Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nyie kenge maji wazenge.... Rosemary alitakiwa apewe life time contract.....

Sasa mmemfukuza alafu iweje ? ??

Kibanda cha jirani kikiungua alafu alikuwa mshindani kwako kibiashara unachekelea huku ukimpa Pole ya kinafki......
 
Rosemary shwaaaaaaaaaah

Hawa wapuuzi wa USA walifanya makosa kumfukuza Tuchel, wakarudia kosa kumfukuza Maressa.

Ngoja tuone watatuletea janga gani lingine
Maresca hakufukuzwa, Maresca aliondoka mwenyewe baada ya kuona Wamiliki na SDs hawamuungi mkono.
Maresca alitaka CB mmoja tu mbadala wa Colwill, January wakamletea Mamadou Sarr ndipo Maresca akaamua kutimka
 
Baada ya Rosenior kufukuzwa ilifaa na hawa SD nawenyewe waondoke, Hawa ndio cancer wa hii team kwa sasa. Hawawez muappoint kocha bora bali watatafuta watakaeweza mtawala.
Fukuza Winstanley Fukuza Lawrance
 
Baada ya Rosenior kufukuzwa ilifaa na hawa SD nawenyewe waondoke, Hawa ndio cancer wa hii team kwa sasa. Hawawez muappoint kocha bora bali watatafuta watakaeweza mtawala.
Fukuza Winstanley Fukuza Lawrance

Mimi siungi mkono hadi kesho.
Hawa SDs wanafuata tu script waliyopewa na wale Wamarekani. Kansa ya Chelsea iko kwa hao owners.
Kwa taarifa nilizonazo, ni watu wanaodhibiti kila kitu—kuanzia maamuzi ya juu, usimamizi wa timu, hadi sera za uendeshaji. Ukipishana tu na wanachotaka, unafukuzwa. Na anayeongoza mfumo huo ni Behdad Eghbali, ambaye ni mkali sana kwenye kufuata policies za project. Hata hivyo, kina Todd Boehly nao wako kwenye mtiririko huo huo.

Kwa hiyo kuwalaumu SDs, ambao ni waajiriwa tu wanaotekeleza maagizo, ni uonevu mkubwa. Tatizo haliko kwao; tatizo liko kwa wale wanaowaajiri na kuwaelekeza jinsi ya kufanya kazi.
 
Mimi siungi mkono hadi kesho.
Hawa SDs wanafuata tu script waliyopewa na wale Wamarekani. Kansa ya Chelsea iko kwa hao owners.
Kwa taarifa nilizonazo, ni watu wanaodhibiti kila kitu—kuanzia maamuzi ya juu, usimamizi wa timu, hadi sera za uendeshaji. Ukipishana tu na wanachotaka, unafukuzwa. Na anayeongoza mfumo huo ni Behdad Eghbali, ambaye ni mkali sana kwenye kufuata policies za project. Hata hivyo, kina Todd Boehly nao wako kwenye mtiririko huo huo.

Kwa hiyo kuwalaumu SDs, ambao ni waajiriwa tu wanaotekeleza maagizo, ni uonevu mkubwa. Tatizo haliko kwao; tatizo liko kwa wale wanaowaajiri na kuwaelekeza jinsi ya kufanya kazi.
Ushawah ona club yeyote inayojielewa i inafukuza kocha na haina plan?

Yani kocha aliyeshindwa Hull City na Derby na kule Strasbourg anajitafuta uje umpe nafasi ya kuiongoza Chelsea?

Unainvest zaidi ya 2BN kwenye usajili na team yako bado iko hovyo hawa SD ni cancer ni tatizo ambalo wamiliki hawataki kulitatua

Unaappoint makocha 4 ambao wote ni miss

Enrique alikuwa yuko tayar kuichukua hii team ila mkamfanya awaandalie ppt kama mtahiniwa wa Utumishi,Inshort tatizo kubwa ni SD.
 
Ushawah ona club yeyote inayojielewa i inafukuza kocha na haina plan?

Yani kocha aliyeshindwa Hull City na Derby na kule Strasbourg anajitafuta uje umpe nafasi ya kuiongoza Chelsea?

Unainvest zaidi ya 2BN kwenye usajili na team yako bado iko hovyo hawa SD ni cancer ni tatizo ambalo wamiliki hawataki kulitatua

Unaappoint makocha 4 ambao wote ni miss

Enrique alikuwa yuko tayar kuichukua hii team ila mkamfanya awaandalie ppt kama mtahiniwa wa Utumishi,Inshort tatizo kubwa ni SD.
Yote hayo wamailiki ndio wanafanya kwa nin i unakwepa ukweli. Wamiliki wanataka kuajiri mapapet. Luis Enrique alikataliwa na Wamiliki kwa sababu ya misimamamo waliyoona kwake. SD s ni mapapet hawana sauti ndugu
 
Rosemary shwaaaaaaaaaah

Hawa wapuuzi wa USA walifanya makosa kumfukuza Tuchel, wakarudia kosa kumfukuza Maressa.

Ngoja tuone watatuletea janga gani lingine
Kwa Tuchel walikuwa sawa ila kwa pochettino hawakuwa sawa team ilishaonesha mwanga kwa mechi za mwisho japo alikuwa na resources chache
 
shida ya hii timu ni huko juu bana tu kubwa wanatuokotea makocha wadogo ambao hawana misimamo makocha wanaotafuta CV sisi leo tunatoka kumiliki makocha wakubwa tunaishia kwa kina rose mary kweli? utashangaa kocha atakaekuja nae ni hivi hivi hii timu shida ni misimamo ya hao wamarekani hii kitu wanayojaribu haiwezi kuwalipa kamwe sisi tunataka mataji wao wanawaza faida.
 
shida ya hii timu ni huko juu bana tu kubwa wanatuokotea makocha wadogo ambao hawana misimamo makocha wanaotafuta CV sisi leo tunatoka kumiliki makocha wakubwa tunaishia kwa kina rose mary kweli? utashangaa kocha atakaekuja nae ni hivi hivi hii timu shida ni misimamo ya hao wamarekani hii kitu wanayojaribu haiwezi kuwalipa kamwe sisi tunataka mataji wao wanawaza faida.
Yaani waajiriwa wote walio chini ya Behdad Eghbali ni mapapet, wale wa ndiyo bosi. Tukiwalaumu SDs na Makocha ni kazi bure. Kansa inayokula Chelsea iko kwa Behdad Eghbali
 
Andoni Iraola kufanya vizuri Bournemouth haimaanishi kwamba anafaa kwenye mradi wa Chelsea. Kiuhalisia, yeye ni Liam Rosenior toleo la 2.0; kocha anayejenga mfumo wake juu ya mbio nyingi na matumizi makubwa ya nguvu za wachezaji. Huo si mfumo unaolingana na kikosi cha Chelsea, na ungeongeza tu idadi ya majeraha ambayo tayari yametutesa kwa misimu kadhaa.

Wamiliki wa Chelsea bado hawajifunzi. Kila mara wanachukua makocha ambao falsafa zao hazilingani na aina ya wachezaji tulionao, halafu wanashangaa mambo yanapoharibika ghafla.

Kinachohitajika sasa ni kocha wa kiwango cha juu mwenye sifa kama za Maresca — mtu anayejenga mfumo tulivu, nidhamu uwanjani, na udhibiti wa majeruhi. Chini ya Maresca, kikosi kilipata balance, na hata wachezaji wetu wanaopata majeraha mara kwa mara waliweza kudhibitiwa vizuri kwa sababu mfumo wake ulihitaji akili na nidhamu zaidi kuliko kukimbia ovyo.

Kama wamiliki wanataka mafanikio ya muda mrefu, lazima waache kusaka “project coach” wa kusisimua na badala yake wamuajiri meneja anayolingana na wachezaji tulionao na si upumbavu wanaojaribu kulazimisha kila wakiajiri kocha.

1776926669198.png
 
Andoni Iraola kufanya vizuri Bournemouth haimaanishi kwamba anafaa kwenye mradi wa Chelsea. Kiuhalisia, yeye ni Liam Rosenior toleo la 2.0; kocha anayejenga mfumo wake juu ya mbio nyingi na matumizi makubwa ya nguvu za wachezaji. Huo si mfumo unaolingana na kikosi cha Chelsea, na ungeongeza tu idadi ya majeraha ambayo tayari yametutesa kwa misimu kadhaa.

Wamiliki wa Chelsea bado hawajifunzi. Kila mara wanachukua makocha ambao falsafa zao hazilingani na aina ya wachezaji tulionao, halafu wanashangaa mambo yanapoharibika ghafla.

Kinachohitajika sasa ni kocha wa kiwango cha juu mwenye sifa kama za Maresca — mtu anayejenga mfumo tulivu, nidhamu uwanjani, na udhibiti wa majeruhi. Chini ya Maresca, kikosi kilipata balance, na hata wachezaji wetu wanaopata majeraha mara kwa mara waliweza kudhibitiwa vizuri kwa sababu mfumo wake ulihitaji akili na nidhamu zaidi kuliko kukimbia ovyo.

Kama wamiliki wanataka mafanikio ya muda mrefu, lazima waache kusaka “project coach” wa kusisimua na badala yake wamuajiri meneja anayolingana na wachezaji tulionao na si upumbavu wanaojaribu kulazimisha kila wakiajiri kocha.

View attachment 3577713
Makocha wanaofaa kikosi cha Chelsea na wanaolingana na identity ya positional football ambayo Enzo Maresca aliitekeleza kabla ya kuondoka ni hawa:
  1. Xabi Alonso - Free Agent
  2. Cesc Fàbregas - Como
  3. Julian Nagelsmann - German National Team
  4. Miguel Ángel Sánchez Muñoz “Míchel” - Girona - Free Agent in the summer
  5. Thiago Motta - Free Agent
  6. Kieran McKenna - Ipswich Town
Hawa wote wana falsafa inayotegemea mpangilio wa nafasi, utulivu wa build‑up, numerical superiority, na control ya mchezo — vitu ambavyo vinaendana moja kwa moja na aina ya wachezaji Chelsea walionao sasa.

Mimi nashauri zaidi Alonso, ningempendekeza Fabregas lakini yeye ameshakataa kusitisha mkataba wake na Como
 
Kwa bahati mbaya Chelsea akabeba FA Cup na Arsenal akamaliza ligi nafasi ya pili bila kombe, je ni timu ipi imekuwa na msimu mzuri?
 
Kwa Tuchel walikuwa sawa ila kwa pochettino hawakuwa sawa team ilishaonesha mwanga kwa mechi za mwisho japo alikuwa na resources chache
Pochetino yupi, Wachezaj wengi walikuwa wako wodini, kisa mazoez yake,Poch hakufaa kuendelea.

Tuchel alipaswa kupewa mda na wachezaj na sikumletea player wasiojiewa
 
Kwa bahati mbaya Chelsea akabeba FA Cup na Arsenal akamaliza ligi nafasi ya pili bila kombe, je ni timu ipi imekuwa na msimu mzuri?
Haya makombe ndio yanayofanya wale vilaza waone wanateam ila kiuhalisia msim tupige kapa na tukose nafas ya uefa o ueropa league.

Huwez twaa cwc halaf badala ya kuimprove ulichonacho unarudi tena nyuma
Garnacho,Gitten sijui Delap yani tumepoteza zaidi ya 150M kwa wachezaj ambao ni average

Huku unamtoa Jackson kwa Delap

Kocha anaomba cb unanwambia aendelee na hao hao waliopo wakina Tosin
Kwa yeyote yanayoendelea tunastahili
 
Yote hayo wamailiki ndio wanafanya kwa nin i unakwepa ukweli. Wamiliki wanataka kuajiri mapapet. Luis Enrique alikataliwa na Wamiliki kwa sababu ya misimamamo waliyoona kwake. SD s ni mapapet hawana sauti ndugu
Sajili wanafanya maboss au SD????

We team yako inashida na beki wewe unaenda kununua Garnacho na Gitten
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom