Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,913
- 10,263
Ntuzu,Mimi ni mmoja wa mashabiki wa Jose but siku hizi ameanza kunidissapoint sana.Jose ni kocha ambae akienda kwenye timu msimu wa kwanza anachukua ubingwa huwa hana muda wa kujenga timu na anaweza kuwajenga players kisaikolojia wakapambana kwa ajili ya timu.Wachezaji wengi wanamsifia kwa hiloWakuu the magnificent RRONDO Piere. Fm Mr. Wise
Ebu Km mnataka muwe Fair basi hiyo Hali ya kutokumpenda Jose muiweke pembeni na tuseme ukweli!
Naona wengine mnazungumzia aina ya mpira ambao Jose anafundisha na wengine mnasema kwamba Jose hakua chaguo la Abramovic kitu ambacho si kweli!
Nafikiri kiasi mmeona chanzo cha Hazard na Jose kupishana ni Hazard mwenyewe!
Tuwe wakweli tusiongee tu kwa kua wengine hawampendi Jose!
Ebu Angelia Guadiola anavyochemka na yeye kwa Munich?
Angalia Yule Wa Fc Barcelona?
D Moyes? Wenger?
Kuna mambo mengi unaweza ukaona kwa Hawa wote
Tatizo lake kubwa ni kupenda kuwafurahisha watu wa media bila kuangalia impact yake kwenye timu alivyoenda Madrid aligombana na wengi kuanzia Valdano,Zizou,Pepe,Ramos,Ozil na wengineo hii ikasababisha timu ikawa inachemsha.Msimu wake wa mwisho Madrid alisema ndio msimu mbaya tangu aanze kufundisha naona msimu huu amechemsha sana
Msimu huu tena anaanza kuivuruga timu kupitia kwenye media hizi issue angekaa kimya akawaadhibu wachezaji kimya kimya.Last season Benitez alipewa timu mashabiki walimzomea kuanzia mwanzo hadi anaondoka but alipata mafanikio kuliko Jose msimu huu licha ya kufanya kazi kwenye mazingira magumu,kumbuka Jose kawanunua Etoo,Salah,Matic,Willian,Schurle pia alikuwa na Mata na Lukaku.Ngoja tuone msimu ujao atakuja vipi
Jose sio wa kumlinganisha kabisa na Moyes,Wenger au Martimo
Last edited by a moderator: