Makocha wanaofaa kikosi cha Chelsea na wanaolingana na identity ya
positional football ambayo Enzo Maresca aliitekeleza kabla ya kuondoka ni hawa:
- Xabi Alonso - Free Agent
- Cesc Fàbregas - Como
- Julian Nagelsmann - German National Team
- Miguel Ángel Sánchez Muñoz “Míchel” - Girona - Free Agent in the summer
- Thiago Motta - Free Agent
- Kieran McKenna - Ipswich Town
Hawa wote wana falsafa inayotegemea mpangilio wa nafasi, utulivu wa build‑up, numerical superiority, na control ya mchezo — vitu ambavyo vinaendana moja kwa moja na aina ya wachezaji Chelsea walionao sasa.
Mimi nashauri zaidi Alonso, ningempendekeza Fabregas lakini yeye ameshakataa kusitisha mkataba wake na Como