CIA walimuua Bob Marley?

CIA walimuua Bob Marley?

Actually CIA waliua hadi yale mabasi ya JADIDE ya enzi zile, walipomaliza wakaua hadi simbaluwala then wakahamia arachuga na kuua master city

siku hizi CIA wapo pale machinjioni pugu wanaua sana ngombe usiku😱
apo anti Kaoge tuu ndo utamdanganya
 
alikuwa na impact gani hadi wazee wa kazi a.k.a wazee wa mission CIA wamuue?????? au bange zake tu zilimzidia.
bange zilimzidia nini babu?kwani bange mzigo?acheni hizo kila kitu bange tu
 
nayale katibu mkuu Wa UN PIA WALIMUUA JIAQIM MACHEL PI MANDELA NDIO ALIFUNGUA UKWELI HUO
 
Kwanza kabisa heshima tele kwa Nesta Marley aka Tuff Gong. Niseme kitu Bob Marley hakuwa mtu wa hivihivi Bob alikuwa zaidi ya reggae artiste. Ukimsikikiza Bob kwenye interviews, nyimbo zake.....utagundua Bob alikuwa mtu mwenye akili kwelikweli. Bob alijuwa kusema kweli....kifupi aliongea pure truth.

Nikirudi kwenye kifo chake (RIP) zipo conspiracy tofauti kuelezea coz yeye ni Legend na ni kawaida legend kuzungumziwa kwa perspective tofauti. Bob kuuawa na CIA hakuna udhibitisho. Ipo story Bob alipewa zawadi ya pair of shoes na alopojaribisha alilalamika kuumizwa kidole chake na kitu kilichodaiwa kuwa kipande cha copper ndani ya kiatu. Hii ilikuwa US wakati Bob yupo anafanya music tour. Hapa wapo wanaodai CIA walimtrick Marley na kumsababishia cancer. CIA hawajawahi kusema chochote kuhusu hii habari.

Miaka baadaye Tuff Gong alicollapse akiwa tena katika tour US. Akapelekwa kijiji fulani huko Bavaria German kupata tiba ya asili. Muuguzi wa Bob (mzungu) mara ya kwanza aliogopa kuhusu Bob....anasema alipata sikia Bob Marley alikuwa mtu hatari aliyeadvocate chiki dhidi ya watu weupe....lakini muuguzi huyu baadaye akamwambia Bob nimejua haikuwa kweli yote waliyosema juu yako. Kifupi Bob alikuwa irresistible. Alikuwa na energy poa sana......hautoweza kuzuia zaidi ya kumpenda Bob.

"The greatness of man is not how much wealth he acquires but his integrity to affect those around him positively"
 
alikuwa na impact gani hadi wazee wa kazi a.k.a wazee wa mission CIA wamuue?????? au bange zake tu zilimzidia.
Unauliza impact ya Bob,
Pitia siasa za wakati huo,nilikuwa kipindi cha mapinduzi dunia nzima,na influence yake kwa waafrika walokuwa wanapinga ubeberu ilikuwa kubwa sana through music,pia wakati huo palikuwa na vugu vugu kubwa sana la siasa jomaica,vugu vugu ambalo us walikuwa na mkono wao hapo,na Bob aliwagusa vijana wengi na kumbe zake zilikuwa tatizo kwao
 
Watu watumwa wa mawazo unapomtaja Bob wao wanawianisha na bangi,kuna watu walivuta na wanavuta bangi zaidi ya Bob, Bob ni zaidi hata ya hawa tunaowasikiliza na kuwaamni na kuwapigia makofi,
Fuatilieni historia yake na ujumbe wa music wake ndo mtajua jamaa alikuwa zaidi ya binadamu wa kawaida,jamaa alikuwa na kitu kikubwa sana ndani yake,
Jk ambae ninyi mnamuheshimu sana alipomuona Bob kwa nje alivo,jamaa alikataa hata kumsalimia,lkn baada ya Bob kuimba ujumbe ulokuwepo kwe music wake ulifanya jk akampe mkono na kumualika tz,mnao mdharau Bob ni sababu mmeathiriwa na Babylon system na elimu yao,dharauni kataeni lkn ukweli utaishi jamaa was great,huezi hata kufananisha kichwani alivokuwa smart na hawa wanasiasa wenu na viongozi wenu
 
Mkuu unaweza kuekezea kidogo kifo cha Walter Rodney kilikuaje na alifia wap mana huyu jamaa nlimsoma kweny world history book kinachohusu mambo ya capitalism
Baada ya kufundisha Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam ( Udsm ), Walter Rodney alirudi nchini kwake Guyana kwa ajili ya kugombea Urais na kwakuwa alikuwa ni Mkosoaji mkubwa wa sera za Magharibi, Marekani ikahisi jamaa akishinda Urais atakuwa ni kero kwao, hivyo CIA kupitia kitengo chake hatari cha Mauaji wakamtegeshea Bomu kwenye gari lake na likafanikisha kuondoa uhai wake.
 
Mkuu acha kutudanganya. Abraham Lincoln wakati anafariki CIA haikuwa imezaliwa.
Ungeeleza uelewa wako zaidi ingekuwa vizuri zaidi kwa faida ya wengi.
e043c5223a307b0e4eb348d35c60933d.jpg
 
Back
Top Bottom