Clouds Tigo Fiesta kukiwasha Taifa

Clouds Tigo Fiesta kukiwasha Taifa

Mi nimeleta uzi wa clouds tigo fiesta,nyie machoko mnaleta mambo ya wasafi,sasa clouds tigo fiesta inahusianaje na wasafi festival!!?!?
Usipende kudandia treni kwa mbele fuatilia uzi ulipoanza utagundua nani mwenye chuki

Clouds ilianza na itaendelea kuwepo!
Baba joniii, mambo vipi...
 
Tutawalinganisha na wasafi festival watake wasitake. Wanatakiwa waruke kamba ìiyorukwa na wasafi. Kazi wanayo.
Nyie mnaongea kama watoto,kwani clouds ule uwanja wa leaders wameujaza mara ngapi??!!..mnalazimisha wasafi kuwa level ya clouds,clouds ni level nyingine!..nyie na wasafi wenu kazi yenu ni kopi na pesti,kopini na hii,mwakani hiyo wasafi festival yenu muipeleke taifa..
 
Matapeli nyie . Acheni kauli za mfa maji . Mmefilisika , pesa ya kuleta msanii wa maana hamna . Ndo maana mmeshusha hadi kiingilio , so kwamba mnawapenda sana watanzania bali ni Kuwa mmeloose popularity na mmeamua Kuwa cheap ili kuwavutia watu cheap kwa kuwa watz wengi ni wazee wa vitu vya bei rahisi hata kama quality ni poor .
Yaani wasafi walete wasanii kutoka nigeria,halafu clouds ishindwe!!..wamekuja akina rick ross kutoka Marekani unapagawa na waduwanzi wa nigeria

Hakuna redio stesheni hapa bongo iliwahi kuleta wasanii kutoka nje inayoweza kuizidi clouds..hiyo ni fact nakupa!
 
Biashara ni akili na mbinu...



Clouds siyo wajinga..
Wengi wao humu ni watoto,hawaelewi
Unajua clouds ina watu wabunifu sana,siku zote wao huwa wanaanza wengine hao akina wasafi,efm,times kazi yao ni kukopi na kupesti
 
Mi nimeleta uzi wa clouds tigo fiesta,nyie machoko mnaleta mambo ya wasafi,sasa clouds tigo fiesta inahusianaje na wasafi festival!!?!?
Usipende kudandia treni kwa mbele fuatilia uzi ulipoanza utagundua nani mwenye chuki

Clouds ilianza na itaendelea kuwepo!
Utapasuka mzee
 
Yaani wewe boya ndio clouds wamekuchagua kwa ajili ya promo ya JF? Wamechemka. Naona mawe kidogo tu kwa ajili ya wasafi festival unalia unalia,umeviiiimba,karibia unapasuka
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nimecheka kisenge man, wenye viswaufu na cheni zao wakae mkao wa kula. Na wala mabishoo wa kujifanya wanachukua clip za show kwa kunyoosha mikono juu ya vichwa vya wenzao, wazee wa Ndolema wanawapa hi! 🤣🤣🤣 Wameagizwa kufanya kazi na watatekeleza.
Mimi siku hiyo nitakuwepo kuwapa habari jinsi wana wanavyolizwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom