RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 59,476
- 135,274
Mkuu kutakua na shida kidogo Kati ya Hazard na Jose na Hii inatokana na makosa aliyofanya Hazard ktk machine ya ATM! Na pia nahisi Hazard anataka kuondoka Chelsea Ndio maana anaamua kua ktk Hali ya kupishana na Manager wake!
Kwa mfano Baada ya game ya Chelsea na Man City ambayo Chelsea alishinda, Hazard alikaliliwa na akisema kua analizika na kucheza ktk mazingira hayo ya kukaba na kushambulia! Kwahiyo haya yanayotokea ni kwamba Hazard anajitetea kutokana na makosa au anataka kuondoka. Na Jose yeye anajibu kile Hazard anachosema!
Nafikiri tusubiri tuone nini kitatokea!
situation hizi zinataka 'man management skills' na si ubabe. vipi jirani mpangaji mwenzio agosti 8 yupo?? sijamuona kabisa siku mbili hizi hapa mtaani.
Last edited by a moderator: