Clouds Tigo Fiesta kukiwasha Taifa

Clouds Tigo Fiesta kukiwasha Taifa

Clouds ubunifu ni zero kaka , sasa chukua mfano waki haribu viti na kwasababu ya vibe nyasi bandia ziharibike wanalipia cost ya kurekebisha sijui nani kawashauli asee wamembwela sana dogo domo kawapagawisha
Clouds ipo kwenye game toka kitambo,yaani clouds ndo kisima cha burudani afrika mashariki,hao wasafi wao ni kupesti tu mambo ambayo yamebuniwa na clouds,jambo la kuharibika viti na nyasi bandia halitupi mawazo kwa sababu sisi ndo mababa wa hizi kazi


Na hiyo ndo maana ya levels
 
YAANI MWANAUME MZIMA UNAOGOPA WAHUNI
Na mademu nao wasemeje!??..huku levels hatuwataki nendeki hukohuko kwa machoko wenzenu wavaa hereni
 
Ulienda? Na kama uliangalia kwa tv uliangalia muda wote? Na kama ni hvyo uliwezaje kuangalia show mbovu mpaka inaisha? Na ka uliishia kati kwann useme show yote ilikuwa mbovu ?
Show mbovu,unabisha nini!??


Kibongobongo kuna nani anaweza kuandaa show kali kuzidi clouds
 
we fala nitakuwepo jiandae hayo malinda naona unawashwa kama madj zenu hapo mawinguni
Mtu mwenyewe unaogopa vibaka halafu unataka battle na mimi..!!!


Dume zima unalialia kuhusu vibaka,na dada yako naye aliealie kuhusu vibaka,we unajiona uko sawa??!.

We si choko tu..
 
Mtu mwenyewe unaogopa vibaka halafu unataka battle na mimi..!!!


Dume zima unalialia kuhusu vibaka,na dada yako naye aliealie kuhusu vibaka,we unajiona uko sawa??!.

We si choko tu..
dada nitamucha nyumbani nakujia wewe tu siiku hiyo maana najua hutakosa na hilo sambwanda linavyokuwasha nitakubinua tu nikukune
 
Ulishamsikiliza marehem Ruge kabla hajafa alichikosema nia ya kuifanya fiesta miaka ya mbeleni? Ni kua jukwaa la wasanii wa nyumbani,kuufanya mziki wetu upendwe na matamasha haya yawafaidishe watanzania wenyewe... Na wataweza na hili ni mfano mmoja wapo
hiyo kusema 100% local ndiyo inawaua.Wasafi wao wanaleta watu wa nje inakua kama fiesta za kipindi kile wana hela wanaleta kina fat joe
 
dada nitamucha nyumbani nakujia wewe tu siiku hiyo maana najua hutakosa na hilo sambwanda linavyokuwasha nitakubinua tu nikukune
Angalia dogo kama unaogopaogopa huku usije,maana inaonekana we ni mtoto wa mama wahuni wasije wakajisevia kiboga hicho

Dume zima unalialia kuhusu wakabaji, na dada yako naye afanyeje?!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom