Mshikemshike
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 421
- 210
Apo kwenye kiingilio ndo wamejishusha sana kisa uwanja ujae
Sio fiest tena itakuwa ni kigodoroInaitwa clouds the peoples' station..kwa hiyo ni show ya kila mwananchi na list si ya kihuni,kutakuwa na tag ya wasanii kibao yaani bandika bandua,mwanzo mwisho
#levels
Hahaha wacha tuone hizo levels za buku 3 meku🤣🤣🤣Mkuu unamanisha fiesta imefungulia mateja😀😀😀😀😀 kuna hatar ya watu kurudi home bila boxer huku viti vya taifa vikiwa taaban Kwa kung'olewa 🤣
🤣🤣🤣🤣🤣 Yote haya ni kutaka kushindana na yule dogo wa Tandale.Ilifikia mahali clouds wakawa na kiburi na kujiona miungu watu . Sasa wananyooshwa pumbavu hao
Sio mbagala tu🤣🤣🤣,,,Tusiwacheke clouds,wasaidiwe ili hili tamasha la fiesta liendelee kuwepo kuliko kufurahia kifo cha hili tamasha.
Pia ushauri wangu kwao clouds,waweke kiingilio kikubwa kiasi ili walete wasanii wa hadhi kidogo kama zamani,maana sa hii fiesta inaweza pita mkoa wako na usijue.Yani haishitui.
Ile walofanya juzi kina Diamond ndo tulizoea ya Fiesta ileeee ya miaka ya mwanzo ya uanzishaji wake.
More than that,watafute ulinzi wa kutosha hyo siku maana kwa hyo bei nafikiri mbagala na maeneo ya jirani watahamia hapo so tutegemea pia hali usalama wa watu na mali zao kua shakani
😂😂😂😂😂 Wanajiita #Levels hahaha ila kumbe Level zenyewe ni za buku 3! Inasikitisha mno,Buku Tatu, Buku Tatu, Buku Tatu, Buku Tatu, Buku Tatu
Kutoka kwenye kiwango na brand yenye nguvu iliyojitambulisha kwa hadhi yake sasa sio siri tena TIGO FIESTA NI DISCO TOTO.
Kutoka kuleta wasanii wakubwa duniani kote mpaka sasa kulazimika kujifanya kupendelea cha kwetu tu. Kweli TIGO FIESTA SASA NI DISCO TOTO. Maji yamefika shingoni. JEMEDARI RUGE ameondoka na nyota yake.
Yaani TIGO FIESTA ni kama mchezaji wa YANGA au SIMBA ambaye msimu mpya unapoanza anasajiliwa na Singida United. Kweli TIGO FIESTA ni kima Adebayor wa Manchester City (mchezaji wa zamani) mpaka kuhamia timu ya Uturuki inayoitwa Kayserispor. Je waijua Kayserispor?
Kweli thamani ya ALI KIBA ni Buku Tatu? Duuuuuuuu. Tunapoelekea TIGO FIESTA watafanya show za bure kama Harmonise ili wajaze tu watu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 baharia kampige kazi huyo kinabo, anajifanya kuongea ongea kiboya nyuma ya keyboard!we fala nitakuwepo jiandae hayo malinda naona unawashwa kama madj zenu hapo mawinguni
Mfano wao upi wewe, mbona mnawakingia kifua hawa mabwege...Wameshayumba thats it!Ulishamsikiliza marehem Ruge kabla hajafa alichikosema nia ya kuifanya fiesta miaka ya mbeleni? Ni kua jukwaa la wasanii wa nyumbani,kuufanya mziki wetu upendwe na matamasha haya yawafaidishe watanzania wenyewe... Na wataweza na hili ni mfano mmoja wapo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Gari bovu haliwi na thamani hata likiuzwa bei kubwa.
Hao wasanii wanaenda kama Utamaduni tu na kulipa fadhila za kupigiwa nyimbo zao Clouds ila nina hakika rohoni mwao 80% hawana furaha na hilo maana itaminya malipo yao ila wafanyeje, wanajikuta wazalendo wa kisulisuli.So inamaana unaenda kuangalia wasanii wa buku tatu.
Levels baby, mtu mmoja wasafi anawakilisha watu buku na ushehe🤣🤣🤣Aiseee Fiesta wametisha sana kwa kuweka kiingilio cha chini kabisa cha buku 3 (kulipia via Tigo pesa).
Hizi kweli ni levels aisee , nawapongeza sanaaa
Yaani kwa wale watu waliolipia shilingi laki tano wasafi festival bei yao ni Sawa na watu 1666 wa fiesta hizi kweli levels
Halafu wanaipiga uwanja wa uhuru ili Wajaze vizuri .
Hongereni sana Fiesta kwa kuonyesha mpo levels za kimataifa kwa kutoza buku 3 tuu , tunategemea kutakuwa na watanzania wengi wenye kipato cha chini hasa kutoka maeneo yenye wakazi wengi kama Tandale , Temeke n.k
Natoa tuu rai kwa watanzania wenzetu kujipanga maana wale watu wenye maisha kawaida watajazana sana mule na wengi shughuli yao tunaijua kwenye upande mzima wa Roba mbao n.k
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nimecheka kisenge man, wenye viswaufu na cheni zao wakae mkao wa kula. Na wala mabishoo wa kujifanya wanachukua clip za show kwa kunyoosha mikono juu ya vichwa vya wenzao, wazee wa Ndolema wanawapa hi! 🤣🤣🤣 Wameagizwa kufanya kazi na watatekeleza.Yani humor ndani sipati roba zitakazo trend
Chuki zinakusumbua. Utakufa kwa pressure bure mzeeHuwa siangalii ujinga mimi sound ya wasafi naijua vizuri ni Cabo pernado,yaani ni sound mbovu kuliko zote duniani
Levels ya buku tatu umewahi kuiona ?Apo kwenye kiingilio ndo wamejishusha sana kisa uwanja ujae
Kwani gharama ya Elfu 3 na uwanja ukijaa. Bado pesa haitoshi kumleta Drake ?Yani kiingilio buku 3 na bado unataka msanii kutoka nje? We mdada, waonee huruma wenzio.
In maana ya kwamba ujui kusoma na kuelewa ko urudi shuleni dogo langu sawaIkajaa full ya wapi!??? Au "full"ina maana nyingine
Chuki zinakusumbua. Utakufa kwa pressure bure mzee
Kama fiesta ni kigodoro..... basi wasafi festival ni kitauloSio fiest tena itakuwa ni kigodoro
Tutawalinganisha na wasafi festival watake wasitake. Wanatakiwa waruke kamba ìiyorukwa na wasafi. Kazi wanayo.Clouds hawajawahi kubahatisha Tigo Fiesta DSM kufanyika Uwanja wa Taifa tarehe 8. Kiingilio ni sh. 3000 na getini 5000, hiki ni kiingilio cha kimwananchi kabisa.
Ukikosa shauri yako
Clouds FM
Tuonane tarehe 8,
Levels baby