Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mnahitaji kocha mzuri awaokoe.
Mlikosea kumfukuza Maresca
Pia timu inabidi muwe mnasajili Kwa pendekezo la kocha sio wamiliki Wala kibiashara.

Man united anguko lake lilichangiwa na sajili za wamiliki kusajili kibiashara na pia walishindwa kuwa active na kuwa na project.
MUWE MAKINI
 
Hii haina comeback 🤣🤣🤣
Screenshot_20260422-102026.jpg
 
Kajamaa Rosemary katapeli, sasa hivi kanaona maji yamezidi unga, game 5 mfululizo hamjafunga goli.... kanakuja na kauli wachezaji hawajitumi... tena mbele ya camera .... safi sana majirani tunafurahia anguko lenu
 
Kajamaa Rosemary katapeli, sasa hivi kanaona maji yamezidi unga, game 5 mfululizo hamjafunga goli.... kanakuja na kauli wachezaji hawajitumi... tena mbele ya camera .... safi sana majirani tunafurahia anguko lenu
Wazee wa Netflix mnachekesha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom