Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,507
- 14,804
WAGAWA UTAMU FC
Hata Uingeleza kuna mashabiki vichaa sema vyombo haviwapi airtime.Angalia tone anayotumia jamaa kuongea, simple sana ila ingekuwa mashabiki wa simba na Yanga matusi, dharau na kejeli ndo yangejaa hapo
View attachment 3572379
We huoni kama wanajituma kuelekea nafasi ya 17Kocha anasema wachezaji hawajitumi.
Chalobah aka Kiroba anasema wachezaji tunajituma.
Kwani nyinyi mmepata Nini msimu huuWakuu hapa tummies jukwaa la arsenal tuu tuahakikishe wanamaliza msimu bila kikombe
Sa mbona nyinyi mnashadadia timu yangu kukosa taji 😅Unashadidia Mambo ya Chelsea wakati team yako huko inamaliza msimu bila taji
Maresca hakufukuzwa, Maresca aliondoka mwenyewe baada ya kuona Wamiliki na SDs hawamuungi mkono.Rosemary shwaaaaaaaaaah
Hawa wapuuzi wa USA walifanya makosa kumfukuza Tuchel, wakarudia kosa kumfukuza Maressa.
Ngoja tuone watatuletea janga gani lingine
Baada ya Rosenior kufukuzwa ilifaa na hawa SD nawenyewe waondoke, Hawa ndio cancer wa hii team kwa sasa. Hawawez muappoint kocha bora bali watatafuta watakaeweza mtawala.
Fukuza Winstanley Fukuza Lawrance
Ushawah ona club yeyote inayojielewa i inafukuza kocha na haina plan?Mimi siungi mkono hadi kesho.
Hawa SDs wanafuata tu script waliyopewa na wale Wamarekani. Kansa ya Chelsea iko kwa hao owners.
Kwa taarifa nilizonazo, ni watu wanaodhibiti kila kitu—kuanzia maamuzi ya juu, usimamizi wa timu, hadi sera za uendeshaji. Ukipishana tu na wanachotaka, unafukuzwa. Na anayeongoza mfumo huo ni Behdad Eghbali, ambaye ni mkali sana kwenye kufuata policies za project. Hata hivyo, kina Todd Boehly nao wako kwenye mtiririko huo huo.
Kwa hiyo kuwalaumu SDs, ambao ni waajiriwa tu wanaotekeleza maagizo, ni uonevu mkubwa. Tatizo haliko kwao; tatizo liko kwa wale wanaowaajiri na kuwaelekeza jinsi ya kufanya kazi.
Yote hayo wamailiki ndio wanafanya kwa nin i unakwepa ukweli. Wamiliki wanataka kuajiri mapapet. Luis Enrique alikataliwa na Wamiliki kwa sababu ya misimamamo waliyoona kwake. SD s ni mapapet hawana sauti nduguUshawah ona club yeyote inayojielewa i inafukuza kocha na haina plan?
Yani kocha aliyeshindwa Hull City na Derby na kule Strasbourg anajitafuta uje umpe nafasi ya kuiongoza Chelsea?
Unainvest zaidi ya 2BN kwenye usajili na team yako bado iko hovyo hawa SD ni cancer ni tatizo ambalo wamiliki hawataki kulitatua
Unaappoint makocha 4 ambao wote ni miss
Enrique alikuwa yuko tayar kuichukua hii team ila mkamfanya awaandalie ppt kama mtahiniwa wa Utumishi,Inshort tatizo kubwa ni SD.
Sisi hatushadadii kwasababu ni Kawaida yenu kukosa taji unashadidia Nini ikiwa matokeo unayajuaSa mbona nyinyi mnashadadia timu yangu kukosa taji 😅