Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,559
Nimekosea wapi.? Au unadhani nimekosea kuandika Stranger?? Najua nilichoandiiasio lazima utumie kinge we mzee
Nimekosea wapi.? Au unadhani nimekosea kuandika Stranger?? Najua nilichoandiiasio lazima utumie kinge we mzee
acha ujinga dogo,unadhani kila mtu hapa ana ushabiki maandazi kama wewe!!!!Kumbe ulienda kuangalia.
3000 × 50000 unajua ni hela ngapi bro?washapigwa bao haooo... buku3??, nahisi wamefanya hivo ili nao wajaze, dah! mondi wapunguzie kibano waliingia vitani bila kujiandaa hadi wanatia huruma dadek
We shabiki KITUMBUA.acha ujinga dogo,unadhani kila mtu hapa ana ushabiki maandazi kama wewe!!!!
kuna watu walienda wasafi festival wakatoa 50k na fiesta wataenda kama kawaida walipe hiyo buku 5.wewe kaa na ushabiki wako wakufukuzia gari ya mond kutoka airport bila helmet.
Kweli hii JF kama ulimwengu wa kambale,kila mtu dogo haya KAKA KUBWA,ila mwisho wa siku hamna kitachobadilisha nilichokiandika.acha ujinga dogo,unadhani kila mtu hapa ana ushabiki maandazi kama wewe!!!!
kuna watu walienda wasafi festival wakatoa 50k na fiesta wataenda kama kawaida walipe hiyo buku 5.wewe kaa na ushabiki wako wakufukuzia gari ya mond kutoka airport bila helmet.
Unazijua ?Unazijua gharama za kukodi national stadium?!
Mkuu unamanisha fiesta imefungulia mateja😀😀😀😀😀 kuna hatar ya watu kurudi home bila boxer huku viti vya taifa vikiwa taaban Kwa kung'olewa 🤣Show mbovu watu wangelipa mpaka laki?
Hebu usiongee kama kolo. Japo mie sio team Wasafi ila jamaa wata wa outperform Fiesta.
#Levels halafu kiingilio hela ya pinchi 🤣🤣🤣! Subirien kuibiwa simu na mateja wa keko. Lazma wazamie kwa wingi.
Mkuu unamanisha fiesta imefungulia mateja😀😀😀😀😀 kuna hatar ya watu kurudi home bila boxer huku viti vya taifa vikiwa taaban Kwa kung'olewa 🤣






Boss wa mawinguHivi Baba kasema ni nani?
kama msanii mkubwa kutoka Tanzania Diamond platinums hayupo hiyo hata hainogi kabisaClouds hawajawahi kubahatisha Tigo Fiesta DSM kufanyika Uwanja wa Taifa tarehe 8. Kiingilio ni sh. 3000 na getini 5000, hiki ni kiingilio cha kimwananchi kabisa.
Ukikosa shauri yako
Clouds FM
Tuonane tarehe 8,
Levels baby
anakuja captain JOHN KOMBAWametangaza wanamleta nani kama mwanamusic kutoka nje?Kiingilio book tatu kweli Clouds fm wameishiwa.
Duh.anakuja captain JOHN KOMBA
Waseme tu ukweli MTONYO hauruhusuMsanii wa nje hawaleti Baba kasema ni 100% Local,hata ngoma wanazocheza ni za ndani tu mamiloo!
Yani kiingilio buku 3 na bado unataka msanii kutoka nje? We mdada, waonee huruma wenzio.Wametangaza wanamleta nani kama mwanamusic kutoka nje?Kiingilio book tatu kweli Clouds fm wameishiwa.