Clouds Tigo Fiesta kukiwasha Taifa

Clouds Tigo Fiesta kukiwasha Taifa

Wazee, imekuja kama surprise kwangu hadi sijaamini masikio yangu na nikabaki na maswali kibao.

Asubuhi nilikuwa nasikiliza Power Breakfast so ikafika point hawa kina Masoud wakawa wanajadili ishu za Fiesta hasa viingilio. Kusema kweli imeniacha na mshtuko mkubwa sana hadi nimebaki najiuliza sababu ya kufanya Fiesta iwe cheap hivyo nini. Wanaogopa au wamefeli au wanawajali watanzania??

Imagine mtu atapata ticket hadi kwa buku 3. Very cheap, ndiyo. Lakini naamini sio bei walioweka kwa kupenda kwao, itakuwa ni tathmini walioifanya wakahisi wanavyojua wao. Hio sababu ya kuwa ni kura na mapendekezo ya watu naona ni porojo tu. Yaani wabongo tungepewa nafasi ya kuamua kiingilio, si wengi tungesema iwe bure.

Btw, V.I.P ni 20k. Ukilipia getini kwa kawaida ni 5k na kwa Tigo Pesa ni 3k tu. Levoz beibiii!
Show ya wasafi festival waliofanya dar imewapagawisha wakaona wakifanya Bei kubwa hawatapata watu wengi.Fiesta sasa hiv ishakuwa bonaza na wasanii watakaoperform Hilo tamasha washajishusha thamani watakuwa wasanii wa buku tatu.
 
Ni sawa na umepeleka bidhaa mnadani na umekuta bidhaa za Aina yako ni nyingi sana na katika bidhaa zote hapo zako ndio zipo ubora mbovu na unaona kabisa zinaenda kuharibika na kupata loss kubwa na hata nauli ya kurudi nao mzigo home huna,so inabidi uvunje bei ili na Wewe uuze sawa na wenzio mzigo uishe hata kama itakukata potelea mbali hali ni mbaya Levels baby.
 
Tafiti huru zinasema tangu Rais Magufuli kaingia madarakani mfumuko wa Bei umepungua sana hata Tanzania bureau of Statistica wamekiri hilo

Tunamshukuru Rais kwa Fiesta kupunguza bei
 
Nadhani pia wameangalia na kiingilio kiwe kidogo ili watu wajae uwanja wa uhuru..ni bora upate watu 30 kwa elfu 3 kiingilio kuliko watu kumi kwa elfu 5 kiingilio.
 
Wewe ni DJ? Hivi unajua kwamba kipimo cha usalama wangu kwenye starehe ni gharama ya kiingilio? (Mimi binafsi) ninaamini wahuni, vibaka na mateja.. Ukiwawekea kiingilio kidogo, watajaa na kuhatarisha usalama wangu, show Kama Hizo huwa siendi Kabisa.
Usije. Si tutaenda kujumuika na vibaka,kula burudani kutoka kwa wakongwe wa burudani..
 
Lakini na sound mbovu ilikuwa na gharama kubwa na ikajaa full,but ngoja tuone hao wanyonyaji wa mawingu na bukubuku zao kama hata robo watafika WCB chama lao.
Ikajaa full ya wapi!??? Au "full"ina maana nyingine
 
Kusample mziki ni kucopy na kupaste ?
S2kizzy alitoa maelezo ya ile bit kutika mbona muhisika ajaskika akilalamika?
Mondi si msanii wa kwanza kusample , tafuta wimbo wa KIba unaitwa Misspineapple au hadithi then usikie alisample nyimbonza kihindi wewe haujui mziki bali ni mshabiki na siwezi kushangaa ndo kizazi cha dot com 2000
Unajua maana ya sampling dogo !!???
Ngoja tukupe shule
Sampling maana yake unachukua taste (kionjo) ya mziki flani unaiweka ktk mziki wako kwa sehemu ndoooooogo sana,elewa "ndoooooogo sana" kama vile undecided ya chris,hadithi ya kiba,

Sampling sio unachukua beat,melody hadi baadhi ya maneno,yaani hata ile "baba lao" kaichukua kwa naira,ile sio sample,ile ni paste...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom