yani haishitui.
Ile walofanya juzi kina Diamond ndo tulizoea ya Fiesta ileeee ya miaka ya mwanzo ya uanzishaji wake.

More than that,watafute ulinzi wa kutosha hyo siku maana kwa hyo bei nafikiri mbagala na maeneo ya jirani watahamia hapo so tutegemea pia hali usalama wa watu na mali zao kua shakani
Sio mbagala tu🤣🤣🤣,,,

Sema Maninja wa Keko, TMK na mbagala watakuja kupiga show zao kwa Size yao kama tigo walivyojinadi! Wenye Iphone muache kwa wake zenu jamani,msiseme sijawaambia
 
Buku Tatu, Buku Tatu, Buku Tatu, Buku Tatu, Buku Tatu

Kutoka kwenye kiwango na brand yenye nguvu iliyojitambulisha kwa hadhi yake sasa sio siri tena TIGO FIESTA NI DISCO TOTO.

Kutoka kuleta wasanii wakubwa duniani kote mpaka sasa kulazimika kujifanya kupendelea cha kwetu tu. Kweli TIGO FIESTA SASA NI DISCO TOTO. Maji yamefika shingoni. JEMEDARI RUGE ameondoka na nyota yake.

Yaani TIGO FIESTA ni kama mchezaji wa YANGA au SIMBA ambaye msimu mpya unapoanza anasajiliwa na Singida United. Kweli TIGO FIESTA ni kima Adebayor wa Manchester City (mchezaji wa zamani) mpaka kuhamia timu ya Uturuki inayoitwa Kayserispor. Je waijua Kayserispor?

Kweli thamani ya ALI KIBA ni Buku Tatu? Duuuuuuuu. Tunapoelekea TIGO FIESTA watafanya show za bure kama Harmonise ili wajaze tu watu.
😂😂😂😂😂 Wanajiita #Levels hahaha ila kumbe Level zenyewe ni za buku 3! Inasikitisha mno,
 
Ulishamsikiliza marehem Ruge kabla hajafa alichikosema nia ya kuifanya fiesta miaka ya mbeleni? Ni kua jukwaa la wasanii wa nyumbani,kuufanya mziki wetu upendwe na matamasha haya yawafaidishe watanzania wenyewe... Na wataweza na hili ni mfano mmoja wapo
Mfano wao upi wewe, mbona mnawakingia kifua hawa mabwege...Wameshayumba thats it!

Acheni utetezi wa hoja dhaifu, kama wanajiamini wamlete Drake au Chris Brown...Hio ndio Fiesta tuliokuwa tunaifahamu sisi. Tamasha pekee linaloleta msisimko nchini. Wasanii waliletwa wakali kuanzia nje na ndani. Sasa baada ys kufulia mnakuja na hoja mfu na kumtegemea Ally Kiba ndio awajazie uwanja msanii ambaye hata yeye mwenyewe hajiwezi
 
So inamaana unaenda kuangalia wasanii wa buku tatu.
Hao wasanii wanaenda kama Utamaduni tu na kulipa fadhila za kupigiwa nyimbo zao Clouds ila nina hakika rohoni mwao 80% hawana furaha na hilo maana itaminya malipo yao ila wafanyeje, wanajikuta wazalendo wa kisulisuli.

Clouds Media has lost the wand, a slowly poisoned dying dog!
 
Aiseee Fiesta wametisha sana kwa kuweka kiingilio cha chini kabisa cha buku 3 (kulipia via Tigo pesa).

Hizi kweli ni levels aisee , nawapongeza sanaaa

Yaani kwa wale watu waliolipia shilingi laki tano wasafi festival bei yao ni Sawa na watu 1666 wa fiesta hizi kweli levels

Halafu wanaipiga uwanja wa uhuru ili Wajaze vizuri .

Hongereni sana Fiesta kwa kuonyesha mpo levels za kimataifa kwa kutoza buku 3 tuu , tunategemea kutakuwa na watanzania wengi wenye kipato cha chini hasa kutoka maeneo yenye wakazi wengi kama Tandale , Temeke n.k

Natoa tuu rai kwa watanzania wenzetu kujipanga maana wale watu wenye maisha kawaida watajazana sana mule na wengi shughuli yao tunaijua kwenye upande mzima wa Roba mbao n.k
Levels baby, mtu mmoja wasafi anawakilisha watu buku na ushehe🤣🤣🤣
 
Yani humor ndani sipati roba zitakazo trend
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nimecheka kisenge man, wenye viswaufu na cheni zao wakae mkao wa kula. Na wala mabishoo wa kujifanya wanachukua clip za show kwa kunyoosha mikono juu ya vichwa vya wenzao, wazee wa Ndolema wanawapa hi! 🤣🤣🤣 Wameagizwa kufanya kazi na watatekeleza.
 
Chuki zinakusumbua. Utakufa kwa pressure bure mzee

Mi nimeleta uzi wa clouds tigo fiesta,nyie machoko mnaleta mambo ya wasafi,sasa clouds tigo fiesta inahusianaje na wasafi festival!!?!?
Usipende kudandia treni kwa mbele fuatilia uzi ulipoanza utagundua nani mwenye chuki

Clouds ilianza na itaendelea kuwepo!
 
Clouds hawajawahi kubahatisha Tigo Fiesta DSM kufanyika Uwanja wa Taifa tarehe 8. Kiingilio ni sh. 3000 na getini 5000, hiki ni kiingilio cha kimwananchi kabisa.

Ukikosa shauri yako

Clouds FM

Tuonane tarehe 8,

Levels baby
Tutawalinganisha na wasafi festival watake wasitake. Wanatakiwa waruke kamba ìiyorukwa na wasafi. Kazi wanayo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom