CIA walimuua Bob Marley?

CIA walimuua Bob Marley?

Hivi kuna uhusiano mkubwa kati ya CIA na Illuminant?
Maana kuna article inayoeleza kifo cha Michael Jackson kuhusishwa na Illuminant, huku ikitaja Bob Marley nae kuuwawa na Illuminant
 
Nimesoma jana hii kitu jamaa aliyehusika kusababisha kifo anasema kulikuwa na plan ya kuondoa wale waliokuwa wanafanya mambo ya kiharakati dunia nzima
 
alikuwa na impact gani hadi wazee wa kazi a.k.a wazee wa mission CIA wamuue?????? au bange zake tu zilimzidia.
Bangi zilimfanya awe smarter akaona vitu ambavyo mtumia wa bombe haioni ndio maana walimuua
 
Secret Society kitengo maalum ndani ya CIA,ndio walio muuwa Bob Marley,JFK,Abraham Lincoln
 
Nimeconect dots na confession ya jasusi la kia

lililoeleza namna lilivyomuua bob
 
Ukweli hautakiwi na mbuzi wachache wanaojifanya wana hatimiliki ya dunia hii. Kwa wale wapenzi wa movie na hata kama hupendi kufuatilia movies basi kwa hisani yangu nawaomba muitafute movie inayoitwa 666 AVENUE PARK. Hii ni series ambayo i mefunua mambo mengi sana yanayofanywa chini ya kapeti ya dunia hii. Tamthilia hii imepitia changamoto nyingi sana mfano mpaka sasa navyoandika hapa tamthilia hii ilishapigwa marufuku kurushwa kwenywe tv Chanel yoyote ile duniani itafuteni movie hiyo ingawa sio rahisi kuipata kwani madukani zilipotea ghafla na hakuna nyingine zilizozalishwa.ITAFUTE UONE DUNIA INAVYOENDESHWA sio mtu unamiliki nyumba saba na daladala tano ukadhani umemaliza jamani kuna PIMBI WENYEWE WANAMILIKI DUNIA NZIMA WANAIRATIBU KULINGANA NA AKILI ZAO ZINAVYOWAZA hata wewe usijidanganye kuwa akili yako unaimiliki wewe la hasha! Tulishapotezwa parefu, mimi sina kipaji cha uandishi hata hivyo nimejitahidi sana.
[HASHTAG]#the bold [/HASHTAG]
[HASHTAG]#mshana jr[/HASHTAG]
 
Latest victim wa CIA ni raisi wa Venezuela Hugo Chaves!
Na mpaka sasa Venezuela inamtuhumu marekani Kwa kuwapandikiza viongozi wake watano kirusi

Inasemekana kirusi hicho kilipandikizwa kupitia vijarida ambavyo hao viongozi walipewa kama zawadi na marekani Kwa nyakati tofauti

Nikakumbuka vijarida alivypewa mkulu magu na wageni kutoka marekani kama zawadi ilikuwa kitu kama mwezi wa 8
 
Wafuatao ni wahanga wa mauaji yaliyofanywa na CIA
Bob Marley
JF Kennedy
Ernesto che Guevara
Patrice Lumumba
Hugo Chavez

Ongezea unaowajua wengine...
Marcom X
Indira Gandhi
Martin Luther Jr
Samora machela
Muhammad Ghadaf
Joseph Stalin
Bluuth Lee

Wahanga ambao mpaka sasa wako hai lakni wamevurugwa kimwili ,kiakili mpaka kimtazamo

Dr Lunyalula Luis Shika KID

Valentine Salazar former president wa siera Leone ambaya sasa anafadhiliwa na mama yake mchoma vitumbua

Dani sassou nguesso
 
One thing that comforts me is the fact that Bob Marley accepted the Lord Jesus Christ as savior before he died.
 
Back
Top Bottom