Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Yani nyie magoigoi mumfunge city?View attachment 3571566
Ngoja na wao wakandwe ili mzee wetu anywe maji vzr 😂

FB_IMG_1776013535092.jpg
 
Habari njema

Hato atakuja kuwa beki bora sana
Viongozi wamekaa na wamekubali kuendelea kukaa na wachezaji wazoefu kupanga msimu ujao (Enzo na Cucurella walitingisha kiberiti na imelipa)
Msimu ujao wamiliki wamekubali kusajili wachezaji watakao leta impact ya moja kwa moja
 
Habari njema

Hato atakuja kuwa beki bora sana
Viongozi wamekaa na wamekubali kuendelea kukaa na wachezaji wazoefu kupanga msimu ujao (Enzo na Cucurella walitingisha kiberiti na imelipa)
Msimu ujao wamiliki wamekubali kusajili wachezaji watakao leta impact ya moja kwa moja
Baada ya kuharibu team yetu ndio akili zimewakaa sawa Cucurella na Enzo sikuwapinga kabisa nilitaka hiki kifanyike na wale hawakuwa na dhamira ya kweli ila walitaka kuwalazimisha wamiliki wafanye hivyo maana kelele za mashabiki haikusaidia
 
Je hii inatupa picha gani?
Rekodi chini ya Rosenior
Nafasi za Premier League kabla ya wikiendi
• Magoli: 19 — Nafasi ya 3
• Nafasi kubwa walizotengeneza: 37 — Nafasi ya 1
• Nafasi kubwa walizokosa: 22 — Nafasi ya 20
• Expected Goals (xG): 22.04 — Nafasi ya 1
• Tofauti ya Expected Goals: +9.84 — Nafasi ya 1
• Umiliki wa mpira: 62% — Nafasi ya 2
• Usahihi wa pasi: 89.6% — Nafasi ya 1 (sawa na timu nyingine)
1776110661258.png
 
Angalia tone anayotumia jamaa kuongea, simple sana ila ingekuwa mashabiki wa simba na Yanga matusi, dharau na kejeli ndo yangejaa hapo

 
Habari njema

Hato atakuja kuwa beki bora sana
Viongozi wamekaa na wamekubali kuendelea kukaa na wachezaji wazoefu kupanga msimu ujao (Enzo na Cucurella walitingisha kiberiti na imelipa)
Msimu ujao wamiliki wamekubali kusajili wachezaji watakao leta impact ya moja kwa moja
Unachekesha ndugu.... sio kwa hawa wamiliki wenu vichwa vimeoza , wawaletee proven players.... bado mtaendelea kujiokotea vitoto vya umitashumta !!!!!!
Hivi wonder kid wetu Estevao maendeleo yake yakoje hapo darajani ? Tuliaminishwa ni Next Neymar Jr
 
Unachekesha ndugu.... sio kwa hawa wamiliki wenu vichwa vimeoza , wawaletee proven players.... bado mtaendelea kujiokotea vitoto vya umitashumta !!!!!!
Hivi wonder kid wetu Estevao maendeleo yake yakoje hapo darajani ? Tuliaminishwa ni Next Neymar Jr
Wako adicted na vitoto
Ngoja tuone kama safari hii watatuchanganyia angalau akina Morgan Rogers, Murillo, Jan Paul van Hecke, Angelo Stiller
 
🚨 Cole Palmer: “Reece James won’t sign a six-year contract if he’s not spoken to the owners and the directors. Me and Reece spoke a lot”.

“About things we need, players we need to sign and how things need to be...”


jikon kunawaka moto, aliongea Enzo, cucu, now Palmer........

Hii timu ni takataka, owners na SDs ovyo kabisa hawajui ambition zao
 
Kocha anaitwa Rosemary unategemea nini ?

Caicedo kichaa, hana football IQ
Enzo sijui kama kapiga nyetto
Garnacho aliyemsajili apigwe Risasi ya mat**ko
Hato ni beki ?
Neto wa wolves na wa blues ni watu wawili tofauti
Mnatia huruma

Mpigwe tu madunduka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom