Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Makocha wanaofaa kikosi cha Chelsea na wanaolingana na identity ya positional football ambayo Enzo Maresca aliitekeleza kabla ya kuondoka ni hawa:
  1. Xabi Alonso - Free Agent
  2. Cesc Fàbregas - Como
  3. Julian Nagelsmann - German National Team
  4. Miguel Ángel Sánchez Muñoz “Míchel” - Girona - Free Agent in the summer
  5. Thiago Motta - Free Agent
  6. Kieran McKenna - Ipswich Town
Hawa wote wana falsafa inayotegemea mpangilio wa nafasi, utulivu wa build‑up, numerical superiority, na control ya mchezo — vitu ambavyo vinaendana moja kwa moja na aina ya wachezaji Chelsea walionao sasa.

Mimi nashauri zaidi Alonso, ningempendekeza Fabregas lakini yeye ameshakataa kusitisha mkataba wake na Como
Kama bado hatujajifunza tutaendelea kulalamika.
 
Sajili wanafanya maboss au SD????

We team yako inashida na beki wewe unaenda kununua Garnacho na Gitten
SDs ni mbwa wa kutumwa tu hakuna kitu wanafanya bila kupitishwa na wamiliki. Wale Wanaitwa, Controlling owners, hasa Begdad Eghbali, anapenda sana vitoto huyo.

Ngoja nikupe mlolongo mzima wa maamuzi.

Players Sales and Signing and Approval Chain​

  1. Scouts → identify
  2. Sporting Directors → evaluate & shortlist
  3. Negotiators → discuss fees & contracts
  4. Clearlake + Boehly → joint approval (both have veto power)

Manager Hiring and Approval Chain​

a) Identification

  • Sporting directors create a shortlist
  • Data and tactical fit analysis

b) Interviews

  • Conducted by sporting directors
  • Followed by ownership interviews (Boehly + Clearlake)

c) Final Decision

  • Both Clearlake and Boehly must approve the hire
  • Either side can veto a candidate (this has caused delays and disagreements)
Katika huu mlolongo nasikia Boehly yeye hajishughulishi sasa hivi ila Eghbali yeye yuko bussy na data na uchambuzi na yuko0 very strick kwenye maamuzi, kama data inamuongoza hivi atasimamia hivyo hadi meli ianguke yeye hajali. Na madhara yote haya tuliyonayo ni kwa sababu ya huyo Eghbali.
 
Maresca hakufukuzwa, Maresca aliondoka mwenyewe baada ya kuona Wamiliki na SDs hawamuungi mkono.
Maresca alitaka CB mmoja tu mbadala wa Colwill, January wakamletea Mamadou Sarr ndipo Maresca akaamua kutimka
Maresca amendoka hata kabla ya Sarr hawajamrudisha ameondoka Jan mwnzoni.
 
Maresca amendoka hata kabla ya Sarr hawajamrudisha ameondoka Jan mwnzoni.
Kumbuka Maresca alipewa Mamadou Sarr tangu CWC kama mbadala wa Colwill akakataa kumtumia ndio akapelekwa mkopo Strasbourg na Marseca alijua atarudishwa January ndipo akaamua kutimua mbio.
 
SDs ni mbwa wa kutumwa tu hakuna kitu wanafanya bila kupitishwa na wamiliki. Wale Wanaitwa, Controlling owners, hasa Begdad Eghbali, anapenda sana vitoto huyo.

Ngoja nikupe mlolongo mzima wa maamuzi.

Players Sales and Signing and Approval Chain​

  1. Scouts → identify
  2. Sporting Directors → evaluate & shortlist
  3. Negotiators → discuss fees & contracts
  4. Clearlake + Boehly → joint approval (both have veto power)

Manager Hiring and Approval Chain​

a) Identification

  • Sporting directors create a shortlist
  • Data and tactical fit analysis

b) Interviews

  • Conducted by sporting directors
  • Followed by ownership interviews (Boehly + Clearlake)

c) Final Decision

  • Both Clearlake and Boehly must approve the hire
  • Either side can veto a candidate (this has caused delays and disagreements)
Katika huu mlolongo nasikia Boehly yeye hajishughulishi sasa hivi ila Eghbali yeye yuko bussy na data na uchambuzi na yuko0 very strick kwenye maamuzi, kama data inamuongoza hivi atasimamia hivyo hadi meli ianguke yeye hajali. Na madhara yote haya tuliyonayo ni kwa sababu ya huyo Eghbali.
Naona unatulazimisha tuamini kwamba wanasimamia kazi ya wamiliki ambayo wao hawaiamini kitu ambacho ni non sense
Hao sio wanajeshi kwamba unaajiriwa kwenda kuobey command whether ni right au wrong
Mbona Vivel aliondoka, wenzetu wako mbali sio kama kina mangungu wapo hapo kwa sababu wanaamini kwenye project full stop kwa hiyo nao ni mzizi wa tatizo
SD wanaosimamia quantity badala ya quality watatuletea kina Ariola tena
 
Naona unatulazimisha tuamini kwamba wanasimamia kazi ya wamiliki ambayo wao hawaiamini kitu ambacho ni non sense
Hao sio wanajeshi kwamba unaajiriwa kwenda kuobey command whether ni right au wrong
Mbona Vivel aliondoka, wenzetu wako mbali sio kama kina mangungu wapo hapo kwa sababu wanaamini kwenye project full stop kwa hiyo nao ni mzizi wa tatizo
SD wanaosimamia quantity badala ya quality watatuletea kina Ariola tena
Sio nalazimisha. Hao owners wamejificha kwenye kivuli ya SDs. Hakuna usajili au ajira ya meneja ambayo haifuati sera ya hawa owners na ufuatiliaji wao. SDs ni kama rababendi tu
 
Kuna hati hati ya kuletewa kati ya hawa.
1. Marco Silva
2. Andon Iraola
3. Cec Fabrigus
 
Kuna hati hati ya kuletewa kati ya hawa.
1. Marco Silva
2. Andon Iraola
3. Cec Fabrigus
Faberagas ameshatolea nje. Hana mpango wa kuondoka Como
Hao waliobaki hasa Andon Iraol ni Liam Rosenior v2.0
 
Kumbuka Maresca alipewa Mamadou Sarr tangu CWC kama mbadala wa Colwill akakataa kumtumia ndio akapelekwa mkopo Strasbourg na Marseca alijua atarudishwa January ndipo akaamua kutimua mbio.
Lembu matajiri wanazingua ila SD nao wanazingua unaqeza fata plan yote ya matajiri kusajili wachezaj wazuri bila hata kuleta wa hovyo

Rayan Cherki anamiaka mingapi??? Semenyo anamiaka mingapi,Xavi Simmon etc

Inshort wachezaj wazuri chini yamiaka 25 wapo ila tuliamua kupoteza hela na hiyo ni swala la SD
 
Hatimae Leo mmescore , baada ya kitambo kirefu ! Bado mnaruka ruka ! Hakuna timu hapa ! Hata aje kocha mwenye profile gani , kikosi ni hewa !!!

Wamiliki na SDs ndo changamoto kwenu.....project hewa... mnahitaji reshuffle ya kuanzia uongozi hadi timu
 
Halafu wanaenda kutoa mabilioni kwa mwanasesere Garnacho
Je hapo unalaumu Matajiri au SD????


Ni sawa sawa leo hii tumuappoint Iraola ambae ni Poch v2😂😂 system yake na player tulip nao ni tofauti, Utalaumu Wamiliki??

Inshort hii team sasa hivi inanendeshwa kwa kujuana,Kama una kaconnection kokote kale basi unanafasi kubwa ya kupata
 
hawa ndio makocha nahisi nibora kwa sasa ambao tunaweza wapata
Xabi Alonso
Luis Felipe
Seb Hoeness
Cesc Fab

Ila chance ni ndogo maana hawa wote sio wa yes Man kama Rosenior hivyo tutaangukia kwa kina Marco Silva au Iraola ambao ni Yes man
 
hawa ndio makocha nahisi nibora kwa sasa ambao tunaweza wapata

Xabi Alonso

Luis Felipe

Seb Hoeness

Cesc Fab



Ila chance ni ndogo maana hawa wote sio wa yes Man kama Rosenior hivyo tutaangukia kwa kina Marco Silva au Iraola ambao ni Yes man

Marco Silva ni koach mzuri kama akipata project nzuri....pia afanyiwe sajili anazozihitaji !!



Iraola, ni makocha ambao wanaweza kufanya kazi kwenye mazingira magumu, ufinyu wa bajeti na waka-deliver (moyes type ) changamoto za makocha wa aina hii hawana uzoefu na timu kuhwa, hawawezi kuhimili presha pia
 
hawa ndio makocha nahisi nibora kwa sasa ambao tunaweza wapata
Xabi Alonso
Luis Felipe
Seb Hoeness
Cesc Fab

Ila chance ni ndogo maana hawa wote sio wa yes Man kama Rosenior hivyo tutaangukia kwa kina Marco Silva au Iraola ambao ni Yes man
Vipi kuhusu Xavi
 
Lembu matajiri wanazingua ila SD nao wanazingua unaqeza fata plan yote ya matajiri kusajili wachezaj wazuri bila hata kuleta wa hovyo

Rayan Cherki anamiaka mingapi??? Semenyo anamiaka mingapi,Xavi Simmon etc

Inshort wachezaj wazuri chini yamiaka 25 wapo ila tuliamua kupoteza hela na hiyo ni swala la SD
Hao wote Chelsea iliwafukuzia lakini wachezaji walipenda kwenda City. Chelsea haiana mvuto tena. The project of kids mtu gani mzima atataka? Hata hawa waliopo wanatamani kutoka
 
hawa ndio makocha nahisi nibora kwa sasa ambao tunaweza wapata
Xabi Alonso
Luis Felipe
Seb Hoeness
Cesc Fab

Ila chance ni ndogo maana hawa wote sio wa yes Man kama Rosenior hivyo tutaangukia kwa kina Marco Silva au Iraola ambao ni Yes man
Andoni Iraola bwana YESman ataishia kusajiliwa, tusubiri tuone
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom