Sisi hatushadadii kwasababu ni Kawaida yenu kukosa taji unashadidia Nini ikiwa matokeo unayajuaSa mbona nyinyi mnashadadia timu yangu kukosa taji 😅
Sisi hatushadadii kwasababu ni Kawaida yenu kukosa taji unashadidia Nini ikiwa matokeo unayajuaSa mbona nyinyi mnashadadia timu yangu kukosa taji 😅
Kwa Tuchel walikuwa sawa ila kwa pochettino hawakuwa sawa team ilishaonesha mwanga kwa mechi za mwisho japo alikuwa na resources chacheRosemary shwaaaaaaaaaah
Hawa wapuuzi wa USA walifanya makosa kumfukuza Tuchel, wakarudia kosa kumfukuza Maressa.
Ngoja tuone watatuletea janga gani lingine
Yaani waajiriwa wote walio chini ya Behdad Eghbali ni mapapet, wale wa ndiyo bosi. Tukiwalaumu SDs na Makocha ni kazi bure. Kansa inayokula Chelsea iko kwa Behdad Eghbalishida ya hii timu ni huko juu bana tu kubwa wanatuokotea makocha wadogo ambao hawana misimamo makocha wanaotafuta CV sisi leo tunatoka kumiliki makocha wakubwa tunaishia kwa kina rose mary kweli? utashangaa kocha atakaekuja nae ni hivi hivi hii timu shida ni misimamo ya hao wamarekani hii kitu wanayojaribu haiwezi kuwalipa kamwe sisi tunataka mataji wao wanawaza faida.
Makocha wanaofaa kikosi cha Chelsea na wanaolingana na identity ya positional football ambayo Enzo Maresca aliitekeleza kabla ya kuondoka ni hawa:Andoni Iraola kufanya vizuri Bournemouth haimaanishi kwamba anafaa kwenye mradi wa Chelsea. Kiuhalisia, yeye ni Liam Rosenior toleo la 2.0; kocha anayejenga mfumo wake juu ya mbio nyingi na matumizi makubwa ya nguvu za wachezaji. Huo si mfumo unaolingana na kikosi cha Chelsea, na ungeongeza tu idadi ya majeraha ambayo tayari yametutesa kwa misimu kadhaa.
Wamiliki wa Chelsea bado hawajifunzi. Kila mara wanachukua makocha ambao falsafa zao hazilingani na aina ya wachezaji tulionao, halafu wanashangaa mambo yanapoharibika ghafla.
Kinachohitajika sasa ni kocha wa kiwango cha juu mwenye sifa kama za Maresca — mtu anayejenga mfumo tulivu, nidhamu uwanjani, na udhibiti wa majeruhi. Chini ya Maresca, kikosi kilipata balance, na hata wachezaji wetu wanaopata majeraha mara kwa mara waliweza kudhibitiwa vizuri kwa sababu mfumo wake ulihitaji akili na nidhamu zaidi kuliko kukimbia ovyo.
Kama wamiliki wanataka mafanikio ya muda mrefu, lazima waache kusaka “project coach” wa kusisimua na badala yake wamuajiri meneja anayolingana na wachezaji tulionao na si upumbavu wanaojaribu kulazimisha kila wakiajiri kocha.
View attachment 3577713
Pochetino yupi, Wachezaj wengi walikuwa wako wodini, kisa mazoez yake,Poch hakufaa kuendelea.Kwa Tuchel walikuwa sawa ila kwa pochettino hawakuwa sawa team ilishaonesha mwanga kwa mechi za mwisho japo alikuwa na resources chache
Haya makombe ndio yanayofanya wale vilaza waone wanateam ila kiuhalisia msim tupige kapa na tukose nafas ya uefa o ueropa league.Kwa bahati mbaya Chelsea akabeba FA Cup na Arsenal akamaliza ligi nafasi ya pili bila kombe, je ni timu ipi imekuwa na msimu mzuri?
Sajili wanafanya maboss au SD????Yote hayo wamailiki ndio wanafanya kwa nin i unakwepa ukweli. Wamiliki wanataka kuajiri mapapet. Luis Enrique alikataliwa na Wamiliki kwa sababu ya misimamamo waliyoona kwake. SD s ni mapapet hawana sauti ndugu
Kama bado hatujajifunza tutaendelea kulalamika.Makocha wanaofaa kikosi cha Chelsea na wanaolingana na identity ya positional football ambayo Enzo Maresca aliitekeleza kabla ya kuondoka ni hawa:
Hawa wote wana falsafa inayotegemea mpangilio wa nafasi, utulivu wa build‑up, numerical superiority, na control ya mchezo — vitu ambavyo vinaendana moja kwa moja na aina ya wachezaji Chelsea walionao sasa.
- Xabi Alonso - Free Agent
- Cesc Fàbregas - Como
- Julian Nagelsmann - German National Team
- Miguel Ángel Sánchez Muñoz “Míchel” - Girona - Free Agent in the summer
- Thiago Motta - Free Agent
- Kieran McKenna - Ipswich Town
Mimi nashauri zaidi Alonso, ningempendekeza Fabregas lakini yeye ameshakataa kusitisha mkataba wake na Como
SDs ni mbwa wa kutumwa tu hakuna kitu wanafanya bila kupitishwa na wamiliki. Wale Wanaitwa, Controlling owners, hasa Begdad Eghbali, anapenda sana vitoto huyo.Sajili wanafanya maboss au SD????
We team yako inashida na beki wewe unaenda kununua Garnacho na Gitten
Maresca amendoka hata kabla ya Sarr hawajamrudisha ameondoka Jan mwnzoni.Maresca hakufukuzwa, Maresca aliondoka mwenyewe baada ya kuona Wamiliki na SDs hawamuungi mkono.
Maresca alitaka CB mmoja tu mbadala wa Colwill, January wakamletea Mamadou Sarr ndipo Maresca akaamua kutimka
Kumbuka Maresca alipewa Mamadou Sarr tangu CWC kama mbadala wa Colwill akakataa kumtumia ndio akapelekwa mkopo Strasbourg na Marseca alijua atarudishwa January ndipo akaamua kutimua mbio.Maresca amendoka hata kabla ya Sarr hawajamrudisha ameondoka Jan mwnzoni.
Naona unatulazimisha tuamini kwamba wanasimamia kazi ya wamiliki ambayo wao hawaiamini kitu ambacho ni non senseSDs ni mbwa wa kutumwa tu hakuna kitu wanafanya bila kupitishwa na wamiliki. Wale Wanaitwa, Controlling owners, hasa Begdad Eghbali, anapenda sana vitoto huyo.
Ngoja nikupe mlolongo mzima wa maamuzi.
Players Sales and Signing and Approval Chain
- Scouts → identify
- Sporting Directors → evaluate & shortlist
- Negotiators → discuss fees & contracts
- Clearlake + Boehly → joint approval (both have veto power)
Manager Hiring and Approval Chain
a) Identification
- Sporting directors create a shortlist
- Data and tactical fit analysis
b) Interviews
- Conducted by sporting directors
- Followed by ownership interviews (Boehly + Clearlake)
c) Final Decision
Katika huu mlolongo nasikia Boehly yeye hajishughulishi sasa hivi ila Eghbali yeye yuko bussy na data na uchambuzi na yuko0 very strick kwenye maamuzi, kama data inamuongoza hivi atasimamia hivyo hadi meli ianguke yeye hajali. Na madhara yote haya tuliyonayo ni kwa sababu ya huyo Eghbali.
- Both Clearlake and Boehly must approve the hire
- Either side can veto a candidate (this has caused delays and disagreements)
Sio nalazimisha. Hao owners wamejificha kwenye kivuli ya SDs. Hakuna usajili au ajira ya meneja ambayo haifuati sera ya hawa owners na ufuatiliaji wao. SDs ni kama rababendi tuNaona unatulazimisha tuamini kwamba wanasimamia kazi ya wamiliki ambayo wao hawaiamini kitu ambacho ni non sense
Hao sio wanajeshi kwamba unaajiriwa kwenda kuobey command whether ni right au wrong
Mbona Vivel aliondoka, wenzetu wako mbali sio kama kina mangungu wapo hapo kwa sababu wanaamini kwenye project full stop kwa hiyo nao ni mzizi wa tatizo
SD wanaosimamia quantity badala ya quality watatuletea kina Ariola tena
Hawa wote n 🗑️Kuna hati hati ya kuletewa kati ya hawa.
1. Marco Silva
2. Andon Iraola
3. Cec Fabrigus
Faberagas ameshatolea nje. Hana mpango wa kuondoka ComoKuna hati hati ya kuletewa kati ya hawa.
1. Marco Silva
2. Andon Iraola
3. Cec Fabrigus