kipanya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mocumentary

    JamiiForums Tanzania Masoud Kipanya, usirudi kwenye Media uchwara, tafadhali

    Tokea watangazaji maarufu wasimamishwe na bodi ya ithibati, masoud ameonyesha uwezo binafsi, Vipindi vyake vya sasa kupitia channel yake ya you tube ni vizuri vyenye mvuto kuliko alipokuwa clouds, Ana muda wa kutosha wa kutumia ubongo wake kujenga hoja na kujadili mada za msingi bula kubanwa na...
  2. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Masoud Kipanya: Ningekuwa Bodi ya ithibati, kila Mwandishi aliyegombea kupitia chama asingerudi kwenye Uandishi

    Mchora Katuni Masoud Kipanya ambaye pia amewahi kuwa Mtangazaji wa Redio na TV kupitia chaneli ya Kipanya Tell A vision kuhusu Mtazamo wake kuhusu Waandishi wa Habari walioshiriki katika kuwania nafasi za uongozi kupitia Vyama vya Siasa.
  3. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Masoud Kipanya: Si wote Wanaokomenti mitandaoni wakionesha kuumia ni Wana-CHADEMA, wanapigania maslahi ya nchi

    Mchora Katuni mkongwe Masoud Kipanya kupitia chaneli ya Kipanya Tell A vision akielezea mtazamo wake kuhusu tabia ya watu wanaotoa maoni kupitia mitandao mbalimbali.
  4. Inside10

    JamiiForums Tanzania Padri Vincent Kasana: Hadi Leo Dioniz Kipanya Hayupo!? Je, Tumuombe Kama Mfu Au Mzima

    https://www.instagram.com/reel/DVeoMXsjKC4/?igsh=a3BlaXY5bmptdWZu
  5. T

    JamiiForums Tanzania Kipanya na vibonzo..

  6. M

    JamiiForums Tanzania baruti zinazopigwa usiku huu wa mwaka mpya zingepigwa marufuku, zinaleta kumbukumbu mbaya za milio ya risasi ya 29 Oktoba 2025

    Sikutegemea kama usiku huu wa kuamkua 2026 mwaka mpya utanivuruga kisaikolojia Nilizoea kufurahia baruti za mwaka mpya lakini kwa mara ya kwanza nimehuzunika kila ninaposikia milio ya baruti, akili inarudi kwenye milio ya 29 Oktoba mwaka jana
  7. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Eti masterminds hapa Kipanya anamaanisha nini?

  8. papag

    JamiiForums Tanzania Fikra hadidu ya Masoud Kipanya

    Unasemaje?
  9. McLaren

    JamiiForums Tanzania Masoud Kipanya, CZA na Fetty wa Clouds pamoja na CEO wa Jambo TV wadaiwa kuzuiwa kufanya shughuli zozote za kihabari

    Wakuu, Yaani kwenye hii nchi kila mtu ATAFIKIWA kama sio leo ni kesho au mwaka kesho lakini udhalimu ukiwa unatokea alafu ukawa kimya na kuwa sehemu ya watawala kwa kukaa kimya, UTAFIKIWA TU. Hawa niliowataja hapo inaonekana wamefungiwa lakini hawataki kusema. Nasubiri kuona kesho kama...
  10. R

    JamiiForums Tanzania Balile alalamikia Kipanya kuwalinganisha media na Toilet paper

    Ndio ukweli media za hapa zinatumiwa kama toilet paper na wenye madaraka Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Jamhuri, na Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Deodatus Balile amelalamika waharirir wa habari/wanahabaria/media kuitwa/kulinganishwa na Toilet pape Tanzania (TEF)
  11. A

    JamiiForums Tanzania alitop kipanya cha kutengeneza juisi

    Vijana wa wa kwanza ni zawadi kutoka kwa Mungu ;Vijana wa pili ni matokeo ya juhudi zetu wenyewe.
  12. Bushmamy

    JamiiForums Tanzania Katuni ya Masoud Kipanya ina maana gani?

  13. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Kipanya anawagutua CCM, ametukosea Sana CHADEMA

    Nimeangalia Katuni ya Masud Kipanya na nikastuka ni kwa nini anawatoa usingizini CCM. Ina maana Kipanya hajui kuwa Kuna msemo wa kiswahili usemao "aliyelala usimuamshe..."? Kwa kweli Kipanya katukosea wanachadema kwa kuchora katuni ambayo itawafanya CCM wabadili njia zao za kupambana na...
  14. Faana

    JamiiForums Tanzania Kipanya: Inamaanisha nini hapa

  15. Faana

    JamiiForums Tanzania Kipanya: Ku-wok au Ku-wok

  16. Faana

    JamiiForums Tanzania Kipanya: Kumekucha kumekucha

  17. DR Mambo Jambo

    JamiiForums Tanzania Kipanya Katunix Ya leo Inamaanisha Nini ACT kuwa Chama Kikuu cha Upinzani?

    Naona Zambarau Ikineemesha vizuri kabisa Kijani hapo Juu Baada ya CDM kususia Uchaguzi?
  18. 05CUBA

    JamiiForums Tanzania Uzi Maalumu wa kutafsiri picha za Masoud Kipanya

    Karibuni tushee maana zilizo nyuma ya picha za bwana MASOUD KIPANYA. Hasa zile zenye mrengo wa kisiasa
  19. Faana

    JamiiForums Tanzania Kipanya: Kila mtu aweke title yake jinsi alivyoelewa

  20. Faana

    JamiiForums Tanzania Kipanya: Mama na mwanapunda

Back
Top Bottom