Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

20260422_192527.jpg
 
Nyie kenge maji wazenge.... Rosemary alitakiwa apewe life time contract.....

Sasa mmemfukuza alafu iweje ? ??

Kibanda cha jirani kikiungua alafu alikuwa mshindani kwako kibiashara unachekelea huku ukimpa Pole ya kinafki......
 
Rosemary shwaaaaaaaaaah

Hawa wapuuzi wa USA walifanya makosa kumfukuza Tuchel, wakarudia kosa kumfukuza Maressa.

Ngoja tuone watatuletea janga gani lingine
Maresca hakufukuzwa, Maresca aliondoka mwenyewe baada ya kuona Wamiliki na SDs hawamuungi mkono.
Maresca alitaka CB mmoja tu mbadala wa Colwill, January wakamletea Mamadou Sarr ndipo Maresca akaamua kutimka
 
Baada ya Rosenior kufukuzwa ilifaa na hawa SD nawenyewe waondoke, Hawa ndio cancer wa hii team kwa sasa. Hawawez muappoint kocha bora bali watatafuta watakaeweza mtawala.
Fukuza Winstanley Fukuza Lawrance
 
Baada ya Rosenior kufukuzwa ilifaa na hawa SD nawenyewe waondoke, Hawa ndio cancer wa hii team kwa sasa. Hawawez muappoint kocha bora bali watatafuta watakaeweza mtawala.
Fukuza Winstanley Fukuza Lawrance

Mimi siungi mkono hadi kesho.
Hawa SDs wanafuata tu script waliyopewa na wale Wamarekani. Kansa ya Chelsea iko kwa hao owners.
Kwa taarifa nilizonazo, ni watu wanaodhibiti kila kitu—kuanzia maamuzi ya juu, usimamizi wa timu, hadi sera za uendeshaji. Ukipishana tu na wanachotaka, unafukuzwa. Na anayeongoza mfumo huo ni Behdad Eghbali, ambaye ni mkali sana kwenye kufuata policies za project. Hata hivyo, kina Todd Boehly nao wako kwenye mtiririko huo huo.

Kwa hiyo kuwalaumu SDs, ambao ni waajiriwa tu wanaotekeleza maagizo, ni uonevu mkubwa. Tatizo haliko kwao; tatizo liko kwa wale wanaowaajiri na kuwaelekeza jinsi ya kufanya kazi.
 
Mimi siungi mkono hadi kesho.
Hawa SDs wanafuata tu script waliyopewa na wale Wamarekani. Kansa ya Chelsea iko kwa hao owners.
Kwa taarifa nilizonazo, ni watu wanaodhibiti kila kitu—kuanzia maamuzi ya juu, usimamizi wa timu, hadi sera za uendeshaji. Ukipishana tu na wanachotaka, unafukuzwa. Na anayeongoza mfumo huo ni Behdad Eghbali, ambaye ni mkali sana kwenye kufuata policies za project. Hata hivyo, kina Todd Boehly nao wako kwenye mtiririko huo huo.

Kwa hiyo kuwalaumu SDs, ambao ni waajiriwa tu wanaotekeleza maagizo, ni uonevu mkubwa. Tatizo haliko kwao; tatizo liko kwa wale wanaowaajiri na kuwaelekeza jinsi ya kufanya kazi.
Ushawah ona club yeyote inayojielewa i inafukuza kocha na haina plan?

Yani kocha aliyeshindwa Hull City na Derby na kule Strasbourg anajitafuta uje umpe nafasi ya kuiongoza Chelsea?

Unainvest zaidi ya 2BN kwenye usajili na team yako bado iko hovyo hawa SD ni cancer ni tatizo ambalo wamiliki hawataki kulitatua

Unaappoint makocha 4 ambao wote ni miss

Enrique alikuwa yuko tayar kuichukua hii team ila mkamfanya awaandalie ppt kama mtahiniwa wa Utumishi,Inshort tatizo kubwa ni SD.
 
Ushawah ona club yeyote inayojielewa i inafukuza kocha na haina plan?

Yani kocha aliyeshindwa Hull City na Derby na kule Strasbourg anajitafuta uje umpe nafasi ya kuiongoza Chelsea?

Unainvest zaidi ya 2BN kwenye usajili na team yako bado iko hovyo hawa SD ni cancer ni tatizo ambalo wamiliki hawataki kulitatua

Unaappoint makocha 4 ambao wote ni miss

Enrique alikuwa yuko tayar kuichukua hii team ila mkamfanya awaandalie ppt kama mtahiniwa wa Utumishi,Inshort tatizo kubwa ni SD.
Yote hayo wamailiki ndio wanafanya kwa nin i unakwepa ukweli. Wamiliki wanataka kuajiri mapapet. Luis Enrique alikataliwa na Wamiliki kwa sababu ya misimamamo waliyoona kwake. SD s ni mapapet hawana sauti ndugu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom