Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Humu game inacheza umebaki wewe tu umekuwa Kama Nzi ndomana Nzi nampa heshima yake na yeye anabaki sababu ni Charles hilal wa rumu anatangaza mpira.



Mkuu Pazi mi nipo Mkuu kila Siku kila Mwaka! Tunyeshwe mvua au lah!
 
Last edited by a moderator:
teh teh teh teh teh mzee wa kupaki bus leo naona hajapania game imekuwa ngumu....dk79 0-0 Ntuzu siangalii game nafuatilia online tu vipi game imekaaje??
 
Last edited by a moderator:
Matokeo yenu huwa yanajulikana msipo paki basi......wel done norwich.
 
MOU timu imemshinda kabisa, kuna matatizo mengi mwenye timu baadhi ni haya
1. Hana first 11 ya uhakika, ni mwendo wa kubahatisha tu
2. Kutokana na saikolojia yake ya defensive, wachezaji wanakuwa wagumu sana ku switch kwenye open game
3. Anapania sana game kubwa na mechi ndogo anashindwa kuwaandaa wachezaji kisaikolojia
4. Attacking midfield wanajibadilisha na kuwa mastrikers, hazards, oscer, ramires, schulle, williams wote wakipata mipira wanafikiria kufunga badala ya kuwatengenezea mipira B, Torres na etoo, mara nyungine unaona kabisa striker kafungua lakini mtoa pass ya mwisho anatafuta mwanya wa kufunga mwenyewe

Chelsea wanatuangusha sana, mechi tunazopoteza ni zanuzembe kabisa
 
Hapa ndipo Ntuzu unanifurahisha ndomana nikakwambia sie Kule utatuona siku ya game ila nyie game imechezwa mmekimbia humu kimyaaaaaaa wenzako wamelala Humu waliojaa sio Chelsea so mnasubiri nini nyie sindio mnajua kujadili mnasubiri Morinho aongee ndio na nyie muige alivyosema haya kashaongea njooeni Kama manager wenu anavyosema "Live by the Bus you Die By The Bus". Kuwa muongeaji wa wenzako basi.
 
article-2619870-1D92916B00000578-187_964x386.jpg



Wazee wa unga na kubebwa khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Hongereni wakuu kwa
ku-park double deckers .. . ...
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Hapa ndipo Ntuzu unanifurahisha ndomana nikakwambia sie Kule utatuona siku ya game ila nyie game imechezwa mmekimbia humu kimyaaaaaaa wenzako wamelala Humu waliojaa sio Chelsea so mnasubiri nini nyie sindio mnajua kujadili mnasubiri Morinho aongee ndio na nyie muige alivyosema haya kashaongea njooeni Kama manager wenu anavyosema "Live by the Bus you Die By The Bus". Kuwa muongeaji wa wenzako basi.


Mkuu mi tangu tumefungwa Na ATM Na kutolewa ktk cl sifatilii kabisa mpira! Na pia nasubiri nione yeyote Yule atakaechukua kombe! Iwe liver au city!

Ndoo Maana unaona nipo tu wakuu!

Nasubiri msimu wetu ujao Huu umeshatupita!
 
Mkuu mi tangu tumefungwa Na ATM Na kutolewa ktk cl sifatilii kabisa mpira! Na pia nasubiri nione yeyote Yule atakaechukua kombe! Iwe liver au city!

Ndoo Maana unaona nipo tu wakuu!

Nasubiri msimu wetu ujao Huu umeshatupita!

naona mtani umekuwa mdogo kama punje ya mtama....maneno haya na yale uliyokuwa unahubiri wiki chache zilizopita ni tofauti kabisa!!! wewe ulishajitangazia ubingwa wa EPL LEO HII UNAKULA MANENO YAKO....
 
Mkuu mi tangu tumefungwa Na ATM Na kutolewa ktk cl sifatilii kabisa mpira! Na pia nasubiri nione yeyote Yule atakaechukua kombe! Iwe liver au city!

Ndoo Maana unaona nipo tu wakuu!

Nasubiri msimu wetu ujao Huu umeshatupita!
hao wengine wachana nao njooeni ujadili Norwich na Chelsea naona imechukuwa muda kuja au ndio tumbo la Kuhara Kama mwenzako agosti 8 ? Njooeni mjadili na wenzako nyie kuongelea wengine tu ongeeni hii game basi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom