Chachasteven
JF-Expert Member
- Jul 4, 2014
- 1,941
- 2,048
😂😂 Wasanii wa buku 3.thamani y wasanii wanaopanda fiesta inaendna n bei y kiingilio..
😂😂 Wasanii wa buku 3.thamani y wasanii wanaopanda fiesta inaendna n bei y kiingilio..
Sure.Aiseeh 🤔🤔🤔🤔 uwongo ulipanda lift,naona ukweli unapanda ngazi sasa.unaenda kukanusha kila kitu.
😂😂 100% LocalYaani nipoteze muda wangu eti niende nikaangalie wasanii wa buku 3 thubutu.
Bidhaa mbili tofauti unaongelea hapa. Mpira una dakika 90 tu, upande mwingine wa shilingi, muziki ni masaa babu! Ulinganushaji wako una glitch, that's all I can say for now.Mpira huwa mnaangalia kwa bei gani kwenye huo uwanja?
Hawapo kwenye ramani kwa ufupi. Wanalazimisha Ku fit in.hiyo kusema 100% local ndiyo inawaua.Wasafi wao wanaleta watu wa nje inakua kama fiesta za kipindi kile wana hela wanaleta kina fat joe
😂😂 Ujinga mtupu.hapo wanataka watu wawe wengi ili waseme waifunika Wasafi Festival Grand Finale
Nani aende!!Yaani mvae helmet kabisa
Na alikiba anafanya nanani?Davido amwombe msaada domo..we umelewa nini!!!..Davido anafanya makolabo na akina Chris breeze huko majuu jamaa yenu kakazana kukopi na kupesti,anafanya kolabo na wakongoman
Whatever doesn't kill you, it makes you incredibly stranger...]