CIA walimuua Bob Marley?

CIA walimuua Bob Marley?

Ukweli hautakiwi na mbuzi wachache wanaojifanya wana hatimiliki ya dunia hii. Kwa wale wapenzi wa movie na hata kama hupendi kufuatilia movies basi kwa hisani yangu nawaomba muitafute movie inayoitwa 666 AVENUE PARK. Hii ni series ambayo i mefunua mambo mengi sana yanayofanywa chini ya kapeti ya dunia hii. Tamthilia hii imepitia changamoto nyingi sana mfano mpaka sasa navyoandika hapa tamthilia hii ilishapigwa marufuku kurushwa kwenywe tv Chanel yoyote ile duniani itafuteni movie hiyo ingawa sio rahisi kuipata kwani madukani zilipotea ghafla na hakuna nyingine zilizozalishwa.ITAFUTE UONE DUNIA INAVYOENDESHWA sio mtu unamiliki nyumba saba na daladala tano ukadhani umemaliza jamani kuna PIMBI WENYEWE WANAMILIKI DUNIA NZIMA WANAIRATIBU KULINGANA NA AKILI ZAO ZINAVYOWAZA hata wewe usijidanganye kuwa akili yako unaimiliki wewe la hasha! Tulishapotezwa parefu, mimi sina kipaji cha uandishi hata hivyo nimejitahidi sana.
[HASHTAG]#the bold [/HASHTAG]
[HASHTAG]#mshana jr[/HASHTAG]
Mkuu,nisaidie kuipata nitashukuru sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bangeee mbata kwelikweli
hata Mbaraka Mwinshehe kwenye ajali yake nadi wakashindwa mtolea Damu huko Kwnya ni CIA
Hata Marehemu Kinyambe aliuawa na CIA wakishirikiana na MI6 ya Uingereza baada ya kuhisiwa kuwa umaarufu wake unataka kuzidi wa Mr. Bean! Hii ni habari ya siri sana ambayo Snowden anataka kuitoa hivi karibuni!
 
alikuwa na impact gani hadi wazee wa kazi a.k.a wazee wa mission CIA wamuue?????? au bange zake tu zilimzidia.
Sio bange bob alikuwa na kipawa cha kuona mbali pis1 aliwajua mawakala was shetani dunian aka freemason illuminant nk alipokuwa akiimba muda mwingi alionya kuhusu watu hao sikiliza nyimbo za one drop,jah live,guiltnes,ride natty ride nk sikiliza uelewe hasa ktk jah live anaposema JOHN SAW THEM COMING WITH THE TRUTH FROM ANCIETY TIME mungu akujaalie uelewe maana iliandikwa MNA macho na hamtaona na maskio na hamtaelewa ubarikiwe sana he was a philosopher a black prophet
 
Ukisoma hili jarida la high times (lipo mtandaoni) utaona kwamba kipindi cha bob jamaica kulikua na vyama viwili vya siasa vyenye nguvu sana JLP na PNP, PNP kilikua na sera za Ki socialist wakati JLP sera zao zilikua za ki capitalist ambazo bob alikua haziungi mkono kwakua zilikua zina nyonya na kukandamiza wanyonge (babylonian system), sera hizi ziliungwa mkono na CIA kwakua ziliwapa fulsa mbalimbali.

Aidhaa bob alikua anaandaa matamasha ya bure jamaica na kufafanua madhara ya sera hizo za ki capitalist kwa njia ya nyimbo. Wajamaica walimpenda na kumuamini sana bob, jambo lililo wakwamisha sana JLP

BOB alinusulika kuuawa (ambush in the night) siku chache kabla ya tamasha lake la bure la smile jamaica lililokua na udhamini wa PNP, hii ilitafsiriwa na JLP kama kukipa kick chama cha PNP.
Yaah ni kweli kabisa sikiliza na uelewe nymbo kama babylon system na we and them (we people and them Babylonians)
 
Back
Top Bottom