Clouds Tigo Fiesta kukiwasha Taifa

Clouds Tigo Fiesta kukiwasha Taifa

Ni Uwanja wa uhuru hatua nzuri kwao ila kiingilio ni kidogo sana wengine wanaweza kuogopa kulingana na expectation kulingana na walichotoa kuwa kidogo Kiufupi litakuwa tamasha la watoto ila watu wanaojitambua sizani kama naweza toka mbezi,tegeta bunju kufata show ya buku 3 taifa. but all in all mafanikio mema kwao wafanikishe.

Sijawai kusikia popote duniani tamasha ambalo ndio kubwa katika nchi liwe chini ya $1.5 huu ni zaidi ya utoto na kuna tatizo kubwa inaoneka ambalo hatujui au ni uoga na kuwadhalisha wasanii wetu, Sasa wasanii wakija kulia njaa tutashangaa vipi? ndio maana Diamond alikaa aya mambo kumbe alikuwa na hoja!
Clouds wameogopa kuweka kiingilio cha juu baada ya kupata mrejesho wa mikoani, hofu yao nyingine ni kuogopa kukosa qatu na tamasha lao likaonekanq dogo ya lile la wasafi
 
Wasafi ile show ya kijinga unalipa 10000 unaenda kusikiliza sound mbovu,utaona tarehe 8 wanaume tunavyofanya yetu
Show mbovu watu wangelipa mpaka laki?

Hebu usiongee kama kolo. Japo mie sio team Wasafi ila jamaa wata wa outperform Fiesta.

#Levels halafu kiingilio hela ya pinchi 🤣🤣🤣! Subirien kuibiwa simu na mateja wa keko. Lazma wazamie kwa wingi.
 
Bado kuna vichwa vimepigiwa kura,si unajua international artist hadi confirmation ifanyike...Ila kutoka mamtoni atakuwa mmoja na wa afrika wawili,davido ana kura nyingi sana huyu anaweza kupita
Unaamini katika zile kura? Pole sana
 
Bado kuna vichwa vimepigiwa kura,si unajua international artist hadi confirmation ifanyike...Ila kutoka mamtoni atakuwa mmoja na wa afrika wawili,davido ana kura nyingi sana huyu anaweza kupita
Najiuliza Davido kaja,alafu kamwomba Diamond aje kumpa Support ,sijuji Clouds watamshusha Diamond jukwaani? Na mimi naombea aje Davido.
 
Naona siku Hadi siku Hadi ya hili tamasha linashuka hadhi yaani kutoka 5000 mpaka 3000 hii Kali ya mwaka Hadi sasa hivi washazidiwa kete na wasafi festival.
 
Show mbovu watu wangelipa mpaka laki kwa VIP? Hebu usiongee kama kolo. Japo mie sio team Wasafi ila jamaa wata wa outperform Fiesta.

#Levels halafu kiingilio hela ya pinchi 🤣🤣🤣
Jamaa utumie akili sometimes,kwan unaangalia show kwanza ndo unalipa,au unalipa kwanza ndo unaangalia show!!???

Watu walilipa laki lakini walichokutana nacho ni ushubwada mtupu..ukiondoa wizkid na tiwa kuna msanii gani mwingine wa maana aliye-perform wasafi ambaye hawezi kufanya fiesta
 
Najiuliza Davido kaja,alafu kamwomba Diamond aje kumpa Support ,sijuji Clouds watamshusha Diamond jukwaani? Na mimi naombea aje Davido.
Haitakuwa mara ya kwanza Diamond kuitwa jukwaani na Davido kwenye jukwaa la fiesta. Tafuta historia.
 
Jamaa utumie akili sometimes,kwan unaangalia show kwanza ndo unalipa,au unalipa kwanza ndo unaangalia show!!???

Watu walilipa laki lakini walichokutana nacho ni ushubwada mtupu..ukiondoa wizkid na tiwa kuna msanii gani mwingine wa maana aliye-perform wasafi ambaye hawezi kufanya fiesta
Kumbe ulienda kuangalia.
 
Najiuliza Davido kaja,alafu kamwomba Diamond aje kumpa Support ,sijuji Clouds watamshusha Diamond jukwaani? Na mimi naombea aje Davido.
Davido amwombe msaada domo..we umelewa nini!!!..Davido anafanya makolabo na akina Chris breeze huko majuu jamaa yenu kakazana kukopi na kupesti,anafanya kolabo na wakongoman
 
Davido amwombe msaada domo..we umelewa nini!!!..Davido anafanya makolabo na akina Chris breeze huko majuu jamaa yenu kakazana kukopi na kupesti,anafanya kolabo na wakongoman
Sawa mwishoni mwa mwaka jana,Davido alipiga show Next Door Arena,akamwita Diamond aje kumpa support baada ya hapo Diamond akaenda kumsupport Harmonize kwenye show yake Mbagala.Alafu uzuri hiyo habari wamepost wenyewe Clouds katika akaunti yao Youtube.
 
washapigwa bao haooo... buku3??, nahisi wamefanya hivo ili nao wajaze, dah! mondi wapunguzie kibano waliingia vitani bila kujiandaa hadi wanatia huruma dadek
 
Kumamamake buku 3 babu,,, kweli Clouds ilikuwa ni Ruge!
Ubaya mie hata kwa buku siwezi kwenda, sio kama sina ila siwezi kwenda kusikiliza...

"Nautaka mchele, naupata mchelee"!

Nyimbo za kipuuzi kama hizo, najua ndio wasanii waliowekwa kwa ajili ya show hio.
Kwa upande was show na mpangilio wake Sina Shaka utakuwa mzuri na wenye matukio ya kuvuta na kuvutia hisia, ila wasiwasi wangu kiingilio ni kidogo Sana kitakachoruhusu hata wasio watu wa burudani kuwepo kitu ambacho kinaweza zalisha matukio ya hovyo hovyo kwa wahudhuriaji.
 
Naona siku Hadi siku Hadi ya hili tamasha linashuka hadhi yaani kutoka 5000 mpaka 3000 hii Kali ya mwaka Hadi sasa hivi washazidiwa kete na wasafi festival.
Inaitwa clouds the peoples' station..kwa hiyo ni show ya kila mwananchi na list si ya kihuni,kutakuwa na tag ya wasanii kibao yaani bandika bandua,mwanzo mwisho

#levels
 
Wasafi ile show ya kijinga unalipa 10000 unaenda kusikiliza sound mbovu,utaona tarehe 8 wanaume tunavyofanya yetu
Upande wa ubunifu na mpangilio was shows hapa ndipo wapenda burudani tunapopataka na kushibishwa ila kwenye kiingilio Kama kitaruhusu hata wasiokuwa watu wa burudani kitu ambachokinaweza zalisha matukio yasio ya kheri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom