Clouds Tigo Fiesta kukiwasha Taifa

Clouds Tigo Fiesta kukiwasha Taifa

Clouds ubunifu ni zero kaka , sasa chukua mfano waki haribu viti na kwasababu ya vibe nyasi bandia ziharibike wanalipia cost ya kurekebisha sijui nani kawashauli asee wamembwela sana dogo domo kawapagawisha
Kwani ni Uhuru au kwa Mkapa?
 
Aiseee Fiesta wametisha sana kwa kuweka kiingilio cha chini kabisa cha buku 3 (kulipia via Tigo pesa).

Hizi kweli ni levels aisee , nawapongeza sanaaa

Yaani kwa wale watu waliolipia shilingi laki tano wasafi festival bei yao ni Sawa na watu 1666 wa fiesta hizi kweli levels

Halafu wanaipiga uwanja wa uhuru ili Wajaze vizuri .

Hongereni sana Fiesta kwa kuonyesha mpo levels za kimataifa kwa kutoza buku 3 tuu , tunategemea kutakuwa na watanzania wengi wenye kipato cha chini hasa kutoka maeneo yenye wakazi wengi kama Tandale , Temeke n.k

Natoa tuu rai kwa watanzania wenzetu kujipanga maana wale watu wenye maisha kawaida watajazana sana mule na wengi shughuli yao tunaijua kwenye upande mzima wa Roba mbao n.k

Umecomment vzr sana ila nimesikitika haujui hesabu
Yani mtu mmoja anaetoa laki 500,000 ni sawa na watu 1666? Asee rudi shule nakuomba
Japo uliloongea ni kweli na linalogic walichoona fiest wao ni kujaza uwanja kwa trick ya pesa ndogo ila ni sawa wasanii wale wale wa bongo kina Nandy na weusi misimu yote ngoja tuone watakavyo jaza na kujitapa
 
Duuuh, naona wamejidevalue wenyewe.. 3000/=
Wenzao E FM huwa wanapigaga usiku na mchana viwanjani tena ni bure...
It seem litakuwa ni tamasha la kiboya kuwahi kutokea Bongo, yaani haya mikoani naweza kusema wameinjoy kidgo..
Nitabiri kuanzia mwakani hili tamasha halitokuwepo na litapotea mazima
 
Wasafi ile show ya kijinga unalipa 10000 unaenda kusikiliza sound mbovu,utaona tarehe 8 wanaume tunavyofanya yetu
Wewe ni DJ? Hivi unajua kwamba kipimo cha usalama wangu kwenye starehe ni gharama ya kiingilio? (Mimi binafsi) ninaamini wahuni, vibaka na mateja.. Ukiwawekea kiingilio kidogo, watajaa na kuhatarisha usalama wangu, show Kama Hizo huwa siendi Kabisa.
 
Wewe ni DJ? Hivi unajua kwamba kipimo cha usalama wangu kwenye starehe ni gharama ya kiingilio? (Mimi binafsi) ninaamini wahuni, vibaka na mateja.. Ukiwawekea kiingilio kidogo, watajaa na kuhatarisha usalama wangu, show Kama Hizo huwa siendi Kabisa.
Wewe usiende waachie hao wa hali ya chini.
 
Show mbovu watu wangelipa mpaka laki?

Hebu usiongee kama kolo. Japo mie sio team Wasafi ila jamaa wata wa outperform Fiesta.

#Levels halafu kiingilio hela ya pinchi ! Subirien kuibiwa simu na mateja wa keko. Lazma wazamie kwa wingi.
Ile festival ilikuwa ovyo kabisa. Watu walikuwepo wengi lakini performance ilikuwa zero kabisa
 
Wazee, imekuja kama surprise kwangu hadi sijaamini masikio yangu na nikabaki na maswali kibao.

Asubuhi nilikuwa nasikiliza Power Breakfast so ikafika point hawa kina Masoud wakawa wanajadili ishu za Fiesta hasa viingilio. Kusema kweli imeniacha na mshtuko mkubwa sana hadi nimebaki najiuliza sababu ya kufanya Fiesta iwe cheap hivyo nini. Wanaogopa au wamefeli au wanawajali watanzania??

Imagine mtu atapata ticket hadi kwa buku 3. Very cheap, ndiyo. Lakini naamini sio bei walioweka kwa kupenda kwao, itakuwa ni tathmini walioifanya wakahisi wanavyojua wao. Hio sababu ya kuwa ni kura na mapendekezo ya watu naona ni porojo tu. Yaani wabongo tungepewa nafasi ya kuamua kiingilio, si wengi tungesema iwe bure.

Btw, V.I.P ni 20k. Ukilipia getini kwa kawaida ni 5k na kwa Tigo Pesa ni 3k tu. Levoz beibiii!

Read more here: Mfanyabiashara, usiwaige Fiesta. Nitakuambia kwanini kupunguza bei ya bidhaa sio mbinu nzuri ya kibiashara
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom