Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,926
Hakuna jipya hapo aridhio maana yake ni habari au taarifa Kuna Uzi upo humu.Hivi ARIDHIO maana yake ni nini? Naomba kujua.
Hakuna jipya hapo aridhio maana yake ni habari au taarifa Kuna Uzi upo humu.Hivi ARIDHIO maana yake ni nini? Naomba kujua.
Wakati wanahangaika kuji brand hiyo juu wala haikuwepoMaagizo kutoka juu.
Siku Makonda anavamia na mitutu wewe mbona hatukukuona mkuu ?Mnaboa kichizi jamaa zangu, sahara media hawasikilizwi kwa sababu yenu asee, wale walifirisika kitambo tu
Yaani mtu asisikilize sport xtra kisa chadema, kigogo wa twitter na mwenzake haule wamesema!?
Doh!!
Nilishawaonya clouds kuelemea CCM kupitia kipindi Chao Cha clouds 360 ila naona hawajakoma .
Kusaga akumbuke alianzisha kijifundrise chake Cha kipumbavu akihamasisha wenye hell kuchangia kits za covid 19 bila magu kumuonea aibu alimpiga ban kwakukataza huo upuuzi Tena akamwambia Kuna watu nasikia wameanza kuchangisha michango ya covid 19 hivi kusaga hajui ameanza kuanguka? Alitumia mbeleko ya kumsifu ummy mwalimu kusaga kumbuka tuliokuweka hapo juu ni sisi wewe endelea kumsifu mfalme ukasahau ulikotoka .
Soma aya ya mwisho kusaga.
Clouds ni mali ya familia kumbuka ulikabidhiwa wewe toka kwa baba yako mkubwa ambae ndio alibidi apewe clouds wewe ni dogo Sana kwasababu wewe ni mjukuu mdogo wa mtoto mdogo wa mzee kusaga yule dogo wa morogoro baba yake ni mkubwa kwako na Sasa wale watoto wanakuja unajua kwanini wiki hii dogo kaenda mbeya....???
Sasa tunakuambia hivi...
Yule mdogo wako anaevuta bangi mafisa morogoro na kunywa gongo sasahivi akili imepevuka anaanza kudai umiliki wa Mali maanahiyo sio Mali yako ni ya familia endelea kufagilia upande mmoja ukaacha wa pili wanasiasa wanapita ....!
Wengine hawanunuliwi ni kihelehele tuWatu wamekubali kunnuliwa kama kuku wa kitoeo sokoni. Kusaga kafika bei.
Hata kama sina bundle siwezi angalia uchafu uoTBC ndio channel inayoongoza kwa kuangaliwa na na watu wa lika zote kwa local channel
Namba moja hapo kwenye korido za LumumbaTBC ndio nambari 1 law sasa, usifanya chuki zako dhidi ya ccm kuwa issue ya Taifa. Upinzani hauna maana tena
Tbc inaangaliwa na mamilioni ya watanzania,nyumbu hawajawahi kususa wakfanikiwaChadema iliwahi kuwaamuru watanzania kuipuuza TBC na kuanzia hapo mpaka naandika uzi huu TBC imepuuzwa nchi nzima na hata watangazaji wake wakitangaza bila kuvaa nguo hakuna mwananchi atakayeangalia TBC.
Malcom X angekua na akili ya kipumbavu kama yako sidhani kama ungemjua na kutumia Picha yake kwenye Avatar yako.Naona una tamani ungekuwa mke wa huyo dogo anayevuta bangi!!!!!
Media zote, magazeti yote yameelemea CCM
Kungekuwa na 50-50% labda chadema atachukua nchi makes your statement valid ..ushindi wa ccm ni 99.7%‰
Kumbuka ni taasisi binafsi
Nakubali kwa 100% mkuu,TBC ni namba 1 katika kutoa habari za kusifu na kuabudu.TBC ndio nambari 1 law sasa, usifanya chuki zako dhidi ya ccm kuwa issue ya Taifa. Upinzani hauna maana tena