Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,618
Kwani Clouds wameongea nini?
Aaaa kweli nakumbuka sana. Sasa hivi wako hoi. Hivi TBC bado ipo,kwenye Tv yangu nilishaing'oa tangu wamkatae Tido Mhando ambaye sasa tuko naye Azam Tv.Tuliionya STARTV ikapuuza , nadhani kinachowakuta unakijua
Watu wanazungumzia content ya tbc chombo cha serikali kuwa mali ya ccm kutangaza hadi ujingaTBC wameji-update na aridhio wako vizuri siku hizi angalau inatazamika.
Sema inaongoza kuangaliwa na wajingaTBC ndio channel inayoongoza kwa kuangaliwa na na watu wa lika zote kwa local channel
Achana ujinga bwana mdogo, hakuna mtu mwenye kifikiria sawasawa anaweza kaa na kuangalia tbcTBC ndio channel inayoongoza kwa kuangaliwa na na watu wa lika zote kwa local channel
Ukiacha siasa na haipendwi ma wengi kama unavosema.TBC ndio channel inayoongoza kwa kuangaliwa na na watu wa lika zote kwa local channel
Malcom X angekua na akili ya kipumbavu kama yako sidhani kama ungemjua na kutumia Picha yake kwenye Avatar yako.
Clouds hawajaanza Leo kujihusisha na sisiemu, kama kufa wangeshakufa siku nyingi kumbuka miaka 10 ya Kikwete yote hawajamaa wamekuwa na sisiemu na hawakuyumba itakuwa Leo?
JPM alivyoingia madarakani tulijua itakiwa mwisho Wa clouds lakini ndio kwanza mpaka sim akawa anawapigia live so wale wanajua kucheza na nyakati
Ni ngumu kuwashawishi watu wasisikilize au kutizama clouds media. Narudiankusema kama clouds kufa ingekufa baada ya Kikwete kutoka madarakani, lakini mpaka Leo wanaendelea, watu wameongea sana clouds isuswe lakini sio rahisi, vijana wengi na watu wa lika la kati wanasikiliza clouds kwenye nagari wanapotoka na kwenda kazini, nenda Salun na madukani vijana wengi wa kike na kiume wanasikiliza clouds.Kimeingia, kimeuma hauwezi kujibu unarusha ngumi hewani
Nilichoandika cha uwongo ni kipi??
Wafanyabiashara hao lazima watalemea CCM
Mara ngapi mnawaambia watu wasisikilize clouds na bado ina wasikilizaji wengi?
Mara ngapi hao clouds wanatoa coverage za chadema?
Kuweni genuine na roho yako...nyie ndio mnakataaga wazazi wenu kuogopa watu
Jibu hoja, sitaki kukutukana, maana hauniwezi na sijawahi kushindwa
CDM ina miaka 25 sasa hawana TV, Radio na channel za maana wewe unataka mtu binafsi na utashi wake aache kufanya cha kumuingizia hela kisa akauogope wewe?
Huu umaskini wa akili mnautoa wapi? Au mbaona kila mtu yuko JF, Twitter na insta? Kitaa kila mtu ni clouds na hawana mawazo yenu ya ki patriotic but very childish kama wewe....
Uko sahihi, wale tulioanza enzi za disco bombastic pale coco beach enzi za akina Boni love na fiesta za miaka ya 2000 mwanzoni tunaelewa clouds sio rahisi kuwaangusha, hawa watu wanajua kucheza na nyakati.Uko sahihi
Nashangaa eti itakufa..
Taasisi yenye miaka 20 plus wanaifundisha how to run?
Hauwezi kuondoa ties za clouds na ccm! Lakini clouds bado wanafanya coverage za CDM nyingi tu
Ni watu binafsi na utashi wao na maamuzi yao na chombo chao
Kampeni zote za CCM clouds wanaandaa waimbaji wa bongoflavour, manyimbo kibao...ni maisha yqo
CDM ilipaswa kuwa na chombo au media pinzani hawana, na hawana mpango wowote...
Ni ubinafsi wa hali ya juu kulazimisha au kuwatisha clouds kwa dunia ya sasa ya digital!! Ambayo kuanzisha redio mtaji ni mdogo
Sasa kwa mindset hii upinzani ukikamata nchi si utalazimisha kila mtu awatukuze wao? Demokrasia ni pqmoja na kuruhusu wengine waishi watakavyo bila kutishana
Ardhi yako! Nawaza kwa mbali tuHivi ARIDHIO maana yake ni nini? Naomba kujua.